dudus
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 23,782
- 54,213
CNN & Co;Hii haitotangazwa kama ile waliyotafsiri vibaya. Its a clear statement na maumivu kwa upande wa giza.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
CNN & Co;Hii haitotangazwa kama ile waliyotafsiri vibaya. Its a clear statement na maumivu kwa upande wa giza.
Brother na midevu yako, unaamini kua Selemani alioa wake 700?Wanaume tamaa zimezidi. Sulemani alioa wanawake 700 na masuria 300. Ndio maana biblia inafundisha kuhusu KURIDHIKA, na Kujizuia(Kujiweza) ni sehemu ya Tunda la Roho.
Bila sifa hizo mbili hata ukipewa ruhusa ya kuoa wanne utaona hawatoshi, utataka 5,kisha nao utaona hawatoshi kama ilivyokuwa kwa mfalme Sulemani.
King Mswati amefikisha 15 bado kila mwaka anaoa mmoja. Hatujajua kufikia miaka 80 atakuwa na wangapi.Brother na midevu yako, unaamini kua Selemani alioa wake 700?
Mambo ya imani me mwenzenu yananichanganya sana.
Huo utafiti aliufanya wapi?Durteete anasema 80% ya mapadri ni mashoga.