Ushindi wa Yanga, Je Huyu nabii wa Taifa apuuzwe?

Ushindi wa Yanga, Je Huyu nabii wa Taifa apuuzwe?

matunduizi

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2018
Posts
7,968
Reaction score
19,368
Kuna jamaa nimemuona kwenye Whatsapp anajiita nabii wa taifa, Anasema ili Yanga na Simba zishinde inabidi Watoe kwake sadaka ya Milioni 20 kuombea ushindi.

Sasa kushinda kwa Yanga, najiuliza nani Muongo kati ya nabii na Mungu/Muungu wake?

Ifike wakati watu wa Mungu washughulike na mambo ya kiroho, Wasitafute kiki hadi kwenye kamati za ufundi'
 
Kuna watu wazima huwa nafikiria mara mbili heshima tunayowapa haina uwiano na wanayo yafanya
Bangaladeshi
 
Huyo bwege alitabiri simba atachukua ubingwa msimu uliopita na yanga akachukua ubingwa
 
Leo nimeenda kanisani pastor wako kwa dhati kabisa aliwaombea yanga nao watungwe vzr San Kama walivyo fungwa Simba ,eti sababu Ni kuwa aliendaga kwa mkuu wa mkoa kuomba msaada wa kujengewa kanisa wakamtoza SAS Ana hasira nao ,kwa Kweli nimemsidi akili yule mchungaji lkn yey amenisidi kiroha kwa mbali nilimshamgaa sna hoja zake Ila fresh tumeshinda nataka nimtumie msg kuwa VIP ameupokeaje ushindi wa yanga tena kwa namba mpya

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom