Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hater at work.hiyo ni roho ya kichawiFei Toto asahau kurudi kwenye ule ubora wake alipokuwa Yanga. Na asipokuwa makini, ataishia tu kuwa mchezaji wa kawaida kama ilivyotokea kwa Frank Domayo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] unateseka na Fei?? Yeye sio shida zake.Fei Toto asahau kurudi kwenye ule ubora wake alipokuwa Yanga. Na asipokuwa makini, ataishia tu kuwa mchezaji wa kawaida kama ilivyotokea kwa Frank Domayo.
Nilikuwa shabiki mkubwa sana wa fei Toto lakini aliniudhi sana alipoleta ushwahili wa kulishwa ugali kwa sukari ilahali wengine tunakunywa chai haina sukari ili kutunza hela za kununulia tiketi ya kumwona akiwa uwanjani. Pale ndipo nilipoamini kuwa Shuleless yake ilikuwa ni tatizo lisilo na tiba. Mbona Mayele kaondoka lakini watu hatumsemi? Ni kwa sababu aliondoka kistaarabu kwa kufuata taratibu wakati bado tulikuwa tunahitaji sana.Fei Toto asahau kurudi kwenye ule ubora wake alipokuwa Yanga. Na asipokuwa makini, ataishia tu kuwa mchezaji wa kawaida kama ilivyotokea kwa Frank Domayo.
Umeshindwa kupindua meza yako ndio utaweza ya jiraniAzam anapita kirahisi, jumamosi tukutane Chamazi kupindua meza
Simba atamtoa dynamo na kuishia kwenye robo yake kawaida ni kama dawa.Nadhani power dynamo wanawaza jinsi kufika makundi kwa kuitoa simba,nawatahadhalisha simba mpinzani sio mnyonge.
Kila la kheri timu zetu wiki hii tufike makundi timu 3 iwe historia kubwa kuwahi kutokeaResult
CAF CHAMPIONS LEAGUE
Preminary round
ASAS 0-2 Young Africans(¹leg)
Young African 5-1 ASAS (²lleg)
Second round
Power dynamo 2-2 Simba(¹leg)
Al merlk 0-2 Yanga(¹leg)
CAF CONFEDERATION CUP
Preminary round
JKU 1-4 Singida Fountain Gate(¹leg)
Singida 0-3 jku (¹leg)
Bahir dar kanena 2-1 Azam(¹leg)
Azam 2-1 Bahir dar kanena(²Leg
Penalty Azam 3-4 Bahir dar kanena
Second round
Future fc 1-1 Singida fountain gate(¹leg)
Vp wana utoSimba inatinga hatua ya makundi kwa kuitoa power dynamo