Song of Solomon
JF-Expert Member
- Aug 5, 2021
- 2,752
- 5,609
Ambazo hana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwa mara ya kwanza umetumia akili.
Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ambazo hana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwa mara ya kwanza umetumia akili.
Kiazi mbatata on one and twoYaani kabisa GENTAMYCINE niishangilie Yanga SC nisiyoipenda kuliko hata Shetani Lucifer na nizishangilie Yanga B Timu za Singida Fountain Gate FC na Azam FC?
Waziri Damas Ndumbaro ( ambaye nakujua ni mwana Simba SC lia lia kama alivyo Naibu wako Khamis Mwinjuma ) acha Kukurupuka katika hili na kuwa Mnafiki ili uonekane unajali na uko Neutral wakati furaha yako 24/7 ni kuona Yanga SC ikifeli.
Na ole wake nimuone mwana Simba SC yoyote akilitii hili na kutoa Ushirikiano kwa Timu za Yanga SC, Singida Fountain Gate FC na Azam FC mtanitambua.
Ahmed Ally ( Msemaji wa Simba SC ) sijakushangaa jinsi ulivyokuwa na Kiherehere chako na nawe Kuahidi Kuungana nao Kiushirikiano kwani Kiasili nakujua na Watu wa Mpira tunakujua Wewe ni Shabiki wa Yanga SC na najua kuna Wapuuzi watanibishia na kunikatalia hili.
Nataka Uadui huu na Chuki hii ya Simba na Yanga uendelee kwani Unaburudisha, unafanya Timu ziimarike na Unachangamsha mno Soka letu na hiyo ndiyo Ladha yenyewe ambayo huwezi Kuikuta katika Mataifa mengine Barani Afrika.
Kila Timu ipambane yenyewe Kudadadeki.
Nami nashangaa.....Hivi wewe jamaa ndani ya dk 5 umefungua threads mbili[emoji15][emoji15]
Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
Tatizo simba ni wanga. Kitendo cha kuichawia yanga kwa mvua hadi ikafungwa na mwarabu fainali ya cafcc kwa mkapa hakisameheki. Na siku nikipata nafasi naifuta simba kwenye ramani. Siwezi kuruhusu kakikundi ka walozi kajiite timu.Yaani kabisa GENTAMYCINE niishangilie Yanga SC nisiyoipenda kuliko hata Shetani Lucifer na nizishangilie Yanga B Timu za Singida Fountain Gate FC na Azam FC?
Waziri Damas Ndumbaro ( ambaye nakujua ni mwana Simba SC lia lia kama alivyo Naibu wako Khamis Mwinjuma ) acha Kukurupuka katika hili na kuwa Mnafiki ili uonekane unajali na uko Neutral wakati furaha yako 24/7 ni kuona Yanga SC ikifeli.
Na ole wake nimuone mwana Simba SC yoyote akilitii hili na kutoa Ushirikiano kwa Timu za Yanga SC, Singida Fountain Gate FC na Azam FC mtanitambua.
Ahmed Ally ( Msemaji wa Simba SC ) sijakushangaa jinsi ulivyokuwa na Kiherehere chako na nawe Kuahidi Kuungana nao Kiushirikiano kwani Kiasili nakujua na Watu wa Mpira tunakujua Wewe ni Shabiki wa Yanga SC na najua kuna Wapuuzi watanibishia na kunikatalia hili.
Nataka Uadui huu na Chuki hii ya Simba na Yanga uendelee kwani Unaburudisha, unafanya Timu ziimarike na Unachangamsha mno Soka letu na hiyo ndiyo Ladha yenyewe ambayo huwezi Kuikuta katika Mataifa mengine Barani Afrika.
Kila Timu ipambane yenyewe Kudadadeki.
Tatizo simba ni wanga. Kitendo cha kuichawia yanga kwa mvua hadi ikafungwa na mwarabu fainali ya cafcc kwa mkapa hakisameheki. Na siku nikipata nafasi naifuta simba kwenye ramani. Siwezi kuruhusu kakikundi ka walozi kajiite timu.
Hahahaaa ila mkuu unavijineno dahUnauliza Ajali Vigwaza?
Ila Kukaziwa Spana Baioloji 24/7 hushangai?Nami nashangaa.....
Timu ya Basha wakoNa Ali Kamwe ni shabiki wa timu gani?
24/7 😂 Nini hiki GENTAMYCINE, ulilenga pie sivyo basi Wacha nikurudishe shule kidogo ilifaa uweke 22/7 🏃🏃Yaani kabisa GENTAMYCINE niishangilie Yanga SC nisiyoipenda kuliko hata Shetani Lucifer na nizishangilie Yanga B Timu za Singida Fountain Gate FC na Azam FC?
Waziri Damas Ndumbaro ( ambaye nakujua ni mwana Simba SC lia lia kama alivyo Naibu wako Khamis Mwinjuma ) acha Kukurupuka katika hili na kuwa Mnafiki ili uonekane unajali na uko Neutral wakati furaha yako 24/7 ni kuona Yanga SC ikifeli.
Na ole wake nimuone mwana Simba SC yoyote akilitii hili na kutoa Ushirikiano kwa Timu za Yanga SC, Singida Fountain Gate FC na Azam FC mtanitambua.
Ahmed Ally ( Msemaji wa Simba SC ) sijakushangaa jinsi ulivyokuwa na Kiherehere chako na nawe Kuahidi Kuungana nao Kiushirikiano kwani Kiasili nakujua na Watu wa Mpira tunakujua Wewe ni Shabiki wa Yanga SC na najua kuna Wapuuzi watanibishia na kunikatalia hili.
Nataka Uadui huu na Chuki hii ya Simba na Yanga uendelee kwani Unaburudisha, unafanya Timu ziimarike na Unachangamsha mno Soka letu na hiyo ndiyo Ladha yenyewe ambayo huwezi Kuikuta katika Mataifa mengine Barani Afrika.
Kila Timu ipambane yenyewe Kudadadeki.
Uko katika Heat unatafuta wa Kukupanda?24/7 😂 Nini hiki GENTAMYCINE, ulilenga pie sivyo basi Wacha nikurudishe shule kidogo ilifaa uweke 22/7 🏃🏃
Genta wewe fanya kama unavyoweza kama mtu hakupendi kuna option ya ku ignore kama hajaitumia basi bado ww kwake ni piuwaliy talentedi karismatiki fela gemu chenja.That's why I'm Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer here on JF.
Wewe Mwenyewe tu hujishangai kuwa pamoja na Kunichukia Kwako kutwa huku Ukinitukana, Ukinidhalilisha na Kunichafua ila bado 24/7 ukiingia ( Log In ) hapa JamiiForums ni lazima Ufungue Thteads na hata Kusoma Posts zangu?
Nina Shani ( Tunu ) nyingi nimebarikiwa nazo na Mwenyezi Mungu na ndiyo maana unaona pamoja na Kushambuliwa 24/7 hapa JamiiForums ( Wewe ukiwemo ) bado GENTAMYCINE nimebakia kuwa ni miongoni mwa Members mwenye Mvuto wa Kiusomwaji na nafuatiliwa na Watu wengi na wa kila Kada na Tasnia.
Asante sana Mungu kwa Baraka tele.
Mimi ndiyo GENTAMYCINE The King!!!!
Ni sawa yote utakayojisikia kusema it's ok sikupingi kwani una uhuru WA kuongea, lakin naamini Kuna kitu umeng'amua hapoUko katika Heat unatafuta wa Kukupanda?
Nimeng'amua kuwa Unanishobokea mno.Ni sawa yote utakayojisikia kusema it's ok sikupingi kwani una uhuru WA kuongea, lakin naamini Kuna kitu umeng'amua hapo
Ni sawa pia coz Kuna watu wanaona dhahabu katika mchanga na wapo wanaoona mchanga katika dhahabu. Kama umeliona hilo pia sio mbaya kuliko ungetoka patupu bila kuona chochoteNimeng'amua kuwa Unanishobokea mno.
Umekosa wa 'Kukuweka' hadi Unanishobokea hivi?Ni sawa pia coz Kuna watu wanaona dhahabu katika mchanga na wapo wanaoona mchanga katika dhahabu. Kama umeliona hilo pia sio mbaya kuliko ungetoka patupu bila kuona chochote
Yote hayo shida ni 22/7 tupunguze makasirikoo Wana JF. Ona hata wewe mwenyewe Kuna muda ka nafsi Kako kanaona kabisa ni kweli ulichapia kidg lakn maneno yanakua mengi kufuta ka aibu Genta kuchapia ni kiawaida sana. Usiwake sana utapasuka kisa ka pie kwelii!!!!!!!!! Pie ni kitu ya kuleta makasirikoo😂😂Umekosa wa 'Kukuweka' hadi Unanishobokea hivi?