kacheto2015
Senior Member
- Oct 25, 2015
- 121
- 159
[emoji111]Tusije Kuwa Na Chati Na Watu Waliotoroka Milembe Oooooh!
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji111]Tusije Kuwa Na Chati Na Watu Waliotoroka Milembe Oooooh!
Astaghafillulah !umeharibu kuingiza mambo ya biblia ambayo hayajawahi kutokea sababu biblia ni uzushi wa wazungu
Toilet paper ya Mohamed unayo hapo?umeharibu kuingiza mambo ya biblia ambayo hayajawahi kutokea sababu biblia ni uzushi wa wazungu
Ndo maana wananasa kwenye matundu mabovu!Chadema, ni wajanja sana..
mimi sio muislam wala mkristo....kwa hiyo tulia acha assumptions
What about Qur'an and other faith based scriptsumeharibu kuingiza mambo ya biblia ambayo hayajawahi kutokea sababu biblia ni uzushi wa wazungu
Mkuu hawawezi kukujibu bado wanaugulia moyoni
Kama ndo uchambuz huu wako ndo kipimo cha demecrasia basi tumekwisha...Chadema hawana dira wamekuwa watu wa kudandia dandia tu vijimaneno visivyo na maana, eti ushindi wa Uhuru ni ushindi wa Chadema, ya kwenu Tanzania yanawashinda wanakurupukia ya jirani zao eti Kenya kuna demokrasia kushinda Tanzania,ni lini walishuhudia wakati wa kupiga kura Tanzania watu wakakimbilia Kenya kwa muda kusubiri uchaguzi upite? lkn leo tunawashuhudia Wakenya wakimiminika Tanzania kupitia mipaka ya Horiri,Namanga,Sirari na kule Busia kusubiri uchaguzi upite na matokeo yatangazwe. Hapo kipimo cha demokrasia ni kipi?
Hahahaah. Kweli kabisa. Na wataendelea kushinda nchi jirani lakini sio Tanzania.Hawa jamaa sasa wameamua kula ugali kwa kulumangiza na harufu ya mchuzi. Na hivi leo TEFF na Makonda wameamua yaishe basi ndio wamechanganyikwa kabisaa.
Ni lini CCM wametoa msimamo wa kumsupport Raila Odinga na NASA yake??CCM wataongea weee ila Unaweza kuwajibu hamadi kibindoni.
Unaweza pia kuwajibu Kimfaacho mtu chake!
Mimi nasema Hongera Uhuru , hongera CHADEMA.
Kwanini hongera CHADEMA?
Ni upuuzi, Actually ni wapuuzi tu wanaoweza kuubeza ushindi wa kimkakati wa CHADEMA kuwa na rafiki anayeongoza uchumi mkubwa kuliko yote Africa Mashariki.
Kenya ni kubwa karibu kila nyanja Africa Mashariki;
☞Ndio wenye uchumi mkubwa kuliko yote Africa mashariki .
☞Wana jeshi kubwa na la kisasa.
☞Wana kambi pekee ya Special Forces ya USA- Camp Simba hapa Africa mashariki.
☞Ni demokrasia iliyokomaa ukilinganisha na zote hapa Africa Mashariki.
Kuna msemo usemao, Ukitaka kumfahamu mtu basi waangalie marafiki zake.
Ukitaka kumfahamu Magufuli na CCM basi muangalie;
☞Paul Kagame
☞Yoweri Museveni
☞Nkurunzinza
Na Ukitaka kumfahamu Lowassa na CHADEMA basi muangalie Uhuru Kenyatta!
Leo nimejikumbushia kidogo miaka nikiwa Seminari na nikamkumbuka Yesu na familia ya kina Martha na Lazaro ambayo Yesu aliipenda sana. Unaweza kusema familia rafiki kwa Yesu.
Basi wakati Lazaro ameugua sana, Martha dadaye alituma ujumbe kwa Yesu kuwa rafiki yako anaumwa sana, hawezi tena.
Nakumbuka Yesu alimjibu kuwa, 'Ugonjwa huu sio kwaajili ya Mauti ila kwaajili ya utukufu wa Mungu'.
Naomba kwa leo niwaache na neno hilo hapo juu ndugu zangu!
since islam/quran embraces roughly 40% of the so called bible,then it is fake as well,at least at 40%
Ila waache waendelee kuwepo angalau dunia Ione chaguzi zetu kuwa ni za kidemokrasia.Abadan Kenya ,Afrika kusini na Tanzania upinzani watashinda kwa miaka 100 ijao
Ushindi wa Uhuru hauna effects yeyote kwa Chadema na kushindwa kwa Raila hauna effects yeyote kwa Magu ,
Ila mtambue wapinzani nchini Kenya ,South na Tz Abadan hawawezi kushinda kila chaguzi lowassa ,Raila wataishia kujikomba komba tu ila hawatoshinda kamwe kwangu mm Raila na lowassa wanapoteza muda tu
Ukweli mtupu labda kwa south inaweza kutokea lakini hawa wengine wanajifariji ilhali wanajua kwamba hawatashindaAbadan Kenya ,Afrika kusini na Tanzania upinzani watashinda kwa miaka 100 ijao
Ushindi wa Uhuru hauna effects yeyote kwa Chadema na kushindwa kwa Raila hauna effects yeyote kwa Magu ,
Ila mtambue wapinzani nchini Kenya ,South na Tz Abadan hawawezi kushinda kila chaguzi lowassa ,Raila wataishia kujikomba komba tu ila hawatoshinda kamwe kwangu mm Raila na lowassa wanapoteza muda tu