Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Starpak kuna madem wakali buana! Nlitokaga job nkapitia pale nkakuta chuma hicho hakielezek nkapiga show chap chap nkachkua namb mbaka Leo nafanyiwa hadi home delivery[emoji28][emoji28]
Hujakutana na digi Digi za chuo mkuu?Starpack sijawahi kupaelewa kwa totozi, waluguru wale aaa hapana bana.
Lakini naheshimu macho ya mtu.
[emoji23][emoji23]Hebu ntumie namba zake PM mkuu, tujadili namna ya kupinga bandari yetu kuuzwa kwa mwarab
Domo zegeHebu ntumie namba zake PM mkuu, tujadili namna ya kupinga bandari yetu kuuzwa kwa mwarab
[emoji23][emoji23][emoji23] mkuu uliibiwaje iringa?Nakumbuka Iringa nilienda +255 VIP club pale Niko First year nikapiga konyagi viroba miaka ya 2012,Nikiwa na jamaa angu Charles popote ulipo ukaniacha nikabiwa simu yangu na nlikuambia uniangalie mi najizima data.Na ,40,000 ikaenda.Uzuri kesho yake Boom likatoka nikaenda mjini nikanunua kitochi kipya.Badae nikanunua Nokia X2 150,000 miaka ile.Nilikaa kwenye kochi Klab nimewekwa kati na mademu ndio kajoto kale usingizi ukanipitia.
Nshamjua!! Siku hizi yuko DubaiHilo la kuibiwa umenikumbusha niliwahi kukatana na manzi mmoja samaki samaki mcity! Akaja straight nilipokaa akaniambia nahitaji company, basi bana katika story akaniambia ana stress sana mpenz wake sijui kamfanya Nini, tulikunywa mpaka mida michafu badae tukajikuta tupo lodge, ile wenge la kuibiwa nikatoa wallet nikaitupa chini ya kitanda kisirisiri kumbe kaniona, akaniambia acha hizo Wala mi Sina njaa, aisee nilijishtukia sana siku io
Kesho yake asubuhi Dem kaenda atm Kavuta mkwanja wa maana tukala Bata kama siku 2, kuja kujua kumbe ni WA kishua balaa niliwahi kwenda kwao kawe nikahisi nimeingia hotelini
ana bahati sn mkuu wale wanaondokaga na nguo kbs wanaenda kusachia maghetoni kwao unaamka na towel la lodge[emoji3][emoji2][emoji28]Mademu WA Moro ni majambazi una bahati ,uyo demu sio WA kaumba ,maana mademu wakaumba wanasogeaga hapo starpark mida Fulani ya usiku ,hao hawachagui ,simu Hadi pesa wanabeba,bro pesa yako isijekuponza[emoji3][emoji3]kilichonikuta pale kaumba sitosahau
We umezngua sana mkuuStarpark kuna watoto sana last week nilikuwa hapo na mwanangu yeye akapata mtot mkali mm nikamzngua situmii hayo mavitu [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ko unataka utuambie madem wa dar ni wastaarabu😃😃ana bahati sn mkuu wale wanaondokaga na nguo kbs wanaenda kusachia maghetoni kwao unaamka na towel la lodge[emoji3][emoji2][emoji28]
JESUS!!Dah umri wangu wote huu sijawahi kununua malaya kmmk. Sijui mniite mlokole au msabato