Ushindi wa Uhuru Kenyatta ni ushindi wa CHADEMA

Ushindi wa Uhuru Kenyatta ni ushindi wa CHADEMA

Abadan Kenya ,Afrika kusini na Tanzania upinzani watashinda kwa miaka 100 ijao


Ushindi wa Uhuru hauna effects yeyote kwa Chadema na kushindwa kwa Raila hauna effects yeyote kwa Magu ,

Ila mtambue wapinzani nchini Kenya ,South na Tz Abadan hawawezi kushinda kila chaguzi lowassa ,Raila wataishia kujikomba komba tu ila hawatoshinda kamwe kwangu mm Raila na lowassa wanapoteza muda tu

Yumukini wanatwanga maji kama vile Maalim anavyotwanga maji kwenye kinu!
 
Ndo maana Mkapa anawaita wapumbavu!

Eti ni ushindi wa CHADEMA....hahahahaaaa.

Mmeishiwa kabisa nyie.
 
Halafu 2020 mkishindwa muanze kulalamika mumeibiwa kura badala ya kufanya mikakati ya kichama na taifa nyie mnashangilia ya Kenya
Halafu mwanaume mzima unakuja kusifia vitu vya Kenya, eti uchumi mkubwa, sijui eti jeshi limekuwaje - so what? Nashindwa kukutafasiri.
Umekalia Tati la mti halafu unalidharau na kwa kiburi unalikata ukiwa umekalia, mburura wewe.
 
Back
Top Bottom