Ushirikina unaongezeka kwa kasi kubwa duniani

Mafanikio ya huu ulimwengu ni ushirikina uliokubuhu. Ili uamini, nabii Issa alipopelekwa mlimani na shetani alionyeshwa ufalme na utajiri wa dunia kama mali ya shetani. Ukitaka utajiri ni lazima upitie kwake! Huo ndio ushirikina.
 
Mafanikio ya huu ulimwengu ni ushirikina uliokubuhu. Ili uamini, nabii Issa alipopelekwa mlimani na shetani alionyeshwa ufalme na utajiri wa dunia kama mali ya shetani. Ukitaka utajiri ni lazima upitie kwake! Huo ndio ushirikina.
Wengi hili hawalifahamu na hata ukiwaambia habari za mkuu wa anga wanaweza kukubishia mpaka basi
 
Usiku huu tuna kazi moja tuu kuhakikisha uto kesho wanalala chali.. Cha ajabu nao huko wanafanya yao..
 
2 Kor 5:17 Hata imekuwa, mtu akiwa ndani ya Kristo amekuwa kiumbe kipya; ya kale yamepita tazama! Yamekuwa mapya.
Aaamen [emoji1545][emoji1545][emoji1545][emoji1534]
 
Mshana, ulishafatwa na watu wanataka uwasaidie kwenye hizo ishu??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…