Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 16,419
- 26,594
Soma mada na uielewe.Unaposema wana nia yakueneza kwani tunashikiwa fimbo kalazimishwa kufanya huo ujinga?.Au akili zetu ni ndogo kiasi gani hadi tushindwe kujisimamia...
Ushoga ni kufuru kwa dini zote.Tegemea povu toka kwa mashoga ya kibongo
Hili hata mimi linanishangaza.......rainbow naona ni kama takatifu mno kuweza kuihusisha na ushoga.Kwanini walichagua rainbow kama nembo yao
Ha ha ha ...hii mpyaWazungu hawana akili hata hizi gunduzi asilimia karibia 80 zimefanywa na ngozi nyeusi.
Wao ni kuboresha tu, pia tulikuwa tukigundua wanatuuua halafu wanakuja wao kusema wamegundua.
Wazungu hapa ndo ninapowachukia tuu. Hii mijitu sijui ipoje kmmkView attachment 2423837
View attachment 2423838
Sasa ni wazi.
Nchi za Ulaya na Marekani wana nia rasmi ya kueneza USHOGA dunia nzima.
Sina lugha nyepesi zaidi ya kusema huu ni USHENZI ambao duni huru haiwezi kuukubali.
Hakuna dini inaruhusu suala la ushoga, si Uislamu au Ukriso.
Wameamua kuifnya Qatar kuwa mfano wa kulazimisha ushenzi wao.
Nawapongeza Qatar kwa kutataa katakata kuruhusi hali hiyo isiyo ya kistaarabu.
Na hawa watu hawana haya, wanalinganisha hili la ushoga na haki za binadamu!!
Hata ninapoandikai hili naomba wanyeshewe mvua ya moto!!
Ndiyo maana yake!
Hawa sio wa kuwachekea hata kidogo...Qatar wamewanyoosha bila kupepesa macho mbwahawa.
Because wanapindwaKwanini walichagua rainbow kama nembo yao
Kwani umesahau obama na tony blair walipokuwa madarakani walilazimisha waafrika turuhusu huo ushenzi? na mugabe akamwambia obama kama wanataka tuoane sisis kwa sisi(wanaume}.....kwanza obama akubali kuolewa na mugabe????????Unaposema wana nia yakueneza kwani tunashikiwa fimbo kalazimishwa kufanya huo ujinga?.Au akili zetu ni ndogo kiasi gani hadi tushindwe kujisimamia. Au wewe unaweza kufanya au kuiga jambo la kipuuzi kwasababu umewaona wazungu au mtu mwingine mjinga akifanya? Tufundishe jamii yetu kujielewa ili hayo yakijinga ya wazungu wabaki nayo wenyewe.Vinginevyo tuna shida kubwa kama jamii na hatuko tayari kuishughulikia ndo maana tunataka kuelekeza lawama kwa wazungu wakati sisi wenyewe hatujitambui.
kwani umesahau obama na tony blair walipokuwa madarakani walilazimisha waafrika turuhusu huo ushenzi? na mugabe akamwambia obama kama wanataka tuoane sisis kwa sisi(wanaume}.....kwanza obama akubali kuolewa na mugabe????????
HahahahahahaBecause wanapindwa