Ushirikina umeiponza Simba

Ushirikina umeiponza Simba

Pdidy

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
57,951
Reaction score
32,619
Juxi asbh nilikuwa airport kuchykua maokoto ya moja ya tax yangu

Huwa napenda kukaa na madreva tukapiga story

Mmoja a .madreva akaniambia unamjuaaaa......Ry wa Simba yes

Nimemchukua tukaendaa kumchukua mganga wa Nampula ambae aliisaidia Yanga kushinda kwa waarabu 4_0.

Mmmh nkamwambia nafikiri wangedili na wa bagamoyo ama morogoro yule bb wa ziwa moja kama wa wanaleta wa nje nawàmbia mnapigwa bao 2 ama na zaidi.

Hahahaaaa jana ananrudishia 10000 kunywaà bia kakaa siwawezi nkamwambia wengine tuko spiritual zaidii kaangalie Jamii forums nimeandika na wafungaji kabisaaa nkacheka sanaaa

Simbaa najua ushirikina upo ila ushirikina unafanya kazi kama una wachezaji wazuri

2...Kocha wa Simba sio mwanzo kufungwa na Yanga angalien history

Jpili njema kafanyen ushirikina muwe wa pili sasaaa
 
Back
Top Bottom