Ushirikiano huu wa 'Kinafiki' kwa Timu za Tanzania zinazoshiriki Michuano ya Kimataifa GENTAMYCINE siuafiki na siutaki

Ushirikiano huu wa 'Kinafiki' kwa Timu za Tanzania zinazoshiriki Michuano ya Kimataifa GENTAMYCINE siuafiki na siutaki

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Yaani kabisa GENTAMYCINE niishangilie Yanga SC nisiyoipenda kuliko hata Shetani Lucifer na nizishangilie Yanga B Timu za Singida Fountain Gate FC na Azam FC?

Waziri Damas Ndumbaro ( ambaye nakujua ni mwana Simba SC lia lia kama alivyo Naibu wako Khamis Mwinjuma ) acha Kukurupuka katika hili na kuwa Mnafiki ili uonekane unajali na uko Neutral wakati furaha yako 24/7 ni kuona Yanga SC ikifeli.

Na ole wake nimuone mwana Simba SC yoyote akilitii hili na kutoa Ushirikiano kwa Timu za Yanga SC, Singida Fountain Gate FC na Azam FC mtanitambua.

Ahmed Ally ( Msemaji wa Simba SC ) sijakushangaa jinsi ulivyokuwa na Kiherehere chako na nawe Kuahidi Kuungana nao Kiushirikiano kwani Kiasili nakujua na Watu wa Mpira tunakujua Wewe ni Shabiki wa Yanga SC na najua kuna Wapuuzi watanibishia na kunikatalia hili.

Nataka Uadui huu na Chuki hii ya Simba na Yanga uendelee kwani Unaburudisha, unafanya Timu ziimarike na Unachangamsha mno Soka letu na hiyo ndiyo Ladha yenyewe ambayo huwezi Kuikuta katika Mataifa mengine Barani Afrika.

Kila Timu ipambane yenyewe Kudadadeki.
 
Yaani kabisa GENTAMYCINE niishangilie Yanga SC nisiyoipenda kuliko hata Shetani Lucifer na nizishangilie Yanga B Timu za Singida Fountain Gate FC na Azam FC?

Waziri Damas Ndumbaro ( ambaye nakujua ni mwana Simba SC lia lia kama alivyo Naibu wako Khamis Mwinjuma ) acha Kukurupuka katika hili na kuwa Mnafiki ili uonekane unajali na uko Neutral wakati furaha yako 24/7 ni kuona Yanga SC ikifeli.

Na ole wake nimuone mwana Simba SC yoyote akilitii hili na kutoa Ushirikiano kwa Timu za Yanga SC, Singida Fountain Gate FC na Azam FC mtanitambua.

Ahmed Ally ( Msemaji wa Simba SC ) sijakushangaa jinsi ulivyokuwa na Kiherehere chako na nawe Kuahidi Kuungana nao Kiushirikiano kwani Kiasili nakujua na Watu wa Mpira tunakujua Wewe ni Shabiki wa Yanga SC na najua kuna Wapuuzi watanibishia na kunikatalia hili.

Nataka Uadui huu na Chuki hii ya Simba na Yanga uendelee kwani Unaburudisha, unafanya Timu ziimarike na Unachangamsha mno Soka letu na hiyo ndiyo Ladha yenyewe ambayo huwezi Kuikuta katika Mataifa mengine Barani Afrika.

Kila Timu ipambane yenyewe Kudadadeki.
Hivi wewe jamaa ndani ya dk 5 umefungua threads mbili[emoji15][emoji15]

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
 
Hivi wewe jamaa ndani ya dk 5 umefungua threads mbili[emoji15][emoji15]

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
That's why I'm Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer here on JF.

Wewe Mwenyewe tu hujishangai kuwa pamoja na Kunichukia Kwako kutwa huku Ukinitukana, Ukinidhalilisha na Kunichafua ila bado 24/7 ukiingia ( Log In ) hapa JamiiForums ni lazima Ufungue Thteads na hata Kusoma Posts zangu?

Nina Shani ( Tunu ) nyingi nimebarikiwa nazo na Mwenyezi Mungu na ndiyo maana unaona pamoja na Kushambuliwa 24/7 hapa JamiiForums ( Wewe ukiwemo ) bado GENTAMYCINE nimebakia kuwa ni miongoni mwa Members mwenye Mvuto wa Kiusomwaji na nafuatiliwa na Watu wengi na wa kila Kada na Tasnia.

Asante sana Mungu kwa Baraka tele.

Mimi ndiyo GENTAMYCINE The King!!!!
 
That's why I'm Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer here on JF.

Wewe Mwenyewe tu hujishangai kuwa pamoja na Kunichukia Kwako kutwa huku Ukinitukana, Ukinidhalilisha na Kunichafua ila bado 24/7 ukiingia ( Log In ) hapa JamiiForums ni lazima Ufungue Thteads na hata Kusoma Posts zangu?

Nina Shani ( Tunu ) nyingi nimebarikiwa nazo na Mwenyezi Mungu na ndiyo maana unaona pamoja na Kushambuliwa 24/7 hapa JamiiForums ( Wewe ukiwemo ) bado GENTAMYCINE nimebakia kuwa ni miongoni mwa Members mwenye Mvuto wa Kiusomwaji na nafuatiliwa na Watu wengi na wa kila Kada na Tasnia.

Asante sana Mungu kwa Baraka tele.

Mimi ndiyo GENTAMYCINE The King!!!!
Hivi unafahamu kuwa hata shetani ana wafuasi? Tena one third ya malaika walimfuata shetani??,[emoji28][emoji28]

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
 
Hivi unafahamu kuwa hata shetani ana wafuasi? Tena one third ya malaika walimfuata shetani??,[emoji28][emoji28]

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
Hata Wewe kitendo cha Kuzaliwa Nje ya Ndoa ya Waliokuzaa Ushetani ulitumika hivyo nawe pia ni Shetani Mwandamizi Mwenzangu.
 
Ha ha ha ha ha ha ha umempa tusi mpaka imebidi nicheke.
Anatumia ID's zake tofauti tofauti Tatu Kupambana nami hapa JamiiForums na nimeshazijua ila Mwanamume namkabili na namshinda kwa hii hi tu Jeshi la Mtu Mmoja ID yangu Super Brand ya GENTAMYCINE.

Kudadadeki....!!
 
Yaani kabisa GENTAMYCINE niishangilie Yanga SC nisiyoipenda kuliko hata Shetani Lucifer na nizishangilie Yanga B Timu za Singida Fountain Gate FC na Azam FC?

Waziri Damas Ndumbaro ( ambaye nakujua ni mwana Simba SC lia lia kama alivyo Naibu wako Khamis Mwinjuma ) acha Kukurupuka katika hili na kuwa Mnafiki ili uonekane unajali na uko Neutral wakati furaha yako 24/7 ni kuona Yanga SC ikifeli.

Na ole wake nimuone mwana Simba SC yoyote akilitii hili na kutoa Ushirikiano kwa Timu za Yanga SC, Singida Fountain Gate FC na Azam FC mtanitambua.

Ahmed Ally ( Msemaji wa Simba SC ) sijakushangaa jinsi ulivyokuwa na Kiherehere chako na nawe Kuahidi Kuungana nao Kiushirikiano kwani Kiasili nakujua na Watu wa Mpira tunakujua Wewe ni Shabiki wa Yanga SC na najua kuna Wapuuzi watanibishia na kunikatalia hili.

Nataka Uadui huu na Chuki hii ya Simba na Yanga uendelee kwani Unaburudisha, unafanya Timu ziimarike na Unachangamsha mno Soka letu na hiyo ndiyo Ladha yenyewe ambayo huwezi Kuikuta katika Mataifa mengine Barani Afrika.

Kila Timu ipambane yenyewe Kudadadeki.
Kwa mara ya kwanza umetumia akili.
 
Back
Top Bottom