Ushoga: Benki ya Dunia yasitisha mkopo kwa Uganda

Ushoga: Benki ya Dunia yasitisha mkopo kwa Uganda

Haya sasa ule uhuru wenu mliopigania uko wapi? Mzungu bado anawatala. Na bado.
 
Wakae nayo mafedha yao halaf watusaidie na kuwachukua mashoga wote wakaishi nao huko naona wanawapenda mno!!!
 
Ukiangalia kwa makini watu waliokatika ugonjwa huo wa akili wa kutojitambau uanadamu wao wengi wamekosa malezi. Ni vyema tuangalie namna ya kuwafanya watoto wetu wakue huku wakijitambua kuwa hakuna cha bure duniani. U cant be a man bila ya kupita kwenye moto na hauwezi kuwa mwanamke bila kujiheshimu. Kusimplify mambo na kutafuta huruma na urahisis kwa kukiuka uhalisia ni ujinga. Kuna jamaa moja alihojiwa CNN akasema hajachagua na hapendi kuwa shoga kama asivyopenda kuwa Mweusi . Yule mwandishi wa CNN alipotezea maana aliprove kuwa huyo jamaa kuwa ni mtu mwenye matatizo la akili hayupo kamili. Tuwachukluliwe ni wenye special need kama wale mateja wa unga na sio binadamu alikamilika. SORRY FOR THOSE , Lakini msimpe shetani nguvu kirahisi hivyo. Maana mwataka dunia ibaki bila watu?
 
Wewe unalinganisha ushoga na utumwa wa mtu mweusi?!! Utumwa kwani unaruhusiwa kwenye biblia au dini yeyote?!!

Mimi nalinganisha ubaguzi... Mambo ya dini tuweke pembeni.. Makanisa Afrika kusini yalitumia Biblia kuhalalisha apartheid.. Kwenye comment yangu naeleza kwamba kulikua na mtu moja, Abraham Lincoln, ambaye alipinga umma wote na kuwapa watu weusi haki zao. Soma, ubaguzi .., kama ubaguzi wa wanawake, nk...
 
Mimi nalinganisha ubaguzi... Mambo ya dini tuweke pembeni.. Makanisa Afrika kusini yalitumia Biblia kuhalalisha apartheid.. Kwenye comment yangu naeleza kwamba kulikua na mtu moja, Abraham Lincoln, ambaye alipinga umma wote na kuwapa watu weusi haki zao. Soma, ubaguzi .., kama ubaguzi wa wanawake, nk...
Yaani unataka nifikiri unavyotaka wewe. Ushoga ni tatizo, hata kama ulimwengu mzima utaona ni sawa kama ambavyo ubaguzi wa rangi ni tatizo hata kama kuna kipindi wazungu karibia wote waliona ni sawa.
 
Problem ya Afrika ni unafiki umoja wetu upo midomoni lakini kimatendo ni zero. Mfano mzuri ni vita vya Libya vya kumuondoa Ghadaffi tuliishia kutoa matamko tu

Libya ilikuwa vita ya ndani kama syria uganda inafanana vipi?
 
Ukiangalia kwa makini watu waliokatika ugonjwa huo wa akili wa kutojitambau uanadamu wao wengi wamekosa malezi. Ni vyema tuangalie namna ya kuwafanya watoto wetu wakue huku wakijitambua kuwa hakuna cha bure duniani. U cant be a man bila ya kupita kwenye moto na hauwezi kuwa mwanamke bila kujiheshimu. Kusimplify mambo na kutafuta huruma na urahisis kwa kukiuka uhalisia ni ujinga. Kuna jamaa moja alihojiwa CNN akasema hajachagua na hapendi kuwa shoga kama asivyopenda kuwa Mweusi . Yule mwandishi wa CNN alipotezea maana aliprove kuwa huyo jamaa kuwa ni mtu mwenye matatizo la akili hayupo kamili. Tuwachukluliwe ni wenye special need kama wale mateja wa unga na sio binadamu alikamilika. SORRY FOR THOSE , Lakini msimpe shetani nguvu kirahisi hivyo. Maana mwataka dunia ibaki bila watu?

Naunga mkono kabisa kuwa ni wagonjwa lkn mimi kinachonishangaza ni wazungu kuwaunga mkono. Je ujambazi si ni tabia ya mtu kwanini wasiwatambue majizi na kuwatetea. Kuna watu wanabadirisha jinsia zao na kupewa madawa na kuwa wanawake. Mbn sisikii ushabiki huu. Bali mwanaume amwingilie mwanaume mwenzie kweli? Uganda na Mseveni endelea kwa nguvu zote utashinda. Kweli hata japa tz wapo lkn ni aibu ukiwaona. Nasisi tutunge sheria ya kuwapiga mawe wote mfiraji na mfirwaji hadharani mpk kufa. Tabia zingine hujengwa tu miongoni mwa watoto kama wizi, roho mbaya, usenge, urafi, kutopenda wengine. USHOGA NI TABIA INAYOWEZA KUPIGWA VITA NA IKAPOTEA KABISA
 
sidhani kama USA/UK au nchi yeyote imelazimisha watu kuwa MASHOGA. Lakini kama mtu ni SHOGA au ameamua kuwa SHOGA aachwe aishi atakavyo na sio mumpangie au mumuue au kumfunga kwa sababu AMEAMUA kuwa shoga.

Huo ndio msimamo wao na haki za binadamu. Mimi binafsi sipendi USHOGA/MASHOGA lakini mtu akiamua kuwa shoga hainihusu afanye ushoga wake hayo ni maisha yake.wanachopinga USA na wenzao ni PERSECUTION dhidi ya mashoga,waacheni waishi watakavyo.

Mkuu, yaliyomo kwenye link hizi yatakujulisha marekani sio moja na ajenda husika kama unavyodhani, pia ya uganda yalitokea nigeria, lakini mwenzake badala ya kunyimwa msaada kaishia kuongezwa "mshiko" na hao hao UK. ........ Tafakari........ Chukua Hatua. Agenda halisi ni tofauti kidogo.

8 U.S. States Have Anti-Gay Laws Strikingly Similar to Those in Russia - PolicyMic


UK boosts aid to Nigeria despite its anti-gay law | Mail Online
 
......

Naye John Kerry, waziri ya Mambo ya Nchi za Nje wa Marekani, akiita sheria hiyo kuwa ni ya mauaji. Yeye pamoja na mshindi wa tuzo ya Nobel kutoka Afrika ya Kusini, Desmond Tutu waliilinganisha sheria hiyo na sheria za wanazi wa Ujerumani na ile ya ubaguzi wa rangi ya Afrika ya Kusini.
.....

Kumbe huyu mzee naye ni mtenda maovu (wild)....

Kama Wamarekani wanawapenda sana hawa watenda maovu...basi waovu hawa wakane uraia wa Uganda na Marekani iwape uraia na wahishi huko.

Nchi za magharibi kupitia IMF na WB wanaweza kujiendesha kwa kutoa mikopo isiyo na tija kwa Nchi za Afrika....maana mikopo hii ina riba kubwa. Na sasa walikuwa wanategemea kuwapa misaada Ukraine (Si mliona Juzi tu baada ya rais wa Ukraine kupinduliwa IMF ikasema iko tayari kuwapa msaada (mkopo) Ukraine tena kwa haraka... sasa dili hili linaelekea kubuma baada ya Urusi kuelekea kuwatilia ngumu kwa kutaka kumrejesha Rais aliyepinduliwa.

Kudhibitisha kuwa nchi hizi za magharibi zinategemea misaada(mikopo) wanayotupa nchi zinazoendelea....Umoja wa Ulaya (EU), ambayo iliwekea vikwazo Zimbabwe, eti inafikiria kuondolea vikwazo Zimbabwe...kiasa eti kunamendeleo ya uborehsaji wa Utawala nchini humo. Sasa sijajua tuko Mugabe akorofishane nao amebadilisha kitu gani...!? Mantiki hapa nikuwa hawa jamaa hawawezi bila kutoa mikopo.

http://english.cntv.cn/program/africalive/20140219/100491.shtml
 
dah….. kuna mijitu humu ndani haijitambui….
Et mtu akiamua kuwa shoga aachwe kwa kuwa kaamua mwenyewe! vipi mtu akiamua kuwa mwizi nae aachwe si kaamua mwenyewe…..! mi naona mseveni ana akili sana kwa kupitisha sheria hii…. swali ni kwa nini WB na IMF wanasitisha misaada kwa kupitishwa kwa sheria hii ambayo iko kinyume na jamii ya mwafrika na MUNGU kwa ujumla???
Mi naona MSEVENI abaki na huo msimamo!!! na sisi watanzania ipitishwe hiyo….
 
These whites are still using their colonial dectatorship.How comes they insist and surport evil deeds?what is same sex marriages.They have gone out of mind and may Allah punish.
 
As per my reasoning capacity there at the world bank all are gay individuals.
 
dah….. kuna mijitu humu ndani haijitambui….

Wewe ndiyo hujitambui kabisa! Ona tu hata mantiki yako ilivyo!

Et mtu akiamua kuwa shoga aachwe kwa kuwa kaamua mwenyewe! vipi mtu akiamua kuwa mwizi nae aachwe si kaamua mwenyewe…..!

Unalinganisha shoga na mwizi? Shoga anayejifanyia mambo yake chumbani kwake na mwizi anayeiba vitu na mali za watu unaona sawa wewe?

Shoga anachukua vitu vya nani? Anamtia nani hasara? Kulinganisha ushoga na wizi ni dalili ya kuwa na akili fupi kama ya mende!

mi naona mseveni ana akili sana kwa kupitisha sheria hii…. swali ni kwa nini WB na IMF wanasitisha misaada kwa kupitishwa kwa sheria hii ambayo iko kinyume na jamii ya mwafrika na MUNGU kwa ujumla???
Mi naona MSEVENI abaki na huo msimamo!!! na sisi watanzania ipitishwe hiyo….

"Mseveni" ndo nani?
 
Libya ilikuwa vita ya ndani kama syria uganda inafanana vipi?

Uganda vita yao ni ushoga basi tuwaache waimalize wenyewe uone kama wataweza halafu ihamie kwa Tanzania then uone kama peke yetu tuna ubavu wa kupigana vita hii. Ngoja nikuambie kitu viongozi wengi wa kiafrika ni wanafiki wakutupwa wanajifanya wako karibu na jamii lakini wakienda huko nje kuomba misaada wanakuwa kama vile mazuzu
 
Wewe ndiyo hujitambui kabisa! Ona tu hata mantiki yako ilivyo!



Unalinganisha shoga na mwizi? Shoga anayejifanyia mambo yake chumbani kwake na mwizi anayeiba vitu na mali za watu unaona sawa wewe?

Shoga anachukua vitu vya nani? Anamtia nani hasara? Kulinganisha ushoga na wizi ni dalili ya kuwa na akili fupi kama ya mende!



"Mseveni" ndo nani?

Mi nataka nkuulize maswali machache sana ya kutambua fikra zako...
1.ujue unavyotaka kuhalalisha ndoa za jinsia 1 ni kwamba upo tayari siku moja marais wa dunia wakutane kwenye mkutano wa UN na nchi'ko iwakilishwe na rais shoga.
2.uchague mbunge wa jimbo'ko shoga
3.nchi iwe na spika shoga
4.mafunzo yote uliofundishwa katka imani'ko siamini kama kuna sehem uliambiwa kua kuna ndoa ya jinsia moja sasa kama wewe unaisupport ina maana iman'ko na dini'ko haviendani sababu unazungumza kitu ambacho hukufundishwa..sisupport wauawe ila sisupport ushoga uhalalishwe..
 
Back
Top Bottom