Ushindi wa Tundu Lissu umempoza mchungaji Peter Msigwa?

Ushindi wa Tundu Lissu umempoza mchungaji Peter Msigwa?

Kabla ya ushindi wa Tundu Lisu kuchaguliwa kuwa Mwenyekiti mpya wa Chadema akimbwaga Freeman Mbowe, mchungaji Peter Msigwa alikuwa na kasi ya kutisha kwenye kuishambulia Chadema.

Alikuwa anazunguka mikoani na kwenye vyombo vya habari akiwashawishi watanzania kuachana na Chadema kwani ni chama kilichopoteza dira na kuendelea kukiamini chama hicho ni kupoteza muda.

Ghafla baada ya uchaguzi wa Chadema kuisha na mzee wa MIGA mtetezi wa Acacia Tundu Lisu kushinda, mchungaji Msigwa amegeuka bubu yani yuko kimyaaa.

Ikumbukwe huko nyuma Peter Msigwa alishapewa taji la mnafiki mkubwa kupita wote nchini, baada ya kumtukana Lowasa kwa muda wa miaka 10 mfululizo alafu baadae akazunguka nchi nzima akimnadi awe rais wa Tanzania, hivyo watanzania wanajiuliza je ni muda wa Peter Msigwa tena kuonyesha unafiki wake kuwa mchana ccm na usiku Chadema akimuunga mkono lisu?

Au anajiandaa kuonyesha unafiki wake kwa kurudi tena Chadema? Ikumbukwe Peter Msigwa alihamia ccm kwa hasira baada ya kubwagwa kwenye uchaguzi wa mwenyekiti wa kanda ya nyasa na Joseph Mbilinyi Sugu
kama ameshakula mpunga wao, anahitaji nini tena?
 
Kabla ya ushindi wa Tundu Lisu kuchaguliwa kuwa Mwenyekiti mpya wa Chadema akimbwaga Freeman Mbowe, mchungaji Peter Msigwa alikuwa na kasi ya kutisha kwenye kuishambulia Chadema.

Alikuwa anazunguka mikoani na kwenye vyombo vya habari akiwashawishi watanzania kuachana na Chadema kwani ni chama kilichopoteza dira na kuendelea kukiamini chama hicho ni kupoteza muda.

Ghafla baada ya uchaguzi wa Chadema kuisha na mzee wa MIGA mtetezi wa Acacia Tundu Lisu kushinda, mchungaji Msigwa amegeuka bubu yani yuko kimyaaa.

Ikumbukwe huko nyuma Peter Msigwa alishapewa taji la mnafiki mkubwa kupita wote nchini, baada ya kumtukana Lowasa kwa muda wa miaka 10 mfululizo alafu baadae akazunguka nchi nzima akimnadi awe rais wa Tanzania, hivyo watanzania wanajiuliza je ni muda wa Peter Msigwa tena kuonyesha unafiki wake kuwa mchana ccm na usiku Chadema akimuunga mkono lisu?

Au anajiandaa kuonyesha unafiki wake kwa kurudi tena Chadema? Ikumbukwe Peter Msigwa alihamia ccm kwa hasira baada ya kubwagwa kwenye uchaguzi wa mwenyekiti wa kanda ya nyasa na Joseph Mbilinyi Sugu

..Msigwa alikuwa na matatizo na Freeman Mbowe.

..Na alikuwa amekata tamaa kama Mbowe ataondoka ktk uenyekiti wa Chadema.
 
Mmeshakula hasara.....mamilioni aliyokula ya wajinga anaenda kula bata.

Ccm kuliwa ni rahisi sana, we jifanye unaitukana chadema watakumwagia mahela.

Akina Yericcko wamepiga sana hela kipindi hiki cha uchaguzi😅😅
Kabla ya ushindi wa Tundu Lisu kuchaguliwa kuwa Mwenyekiti mpya wa Chadema akimbwaga Freeman Mbowe, mchungaji Peter Msigwa alikuwa na kasi ya kutisha kwenye kuishambulia Chadema.

Alikuwa anazunguka mikoani na kwenye vyombo vya habari akiwashawishi watanzania kuachana na Chadema kwani ni chama kilichopoteza dira na kuendelea kukiamini chama hicho ni kupoteza muda.

Ghafla baada ya uchaguzi wa Chadema kuisha na mzee wa MIGA mtetezi wa Acacia Tundu Lisu kushinda, mchungaji Msigwa amegeuka bubu yani yuko kimyaaa.

Ikumbukwe huko nyuma Peter Msigwa alishapewa taji la mnafiki mkubwa kupita wote nchini, baada ya kumtukana Lowasa kwa muda wa miaka 10 mfululizo alafu baadae akazunguka nchi nzima akimnadi awe rais wa Tanzania, hivyo watanzania wanajiuliza je ni muda wa Peter Msigwa tena kuonyesha unafiki wake kuwa mchana ccm na usiku Chadema akimuunga mkono lisu?

Au anajiandaa kuonyesha unafiki wake kwa kurudi tena Chadema? Ikumbukwe Peter Msigwa alihamia ccm kwa hasira baada ya kubwagwa kwenye uchaguzi wa mwenyekiti wa kanda ya nyasa na Joseph Mbilinyi Sugu
 
Imani ya Msigwa ilikuwa ni kwamba Mbowe ni dikteta hawezi kuachia kiti hata akishindwa kwenye uchaguzi. Lakini baada ya Mbowe kukubali kushindwa na kuachia kiti basi hapo hakuna hoja tena.
 
Tangu nimekua na kupata akili ya kuelewa mambo kwa undani baadhi ya masuala ambayo siishughulishi akili kuyafikiria ni wanasiasa na dini
 
Kabla ya ushindi wa Tundu Lisu kuchaguliwa kuwa Mwenyekiti mpya wa Chadema akimbwaga Freeman Mbowe, mchungaji Peter Msigwa alikuwa na kasi ya kutisha kwenye kuishambulia Chadema.

Alikuwa anazunguka mikoani na kwenye vyombo vya habari akiwashawishi watanzania kuachana na Chadema kwani ni chama kilichopoteza dira na kuendelea kukiamini chama hicho ni kupoteza muda.

Ghafla baada ya uchaguzi wa Chadema kuisha na mzee wa MIGA mtetezi wa Acacia Tundu Lisu kushinda, mchungaji Msigwa amegeuka bubu yani yuko kimyaaa.

Ikumbukwe huko nyuma Peter Msigwa alishapewa taji la mnafiki mkubwa kupita wote nchini, baada ya kumtukana Lowasa kwa muda wa miaka 10 mfululizo alafu baadae akazunguka nchi nzima akimnadi awe rais wa Tanzania, hivyo watanzania wanajiuliza je ni muda wa Peter Msigwa tena kuonyesha unafiki wake kuwa mchana ccm na usiku Chadema akimuunga mkono lisu?

Au anajiandaa kuonyesha unafiki wake kwa kurudi tena Chadema? Ikumbukwe Peter Msigwa alihamia ccm kwa hasira baada ya kubwagwa kwenye uchaguzi wa mwenyekiti wa kanda ya nyasa na Joseph Mbilinyi Sugu
Sema hivi; Mbowe ameponzwa na Msigwa! Kazi ya Msigwa imetukuka
 
Sultan Mbowe Bin King'ang'anizi na tabia yake ya udikteta ndo ilikua sababu ya Msigwa kuongea, msigwa hakua adui wa chadema ila alikataa utawala wa kimabavu wa dikteta mbowe
Kwahiyo alitafuta ukimbizi wa kisiasa CCM kwenye ustaarabu, Sasa anajiandaa kurudi Chadema au ndio kanogewa CCM?
 
Ata huko CCM kazi mliyompatia bado haamini? Mfukuzeni sasa au ameungana na kundi kubwa la wanafiki wa CCM kazi zinaendelea.
Mkumbushe Mzee Msigwa kuwa jana tokea asubuhi huku Iringa hapakwepo na Umeme tokea asubuhi kama ilivyokuwa Geita pia japo Iringa wana bwawa la Mtera inayozalisha umeme, sasa sijui utofauti wa eneo lenye chanzo cha umeme na maeneo yasiyo na chanzo cha umeme ni nini?
CCM na serikali yake bure kabisa.
 
Msigwa anafanya siasa ngumu sana akiwa CCN. Kufanya siasa ya vitu ambavyo huviamini ni ngumu sana. Bora aludi nyumbani CHADENA


Tumemuelewa sababu ya yeye kuondoka na kuxungumza yale yote ni Mbowe, sasa aludi tu njia ni nyeupe
 
Tangu nimekua na kupata akili ya kuelewa mambo kwa undani baadhi ya masuala ambayo siishughulishi akili kuyafikiria ni wanasiasa na dini
Aaah! Mkuu, si bora ungesema " ni SIASA tu"; sasa na "DINI nayo?" Mwogope MUNGU Mkuu.
 
Msigwa anafanya siasa ngumu sana akiwa CCN. Kufanya siasa ya vitu ambavyo huviamini ni ngumu sana. Bora aludi nyumbani CHADENA


Tumemuelewa sababu ya yeye kuondoka na kuxungumza yale yote ni Mbowe, sasa aludi tu njia ni nyeupe
Kipaji cha Msigwa ni unafiki
 
Back
Top Bottom