Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
World bank pia ni bank ya Mashoga?? Uganda can use its resources and move on
Wewe unalinganisha ushoga na utumwa wa mtu mweusi?!! Utumwa kwani unaruhusiwa kwenye biblia au dini yeyote?!!
Yaani unataka nifikiri unavyotaka wewe. Ushoga ni tatizo, hata kama ulimwengu mzima utaona ni sawa kama ambavyo ubaguzi wa rangi ni tatizo hata kama kuna kipindi wazungu karibia wote waliona ni sawa.Mimi nalinganisha ubaguzi... Mambo ya dini tuweke pembeni.. Makanisa Afrika kusini yalitumia Biblia kuhalalisha apartheid.. Kwenye comment yangu naeleza kwamba kulikua na mtu moja, Abraham Lincoln, ambaye alipinga umma wote na kuwapa watu weusi haki zao. Soma, ubaguzi .., kama ubaguzi wa wanawake, nk...
Problem ya Afrika ni unafiki umoja wetu upo midomoni lakini kimatendo ni zero. Mfano mzuri ni vita vya Libya vya kumuondoa Ghadaffi tuliishia kutoa matamko tu
Ukiangalia kwa makini watu waliokatika ugonjwa huo wa akili wa kutojitambau uanadamu wao wengi wamekosa malezi. Ni vyema tuangalie namna ya kuwafanya watoto wetu wakue huku wakijitambua kuwa hakuna cha bure duniani. U cant be a man bila ya kupita kwenye moto na hauwezi kuwa mwanamke bila kujiheshimu. Kusimplify mambo na kutafuta huruma na urahisis kwa kukiuka uhalisia ni ujinga. Kuna jamaa moja alihojiwa CNN akasema hajachagua na hapendi kuwa shoga kama asivyopenda kuwa Mweusi . Yule mwandishi wa CNN alipotezea maana aliprove kuwa huyo jamaa kuwa ni mtu mwenye matatizo la akili hayupo kamili. Tuwachukluliwe ni wenye special need kama wale mateja wa unga na sio binadamu alikamilika. SORRY FOR THOSE , Lakini msimpe shetani nguvu kirahisi hivyo. Maana mwataka dunia ibaki bila watu?
sidhani kama USA/UK au nchi yeyote imelazimisha watu kuwa MASHOGA. Lakini kama mtu ni SHOGA au ameamua kuwa SHOGA aachwe aishi atakavyo na sio mumpangie au mumuue au kumfunga kwa sababu AMEAMUA kuwa shoga.
Huo ndio msimamo wao na haki za binadamu. Mimi binafsi sipendi USHOGA/MASHOGA lakini mtu akiamua kuwa shoga hainihusu afanye ushoga wake hayo ni maisha yake.wanachopinga USA na wenzao ni PERSECUTION dhidi ya mashoga,waacheni waishi watakavyo.
......
Naye John Kerry, waziri ya Mambo ya Nchi za Nje wa Marekani, akiita sheria hiyo kuwa ni ya mauaji. Yeye pamoja na mshindi wa tuzo ya Nobel kutoka Afrika ya Kusini, Desmond Tutu waliilinganisha sheria hiyo na sheria za wanazi wa Ujerumani na ile ya ubaguzi wa rangi ya Afrika ya Kusini.
.....
World bank pia ni bank ya Mashoga?? Uganda can use its resources and move on
dah….. kuna mijitu humu ndani haijitambui….
Et mtu akiamua kuwa shoga aachwe kwa kuwa kaamua mwenyewe! vipi mtu akiamua kuwa mwizi nae aachwe si kaamua mwenyewe…..!
mi naona mseveni ana akili sana kwa kupitisha sheria hii…. swali ni kwa nini WB na IMF wanasitisha misaada kwa kupitishwa kwa sheria hii ambayo iko kinyume na jamii ya mwafrika na MUNGU kwa ujumla???
Mi naona MSEVENI abaki na huo msimamo!!! na sisi watanzania ipitishwe hiyo….
Libya ilikuwa vita ya ndani kama syria uganda inafanana vipi?
Wewe ndiyo hujitambui kabisa! Ona tu hata mantiki yako ilivyo!
Unalinganisha shoga na mwizi? Shoga anayejifanyia mambo yake chumbani kwake na mwizi anayeiba vitu na mali za watu unaona sawa wewe?
Shoga anachukua vitu vya nani? Anamtia nani hasara? Kulinganisha ushoga na wizi ni dalili ya kuwa na akili fupi kama ya mende!
"Mseveni" ndo nani?