Ushuhuda: Biashara ya mchele ni ngumu mno!

Nenda kwa mamantilie jaribu kuongea nao pengine wanaweza kununua kutoka kwako. Au jaribu kusikilizia wapi kuna shuhuli ya ubwabwa unaweza kuwapelekea wakaununua.



Lunatic [emoji2957][emoji2957][emoji2957]
Wale wanachukua Mchele wa 1300-1400 hawawezi kuchukua Mchele wa 1700_2000 eti kisa unatokea mbeya au unanukia mkuu
 

Nakupa maneno ya akiba ukiona mfanyabiashara anakwambia Bora biashara ya mtama wakati yeye anauza mchele huyo mwanga usoni na moyoni mchawi. Yaani jiulize wewe kwake kama nani hata akupe mchongo huo na yeye asifanye?



Lunatic [emoji2957][emoji2957][emoji2957]
 
Yeye auzi Mchele anauza nafaka zingine kama mtama n.k kaorodhesha hapo.
 
Wenye mitaji mikubwa ndio wanafaidika mkuu
 
sawa haina shida... wewe ukifika sokoni ulizia kwa Mwarabu wanapouza nafaka utanikuta najulikana sana kwa kuuza nafaka za jumla nipo upande wa fremu sio sokoni mule ndani... ukiulizia utanipata fasta tuu...
 
Kweli aisee mambo ni mazito mno
 
Ukinunua mchele usiende kuuza sokoni, wale madalali nao wanataka wapige cha juu, shusha mzigo wako kisha ingia kitaa jwa wenye maduka ambao ndio wauzaji wa mwisho
Nimefikiria hvyo lakini nimepiga hesabu nimejikuta nitapata hasara...maduka hapa yako mbali mfano upeleke mzigo kimara gharama tu ya kusafirisha mzigo ndio faida yangu mkuu
 
Nenda Kwimba Mchele Huo Ulioweka Kwenye Picture Wao Wanauza Kilogram 1 Tshs 1200/=
Waki~Grade Yaani Kuchambua Kwenye Mashine Mzima Unauzwa Kilogram 1 Tshs 1300/=
 
Nenda Kwimba Mchele Huo Ulioweka Kwenye Picture Wao Wanauza Kilogram 1 Tshs 1200/=
Waki~Grade Yaani Kuchambua Kwenye Mashine Mzima Unauzwa Kilogram 1 Tshs 1300/=
Sasa hizo gharama ndio nimechukulia mbeya mkuu?...mfano niuchukulie kwimba kwa hiyo 1300 huku dar nitauza shingapi? Ondoa gharama zote za usafiri n.k
 
Vizuri
 
Umemshauri vizuri sana
 
Safi Sana, Ubarikiwe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…