Ushuhuda: Hatimaye ametiki

Wewe ni kavulana siyo mwanaume

Kama mwanaume mwingine angechap huko huko juu relini

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

We mpuuzi sana

Lkn kakufunddisha how the man behave
 
Wewe ni kavulana siyo mwanaume

Kama mwanaume mwingine angechap huko huko juu relini

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

We mpuuzi sana

Lkn kakufunddisha how the man behave
hahaah 🤣🤣🤣 Haya bana mkuu.
Ila kanifunza kuvumilia maisha
 
Mkuu tayari yote
Sasa kumbe stori yenyewe fupi tu hivi...

Halafu hebu niweke sawa hapa, nahisi kama umetushika masikio...

Tulitembelea nae juu ya reli ikafika sehemu tukaketi tukapiga story nyingi...

Alicheka sana tabasamu kama lote, tulipiga story huku treni zikipita...

Mliwezaje kupanda kule juu ya reli pale darajani, kiasi kwamba mkawa mnatembea juu yake huku treni zinapita?

Treni zipi hizo zilizokuwa zinapita wakati ile ni njia kuu ya treni ya Tazara, Dar <> KapiriMposhi? Na ni njia moja tu ya reli pale?

 
Tulikaa relini, ila wakati tureni zinapita tulikua tunapisha.
Harafu siku hiyo zilipita treni mbili za mizigo zilikua zinaelekea upande mmoja.
NB: reli hiyo ni ambayo ipo darajani kama unaelekea uyole si ile ya mbalizi
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] daah! Watu mna maneno hatari, eti "kweli ww kasomi"
Watu bhana
 
Tulikaa relini, ila wakati tureni zinapita tulikua tunapisha.
Harafu siku hiyo zilipita treni mbili za mizigo zilikua zinaelekea upande mmoja.
NB: reli hiyo ni ambayo ipo darajani kama unaelekea uyole si ile ya mbalizi

Ndio hiyo kwenye picha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…