[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Unawayunyizia ndimu kwenye kidondaHawa jamaa sasa wameamua kula ugali kwa kulumangiza na harufu ya mchuzi. Na hivi leo TEFF na Makonda wameamua yaishe basi ndio wamechanganyikwa kabisaa.
Abadan Kenya ,Afrika kusini na Tanzania upinzani watashinda kwa miaka 100 ijao
Ushindi wa Uhuru hauna effects yeyote kwa Chadema na kushindwa kwa Raila hauna effects yeyote kwa Magu ,
Ila mtambue wapinzani nchini Kenya ,South na Tz Abadan hawawezi kushinda kila chaguzi lowassa ,Raila wataishia kujikomba komba tu ila hawatoshinda kamwe kwangu mm Raila na lowassa wanapoteza muda tu
kweli kabisa, baada ya kushindwa kuongoza nchini kwao TZ sasa wanaongoza Kenya. Hongereni Chadema kwa ujanja.Chadema, ni wajanja sana..
Halafu mwanaume mzima unakuja kusifia vitu vya Kenya, eti uchumi mkubwa, sijui eti jeshi limekuwaje - so what? Nashindwa kukutafasiri.Halafu 2020 mkishindwa muanze kulalamika mumeibiwa kura badala ya kufanya mikakati ya kichama na taifa nyie mnashangilia ya Kenya