Ushirikina walioufanya Simba ugenini ni kutuchafua watanzania, Vitendo vyao vina madhara makubwa sana juu ya fikra za wageni kwa watanzania kiujumla

Ushirikina walioufanya Simba ugenini ni kutuchafua watanzania, Vitendo vyao vina madhara makubwa sana juu ya fikra za wageni kwa watanzania kiujumla

.
images%20(2).jpg
 
Hata kama ni mind game basi hii ni ya ovyo kabisa . Unafanyaje mind game mbele ya makamera yote yale tena zama hizi za teknolojia? Je sio kukaribisha adhabu toka CAF kwa tuhuma za ushirikina uwanjani?
 
Ni wakati sasa kwa TFF kutoa adhabu kali kwa hawa washirikina. Jambo hili halikubaliki hata kidogo.

Yaani tunaonekana Watanzania ni watu wa juju! Jambo ambalo siyo sahihi hata kidogo.
 
Kama siri ya Simba kwa Mkapa ipo kwenye mambo haya tunapaswa kuwaiga, tena sisi tulete wachawi kutoka Gambia kabisa.

Simba haijafika robo final mara tatu kwa sababu ya uwezo wa kucheza mpira, kama kitu kinaleta mafanikio kina ubaya gani?

Hivi kwanza kuna watu wanapenda ushirikina kuwazidi hao Wazulu?

Au hujui kazi ya Uganga wa kienyeji Sangoma ni bonge la dili South Africa?

Halafu utakuta watu kama wewe una chale mpaka matakoni na kiunoni una hirizi linapumuwa kabisa.
Au Ka chanjwa hadi pumbu!
 
Kama siri ya Simba kwa Mkapa ipo kwenye mambo haya tunapaswa kuwaiga, tena sisi tulete wachawi kutoka Gambia kabisa.

Simba haijafika robo final mara tatu kwa sababu ya uwezo wa kucheza mpira, kama kitu kinaleta mafanikio kina ubaya gani?

Hivi kwanza kuna watu wanapenda ushirikina kuwazidi hao Wazulu?

Au hujui kazi ya Uganga wa kienyeji Sangoma ni bonge la dili South Africa?

Halafu utakuta watu kama wewe una chale mpaka matakoni na kiunoni una hirizi linapumuwa kabisa.
..👊👊👊...

Umefanya vyema kumchana huyo pimbi.
 
Kilichofanyika jana kimechukuliwa na nchi wengine kutuona watanzania ni watu wachawi, washirikina, hatumwamini Mwenyezi Mungu wala uwezo wetu bali tunaamini uchawi.

Hii inajenga maneno ya "watanzania ni wachawi" kwenye vinywa vya wageni.

Ni bora haya mambo yasihie humu humu ndani ya mipaka ila yasifanyike nje,

Wachezaji nao wote huwa wanapost picha wamevaa kanzu wengine wapo kanisani kumbe hakuna kitu ni maigizo tu,

View attachment 2200002
Hayo ya Simba na Orlando yameshapita, subiri jumamosi utalala na viatu wewe Uto..
 
Ni wakati sasa kwa TFF kutoa adhabu kali kwa hawa washirikina. Jambo hili halikubaliki hata kidogo.

Yaani tunaonekana Watanzania ni watu wa juju! Jambo ambalo siyo sahihi hata kidogo.

Unafanyaje ushirikina mbele ya makamera yote yale ukiwa nchi ya ugenini ?

Hiki kilichofanyik ni kinyume kabisa na mashabiki wanaowaombea misikitini na makanisani.

Off course tunajua Africa kuna mambo ya kihirikina lakini hata hayo mambo hufanyika kwa siri, inakuwaje nyie mfanye huu ushirikina hadharani,

alafu bila aibu mnasingizie ni "mindgame", hio mindgame gani inahusisha nguvu za giza ?

View attachment 2200002
C video ya kuedit iyo
 
Shabiki wa yanga anahangaika.Jikite kwenye kutoa ushauri timu yako ifike hatua hiyo angalau anayofika simba hata kama ni kwa uchawi.

Mna shida sn mashabiki wa yanga,onesha sura picha nzima tuone kama ni wa simba hao .

Jealous za kijinga kabisa
 
Hakuna ushirikina,ni mila zetu nzuri za kiafrika,acheni kujidharau
 
Shabiki wa yanga anahangaika.Jikite kwenye kutoa ushauri timu yako ifike hatua hiyo angalau anayofika simba hata kama ni kwa uchawi.

Mna shida sn mashabiki wa yanga,onesha sura picha nzima tuone kama ni wa simba hao .

Jealous za kijinga kabisa
Kwaio Unakataa Kama Ni Wachezaji Wa Simba Hao? Basi Ni Wachezaji Wa Mbeya City [emoji23]
 
Ni wakati sasa kwa TFF kutoa adhabu kali kwa hawa washirikina. Jambo hili halikubaliki hata kidogo.

Yaani tunaonekana Watanzania ni watu wa juju! Jambo ambalo siyo sahihi hata kidogo.

Unafanyaje ushirikina mbele ya makamera yote yale ukiwa nchi ya ugenini ?

Hiki kilichofanyik ni kinyume kabisa na mashabiki wanaowaombea misikitini na makanisani.

Off course tunajua Africa kuna mambo ya kihirikina lakini hata hayo mambo hufanyika kwa siri, inakuwaje nyie mfanye huu ushirikina hadharani,

alafu bila aibu mnasingizie ni "mindgame", hio mindgame gani inahusisha nguvu za giza ?

View attachment 2200002
Ukishajua kuwa huo ni uchawi ina maana na wewe ni mchawi. Waarabu na wapemba wanajuana kwa vilemba.
 
Ni wakati sasa kwa TFF kutoa adhabu kali kwa hawa washirikina. Jambo hili halikubaliki hata kidogo.

Yaani tunaonekana Watanzania ni watu wa juju! Jambo ambalo siyo sahihi hata kidogo.

Unafanyaje ushirikina mbele ya makamera yote yale ukiwa nchi ya ugenini ?

Hiki kilichofanyik ni kinyume kabisa na mashabiki wanaowaombea misikitini na makanisani.

Off course tunajua Africa kuna mambo ya kihirikina lakini hata hayo mambo hufanyika kwa siri, inakuwaje nyie mfanye huu ushirikina hadharani,

alafu bila aibu mnasingizie ni "mindgame", hio mindgame gani inahusisha nguvu za giza ?

View attachment 2200002
Mimi sio simba lakini hii picha sio halisi wakuu..
 
Ni wakati sasa kwa TFF kutoa adhabu kali kwa hawa washirikina. Jambo hili halikubaliki hata kidogo.

Yaani tunaonekana Watanzania ni watu wa juju! Jambo ambalo siyo sahihi hata kidogo.

Unafanyaje ushirikina mbele ya makamera yote yale ukiwa nchi ya ugenini ?

Hiki kilichofanyik ni kinyume kabisa na mashabiki wanaowaombea misikitini na makanisani.

Off course tunajua Africa kuna mambo ya kihirikina lakini hata hayo mambo hufanyika kwa siri, inakuwaje nyie mfanye huu ushirikina hadharani,

alafu bila aibu mnasingizie ni "mindgame", hio mindgame gani inahusisha nguvu za giza ?

View attachment 2200002
Timu la warozi
 
Hivi kuna team Tanzania inaroga kushinda yanga iliroga simba ikakosa magoli 27 ya wazi kwa yule mganga wao wa morogoro mpaka zahera alikuwa haamini kilichotokea hakuna ambaye hafanyi mambo ya kimila Africa ndio maana tunasema soka letu kivyetu vyetu.
 
Hivi kuna team Tanzania inaroga kushinda yanga iliroga simba ikakosa magoli 27 ya wazi kwa yule mganga wao wa morogoro mpaka zahera alikuwa haamini kilichotokea hakuna ambaye hafanyi mambo ya kimila Africa ndio maana tunasema soka letu kivyetu vyetu.
tunaomba picha ya wachezaji, viongozi au benchi la ufundi wakifanya huu ushirikina kwenye uwanja
 
Back
Top Bottom