Ushuhuda: Ama kweli pombe sio sigara yamenikuta

[emoji23][emoji23][emoji23] mkuu uliibiwaje iringa?

Wanachuo wanaoibiwa sana iringa ni wa mkwawa
 
Nshamjua!! Siku hizi yuko Dubai
 
ana bahati sn mkuu wale wanaondokaga na nguo kbs wanaenda kusachia maghetoni kwao unaamka na towel la lodge[emoji3][emoji2][emoji28]
 
Starpark kuna watoto sana last week nilikuwa hapo na mwanangu yeye akapata mtot mkali mm nikamzngua situmii hayo mavitu [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
ana bahati sn mkuu wale wanaondokaga na nguo kbs wanaenda kusachia maghetoni kwao unaamka na towel la lodge[emoji3][emoji2][emoji28]
Ko unataka utuambie madem wa dar ni wastaarabu😃😃
 
Dah umri wangu wote huu sijawahi kununua malaya kmmk. Sijui mniite mlokole au msabato
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…