Paul Alex
JF-Expert Member
- Jul 14, 2012
- 4,351
- 9,838
CCM wataongea weee ila Unaweza kuwajibu hamadi kibindoni.
Unaweza pia kuwajibu Kimfaacho mtu chake!
Mimi nasema Hongera Uhuru , hongera CHADEMA.
Kwanini hongera CHADEMA?
Ni upuuzi, Actually ni wapuuzi tu wanaoweza kuubeza ushindi wa kimkakati wa CHADEMA kuwa na rafiki anayeongoza uchumi mkubwa kuliko yote Africa Mashariki.
Kenya ni kubwa karibu kila nyanja Africa Mashariki;
☞Ndio wenye uchumi mkubwa kuliko yote Africa mashariki .
☞Wana jeshi kubwa na la kisasa.
☞Wana kambi pekee ya Special Forces ya USA- Camp Simba hapa Africa mashariki.
☞Ni demokrasia iliyokomaa ukilinganisha na zote hapa Africa Mashariki.
Kuna msemo usemao, Ukitaka kumfahamu mtu basi waangalie marafiki zake.
Ukitaka kumfahamu Magufuli na CCM basi muangalie;
☞Paul Kagame
☞Yoweri Museveni
☞Nkurunzinza
Na Ukitaka kumfahamu Lowassa na CHADEMA basi muangalie Uhuru Kenyatta!
Leo nimejikumbushia kidogo miaka nikiwa Seminari na nikamkumbuka Yesu na familia ya kina Martha na Lazaro ambayo Yesu aliipenda sana. Unaweza kusema familia rafiki kwa Yesu.
Basi wakati Lazaro ameugua sana, Martha dadaye alituma ujumbe kwa Yesu kuwa rafiki yako anaumwa sana, hawezi tena.
Nakumbuka Yesu alimjibu kuwa, 'Ugonjwa huu sio kwaajili ya Mauti ila kwaajili ya utukufu wa Mungu'.
Naomba kwa leo niwaache na neno hilo hapo juu ndugu zangu!
Unaweza pia kuwajibu Kimfaacho mtu chake!
Mimi nasema Hongera Uhuru , hongera CHADEMA.
Kwanini hongera CHADEMA?
Ni upuuzi, Actually ni wapuuzi tu wanaoweza kuubeza ushindi wa kimkakati wa CHADEMA kuwa na rafiki anayeongoza uchumi mkubwa kuliko yote Africa Mashariki.
Kenya ni kubwa karibu kila nyanja Africa Mashariki;
☞Ndio wenye uchumi mkubwa kuliko yote Africa mashariki .
☞Wana jeshi kubwa na la kisasa.
☞Wana kambi pekee ya Special Forces ya USA- Camp Simba hapa Africa mashariki.
☞Ni demokrasia iliyokomaa ukilinganisha na zote hapa Africa Mashariki.
Kuna msemo usemao, Ukitaka kumfahamu mtu basi waangalie marafiki zake.
Ukitaka kumfahamu Magufuli na CCM basi muangalie;
☞Paul Kagame
☞Yoweri Museveni
☞Nkurunzinza
Na Ukitaka kumfahamu Lowassa na CHADEMA basi muangalie Uhuru Kenyatta!
Leo nimejikumbushia kidogo miaka nikiwa Seminari na nikamkumbuka Yesu na familia ya kina Martha na Lazaro ambayo Yesu aliipenda sana. Unaweza kusema familia rafiki kwa Yesu.
Basi wakati Lazaro ameugua sana, Martha dadaye alituma ujumbe kwa Yesu kuwa rafiki yako anaumwa sana, hawezi tena.
Nakumbuka Yesu alimjibu kuwa, 'Ugonjwa huu sio kwaajili ya Mauti ila kwaajili ya utukufu wa Mungu'.
Naomba kwa leo niwaache na neno hilo hapo juu ndugu zangu!