Ushuhuda: Hatimaye ametiki

Ushuhuda: Hatimaye ametiki

Utakuwa mgeni wa Mbeya au umezaliwa karibuni...

That photo was taken around 2007, ni hiyo njia ya kutokea Uyole kuelekea Sae/Ilomba/Mwanjelwa huko...

Kule Mbalizi by the way hakuna msitu wa miti hivyo bali msitu wa nyumba za watu, plus mandhari yake haina mamiti miti pembeni na lami yake ni mbaya mbaya yenye kuchagizwa na kimwinuko (sio tambarare)
Labda maana sisi watoto wa 2014 ni tabu tupu
 
SHUHUDA: HATIMAYE AMETIKI (based on my true story) 6th epsode
... Nikaamua siku hiyo nisiwe mvivu inatakiwa Nimutolee uvivu yaani niliamua kumtusi kua anavyo jiona na anavyo ishi nilianza kumshushia Nondo.
Kama hizi 👇
"Ujue ukipendwa usjipe kiburi hvyo hata kama mtu humpendi.
Kwani wewe ni mtu wa kwanza kutongozwa yaan kisa hukunipenda ndio ujione kua wewe
ni wewe"
Nilimwambia mambo mengi nikamfundisha jinsi maisha yanavyo enda.
"Usiwe na akili za darasani tu jaribu kua na akili extra zikusaidie maisha".
Alijaribu kujitetea lakini nilizidi kumuwakia
"Yaani ujue unajion sana wewe.
Ni kama sifa kumblock mtu mara kwa mara.
Hivi ungepewa nafasi ya kuwa na mamlaka duniani ingekuwaje.
Yaani unatumia nguvu ya mzungu je ungekua Nayo wewe sasa"
Nilimwambia maneno mengi makali
"Ujue unaweza kua na maisha mazuri leo pia na ndugu wenye maisha mazuri.
Tabia hiyo itakufanya kuwadharau wengine lakini ipo siku unacho jivunia itatoweka"
"Ujue naumia sana unap jiona wewe ni wewe na kupenda kumzarau mtu yaani unamshusha kana kwamba yeye si kitu kwako"
Nilizidi kuporomoka
"Sawa leo unaniona mimi si kitu kwako ila amini ipo siku tabia kama hii utakuta kwa watu wengine.
Hebu jaribu kuishi na watu vizuri"
Maneno mengi sana nilimuwakia.
Yalivyo muingia akajibu tena kwa herufi kubwa
"OKAY, INATOSHA YALISHAISHA NA YALISHAPITA" "OKAY YAISHE"

Moyoni nikasema hapa hapa nikazie hizi zalau zimuishe
Nilimwambia tena maneno mengine
"Sawa ila endelea sina thamani kwak ila ninathaman kwa mtu fulani" akaanza kujibu kwa upole kuwa "Yale yote yaliyotokea nyuma nimeyasahau" na mimi nikasema hapa hapa ameanza kujirudi.
Nikaendelea kumchana na yeye alijibu kwa upole sana "Hayo nlishayapokea" likaendelea kumpa somo akasema ameelewa ila si kama ninavyo taka mimi. Akaanza kueleweka kidogo na mimi kuniomba "sawa isiwe kesi ila ukiendelea na zile tabia zako hatutoelewana hata kidogo" na mimi hapa hapa ndo nipitie kwenye hii mada nikiwa namuelekeza huku natupia kamba mara nikaona tukauli twake tunajirudi "ndo mnavyo danganyaga watoto wa watu,japo watoto wa watu hatunaga akili ila nyie mnachangia pakubwa sana. Kwakuwa watoto wa watu cheap kwaiyo ndo mnaitumia iyo nafasi"
Nikamuelekeza maisha yalivyo nikamwambia jinsi nilivyo mpenda yaani uongo mwingi ili kunogesha maongezi ili ajue anapendwa.
Nilimuelekeza sana mara akaanza kusema "apana ndo naanza kupata picha halisi kumbe ndo mlivyo yaani mnajua kudanganya" na mimi nakazia hapo hapo naona anajileta nikamuelekeza zaidi mara akaanza kuniuliza na mimi "kwamba ndo tuanze kuiga maisha ya watu wengine" nilijitahidi sana kuteka hisia zake siku hiyo. Nikamwambia aniamini mara ohhh "we siwezi kukuamini kwa chochote" nikamsomesha mtoto Mungu si asumani mtoto akatiki akasema "Sawa nimekuelewa basi nisamehe kwa yote yaliyo tokea nyuma tuanze maisha mapya lakini usije niumiza" na mimi moyoni yes nikajua tayari mtoto kaingia King kwahiyo nacheza popote.
Ilikua ni chating kuanzia saa3usiku tulivyo anza kuzodoana hadi inafika muda wa saa nane usiku ilikuwa siku ya kuamkia j'pili.
Hivyo ndo mkeka wangu ulitiki.
Note: Kumbe sometimes si kuwabembeleza ni kuwafokea na kuwabembeleza tena(Yaani kwa lugha nyepesi ni kung'ata na kupuliza).
Hivyo ndio binti Adelina alivyo ingia kwenye mikono ya mtu mzima kasomi kipindi hicho.

Shuhuda: Hatimaye Ametiki
Huyo hajakupenda bali Kakuonea Huruma baada ya kuona umetumia effort Kubwa Sana😂😁
 
SHUHUDA: HATIMAYE AMETIKI (based on my true story) 3rd epsode
...Binti nilivyo maliza kumuelekeza ikabidi uwe wakati wake wa kutoa maamuzi.
Ukisikia siku ya kufa nyani miti yote huteleza ndo Siku ile sasa yaani mda mwingi nimefuatilia naongea naye na kuchati naye sasa wakati wa kutoa maamuzi ukifkiri na jinsi alivyokuwa anajibu kwa wakati huo namuelekeza nilijua fika hapa mkeka lazima utiki kulingana na mashambulizi na porojo nilizo kua nikimwambia.
Lakini binti majibu yake yalikuwa ni hapana yaani hawezi kua kwenye mahusiano ya kimapenzi na mwanaume yeyote.
Nilijatahidi kumuelekeza zaidi binti alinikazia kabisa tena akasema nikiendelea kumfuatilia atakacho fanya sitakuja kusahau. Nami nilijitahidi kumuelewesha lakini akakaza mpaka Mawasiliano yakaisha hapo nikawa nimeambulia patupu.
Ilibidi nikomae nae kibishi tu mpaka kieleweke, nikawa nachati nae na kuongea naye mda mwingine namufuata tunabonga nae live.
Ikabidi niombe tena tuonane akawa kama anawleweka vile(uzuri wake kilicho nichanganya ni kuwa mda mwingine unawasiliana nae kama mpenzi mda mwingine kama adui).
Kwahiyo hayo yalinichanganya nisimuelewe kabisa, lakini nikaamua kukaza nikaamua kumuomba nafasi ya kukutana weekend akakubali akaniuliza sehemu gani kwa kua yeye kipindi hicho alikuwa anaishi majengo karibu na soko matola jirani na mitaa ya maendeleo, na ukilinganisha na mimi nilikuwa nakaa Uzunguni B. Hivyo ilinibidi nimwambie tukutane Garden ya mkoa aligoma akasema hapo hawezi labda sehemu nyingine, nikamuelekeza akakubali kua kesho tukutane ambayo ilikuwa siku ya j'mossi. Siku yenyewe ikafika nikamcheki akawa kimya tu, piga simu hapokei, tuma sms hajibu mpaka nikakata tamaa ilikuwa mida ya saa 9 alasili mpaka saa kumi jioni. Nilikata tamaa, Mara mida ya saa 11 jioni akanicheki yeye nikamwambia kuona akasema hawezi mda umeenda nikapiga porojo akagoma ikiwa imeshindikana.
Ikabidi niendelee kuhangaisha nae kama msemo mmoja usemao If you fail to convince, confuse them. huo msemo niliamua kuuapply yaani nikimuona amekaa namfata, akiwa anaelekea nyumbani namfata.
Kuna mda nilikuwa msumbufu zaidi hadi ikafikia mda mwingine ananiblock mda mwingine ndo ana unblock tena. Mbaya zaidi alinitesa kwa njia ya kuniblock harafu ananisumbua kwa kunitumia sms mara utateseka sana mara tusisumbuane yaani hapo mimi hata nikimujibu hawezi pata sms zangu.
Na mimi niliamua kumsumbua kwa kutumia namba zingine yaani naazima simu namchek iwe kupiga au sms ili ajue ni mimi. Maisha yakaenda kwa kusumbuana hivyo mda mwingine mawasiliano yanakuwepo mda mwingine ndio hivyo.
Kuna mda alinichukia kua mimi ni msumbufu, nakera,simuelewa na mubishi. Na ilikuwa kweli kabisa sema yeye aliyasababisha yeye.
Maisha yakaendelea hivyo hivyo kibishi.
Yaani ilikuwa semister ya kwanza hadi semister ya pili tunasumbuana.
Siku moja moja tukatibuana nae tukachati kwa majibu ya hovyo sana mpaka akawa kimya ilikuwa asubuhi, lakini ilipo fika mda wa saa8 mchana Mara nikaona sms yake ikinianza nami nikajibu kama ifuatavyo.
Yeye: today nakupa favor Si unataka kuonana na mimi.
Mimi: ndiyo
Yeye: lakini naishi mbali na chuo utaweza kuja?
Nami nikakubali kua popote naweza fika kikubwa anielekeze.
yeye: Panda daladala shukia darajani.
Wala sikujua ni darajani wapi huku moyo huamini Yaani mtu asubuhi tumetibuana harafu jioni hii anipe ofa.
Nikapiga moyo konde nikamuomba anielekeze darajani ya wapi nishukie.
Akaniekekeza kua nipande daladala za S/Kuu to Igawilo ndo akasema nishukie darajani. Nikaona nipande daladala maeneo ya Ujenzi ili kuelekea darajani kuonana na mtoto niliye kaa kumsubiri.


To be continued...
Ukinganinizi huo kwenye SEA policy ni kosa la jinai kbs akisema hataki mwache

Sent from my Nokia 3.2 using JamiiForums mobile app
 
SHUHUDA: HATIMAYE AMETIKI (based on my true story) 6th epsode
... Nikaamua siku hiyo nisiwe mvivu inatakiwa Nimutolee uvivu yaani niliamua kumtusi kua anavyo jiona na anavyo ishi nilianza kumshushia Nondo.
Kama hizi [emoji116]
"Ujue ukipendwa usjipe kiburi hvyo hata kama mtu humpendi.
Kwani wewe ni mtu wa kwanza kutongozwa yaan kisa hukunipenda ndio ujione kua wewe
ni wewe"
Nilimwambia mambo mengi nikamfundisha jinsi maisha yanavyo enda.
"Usiwe na akili za darasani tu jaribu kua na akili extra zikusaidie maisha".
Alijaribu kujitetea lakini nilizidi kumuwakia
"Yaani ujue unajion sana wewe.
Ni kama sifa kumblock mtu mara kwa mara.
Hivi ungepewa nafasi ya kuwa na mamlaka duniani ingekuwaje.
Yaani unatumia nguvu ya mzungu je ungekua Nayo wewe sasa"
Nilimwambia maneno mengi makali
"Ujue unaweza kua na maisha mazuri leo pia na ndugu wenye maisha mazuri.
Tabia hiyo itakufanya kuwadharau wengine lakini ipo siku unacho jivunia itatoweka"
"Ujue naumia sana unap jiona wewe ni wewe na kupenda kumzarau mtu yaani unamshusha kana kwamba yeye si kitu kwako"
Nilizidi kuporomoka
"Sawa leo unaniona mimi si kitu kwako ila amini ipo siku tabia kama hii utakuta kwa watu wengine.
Hebu jaribu kuishi na watu vizuri"
Maneno mengi sana nilimuwakia.
Yalivyo muingia akajibu tena kwa herufi kubwa
"OKAY, INATOSHA YALISHAISHA NA YALISHAPITA" "OKAY YAISHE"

Moyoni nikasema hapa hapa nikazie hizi zalau zimuishe
Nilimwambia tena maneno mengine
"Sawa ila endelea sina thamani kwak ila ninathaman kwa mtu fulani" akaanza kujibu kwa upole kuwa "Yale yote yaliyotokea nyuma nimeyasahau" na mimi nikasema hapa hapa ameanza kujirudi.
Nikaendelea kumchana na yeye alijibu kwa upole sana "Hayo nlishayapokea" likaendelea kumpa somo akasema ameelewa ila si kama ninavyo taka mimi. Akaanza kueleweka kidogo na mimi kuniomba "sawa isiwe kesi ila ukiendelea na zile tabia zako hatutoelewana hata kidogo" na mimi hapa hapa ndo nipitie kwenye hii mada nikiwa namuelekeza huku natupia kamba mara nikaona tukauli twake tunajirudi "ndo mnavyo danganyaga watoto wa watu,japo watoto wa watu hatunaga akili ila nyie mnachangia pakubwa sana. Kwakuwa watoto wa watu cheap kwaiyo ndo mnaitumia iyo nafasi"
Nikamuelekeza maisha yalivyo nikamwambia jinsi nilivyo mpenda yaani uongo mwingi ili kunogesha maongezi ili ajue anapendwa.
Nilimuelekeza sana mara akaanza kusema "apana ndo naanza kupata picha halisi kumbe ndo mlivyo yaani mnajua kudanganya" na mimi nakazia hapo hapo naona anajileta nikamuelekeza zaidi mara akaanza kuniuliza na mimi "kwamba ndo tuanze kuiga maisha ya watu wengine" nilijitahidi sana kuteka hisia zake siku hiyo. Nikamwambia aniamini mara ohhh "we siwezi kukuamini kwa chochote" nikamsomesha mtoto Mungu si asumani mtoto akatiki akasema "Sawa nimekuelewa basi nisamehe kwa yote yaliyo tokea nyuma tuanze maisha mapya lakini usije niumiza" na mimi moyoni yes nikajua tayari mtoto kaingia King kwahiyo nacheza popote.
Ilikua ni chating kuanzia saa3usiku tulivyo anza kuzodoana hadi inafika muda wa saa nane usiku ilikuwa siku ya kuamkia j'pili.
Hivyo ndo mkeka wangu ulitiki.
Note: Kumbe sometimes si kuwabembeleza ni kuwafokea na kuwabembeleza tena(Yaani kwa lugha nyepesi ni kung'ata na kupuliza).
Hivyo ndio binti Adelina alivyo ingia kwenye mikono ya mtu mzima kasomi kipindi hicho.

Shuhuda: Hatimaye Ametiki
Amani iwe nanyi ndugu zangu!!!!

Natumaini tunaendelea na majukumu yetu vizuri ,kikubwa ni uhai.

NAKAZIA KWA HII EPISODE YA6

nlikuwa na case kama yako miaka kadhaa nayo mwishoni ikaja kutiki.

Ilikuwa hivi miaka kadhaa iliyopita nipo jeshini mujibu wa sheria, nje ya hanga letu niko na inmate wangu mmoja tukiwaza tunaendaje kuitafutaa saa sita ya mkesha.

Basi wakati tunapiga story hapo hangani mlangoni ,wakawa wanapita makurutu kwenda kwenye kombania zao na kwa kuwa hanga letu ni la kwanza na liko njian kabisa ikawa ni rahic kuwaona watu wakipita.

Basi stories zimeendaa ,akaja dada mmoja ,jamaa yangu akamuita tu amzinguee kama unavojuaa watoto wa kiume mbele ya sketi (joking) ,basi yule dada akaja wakapiga story kadhaaa ......... Maraaa paaaaaap jamaaa akanirushia mtoto niendeleee kumchatisha aaah basi kishingo upande nikapokea usukani...... Kumbe jamaaa alikuwa amemuona manzi wake anakuja hangani kwetu sasa ili kuzuga akaniacha nae mie.

Basi mie story mbili tatu ,tukafahamiana ,akanipa namba yake ....... Sikuwa na simu hapo hivo nkaikariri kichwani ........ Usiku paaaaap nikamcheki ..... Kwanza alishangaaa kuona nimeishika ile namba.

Basi life likasonga sikumtongoza ila nikawa naonesha kama namuhitaji ...... Sikushindwa kumtongoza but kumwambia mtu nampenda ilihali na mtamani tuu huwa siwezi mara nyingi.

Kuna siku nkamuita nlikuwa na pipi ,nikataka nimlishe akagoma ,nkaona sio mbaya nkampa pipi yake akatembeaa.

Siku tunachat nkamuuliza mbona uligomea nkulishe pp, akasema ye cjui anamtu huko kombania yao C mie nlikuwa A coy ya demo ,basi kuanzia hapo nkimhitaji kumuona anaznguaa kujaaa ........ Siku zimeeenda ,tunamalizia kumaliza kozi ...disco nalo liko njian linakujaaa .... Ntapata wapi wa kucheza nae ..nkaona sio mbya nimtafutee huyu dadaaa. Nlifua dafu akawa anasema anamtu wakee, basi ikashindikana.

Kuanzia siku hiyo ambayo alikataa kulishwa pipi ,hadi naondoka sikufanikiwa kumuona hasa ukizingatia nlikuwa kambi moja yenye baridi sana pale 841kj ,kwahiyo kuvaaa mizura na manguo mengi mengi ma pull over yanakufanya ushindwe kumtambuaa mtu vzuri though yalikuwa yanakatazwa lakini kutokana na baridi ya Mafingani palee tukawa tunavaa na maboshori kibishiii..... Ila usidakwe tu na Afande Captain Moshi.

MUHIMU:Kipindi niko jeshini nliibiwa cmu yangu, nimeenda kufoleni master parade,nkaja Nikapigwa cmu muda sana, nkarudi likizo mzee akanipa simu yake niitumiee ilikuwa nokia Lumia na ndio nliokuwa natumia kuchati na huyu mtoto serengeti at that time.

Sasa tuendeleee


Tumerudi kutoka jeshini nikawa namtafuta mtoto wa watu ,akawa anajifanya hanijuii ,nkakitambulisha pale weeee ,kama kawaida yao ,eewwh ulikuwa unassmaje .....nabaki nimeishiwa pozii.. nkaona niifute tu ile namba.

Siku wiki miezi na miaka imepita niko chuo ,nikawa na connect simu yangu nokia niitumie kwa pc , nkaja kuonana na chats zetu .....aaaaah nkamkumbuka ni fulan ,at that ikumbukwe nlikuwa na simu ya whatsapp basi nkamcheki ,kama kawaida maswali yao yale ,namba umetoa wapi,shida yako nk .

Basi nkakitambulisha akasema hanikumbuki but mie nkawa namtajia kila event tulofanya tukiwa jeshini... Stilll hakuwa anakumbuka...


CENTRAL THEME:Kimbembe kikaanzia hapaaa nkaaamua nimtoleee uvivu, yule dada alikuwa mfupi,kadogo dogo, so nkamponda sana siku hiyoo ,nlimuambia maneno makali sana ,naye piaa akawa ananijibu basi tumejibizana matusi makubwa sana ...... Nikamtusiiii weeee then nikamblock ,asireply ,baada ya siku kadhaaa nika unblock.

Kwakuwa mie nlikuwa namjuaaa ,yale yote nlompondea yalikuwa yakweli lakini ye kwa kuwa hajui adui yake yukojee alikuwa anatusi haya matusi mengine hayaa makubwaa though Nlimtumia picha ya selfie.

Basi bhana kwakuwa nlikuwa na hasira sana sikuhiyoo wakati tunatukanana lakin baada ya siku kadhaa nlipowa nkaona sio fair kufight na mtoto wa kike ,nkamuomba radhi kwa kumtukana though na yeye alinitusi sana.

Basi akaanza lalalma palee lakini mie nlitaka tu tuyamalize kila mtu abaki kama zamani kwahio nlikuwa nakubali tu ili yaishe ....dada kuona vilee nayee akaaanza jirudi sasaa.

Naye akaniomba msamaha..... Yakaisha tukaaanza ukurasa upyaaa wa urafiki basi tukafahamiana vzuri, tukaja kuwa best friends sana though tuko mkoa mmoja but cjapata time ya kukutana nae since tutoke jeshini.

HUZUNI: Mwaka huu mwezi wa 2 alifiwa na mama yake, akanambiaa though alichelewa nambia tokana na hali ilivokuwa kipindi tukio latokea , MBAYA ZAID mwezi huu wa nne tena kampoteza baba yake piaaaa.

Akaja nambiaaa Fulani na baba piaa kaniachaaa ,nkampa poleeee paleeeee

Maisha yanaendelea ,lakini kawa rafki yangu mzuri mno.

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kazi iendeleeeee.

Nakuja na kisa kingine ,ngoja mkono upoeee kidogoooo....
 
Kisa kingine .....

Kuna binti alikuja kikijini kwetu kutokea mkoa fulani basi ,kutokana na mambo ya shule sikuwa napata muda wa kuwajua wageni wapayaa palee kijijini na ukizingatia nko advance mbali na home so sikuwa napata muda mrefu ku interact kitaaaa.

Straight to the point ,mwaka 2019 yule dogo alianza nizoeaaa though mie sinaga story sana na stranger hasa wa kike, basi kuna huduma tulikuwa tunaifanya pale kijijini ikanifanya niwe na kutana nae frequently ,basi akaanza kunizoea japo sio kwa storiiiiiij saaaaana ni hizi za kawaida salam basi sana.

Akaja niomba urafiki fb ,nkaaa cheki kwanza dp akapita hii stage muhimu sana .... Nika accept , but jina alokuwa anatumia fb aio lake ni jina la ndugu yake. Tukawa tunapiga normal chats dogo akawa anazidi kuwa comfortable na mie ,na wala sikuwa na nia ya kutongozaa.

Hakutaka kunipa namba yake ,tulikuwa tukichat messenger tu akidai anaogopa akichat kwa normal messages or whatsapp , so nikawa mdau wa messenger namie.

Badae baada ya kufahamiana akaja nambia ye hana mtu pale kijijini na ni bikira, nkawa namshauri tu ajitunze na uongo uongo mwingi paleee ,ckuwa interested nayeee at that time.

Siku zimepita akaniangushia namba yake tukawa tunachat whatsapp na normal text siku anapigaa akiwa na dakika japo mkikutana face to face ni muoga sana kama akiwa kwa simu.
So jukumu langu lilikuwa ni kumfanya awe comfortable namie nkafanikiwa kwa kiasi.

To shorten a story,..........

Miaka miwili jmepita tangu tujuane vzuri,nlikuwa nkimhuliza issue za mahusiano anasema ye bado mtoto ,at 2019 she had 17 years ka sikosei, so anawait hadi akuee Kwanzaa. Ikumbuke hakuwa akisoma shule but ni shopkeeper tu

Ndani ya miaka miwili hio nlikuwa nachat nae story za mapenzi sana na stories zngne za life na mahusiano.

Siku za hivi karibuni ni kawa nafanya feasibility study [emoji1][emoji1][emoji1] nkawa naingizia kama namtaka hivi dogo anakataaa ,tena anasema sitaki wewe bro wangu[emoji23][emoji23].
Ukiuliza sababu utasikia....
1.Wasomi mnadharau sana

Nkamuuliza unasma unataka Mume toka kwa Bwana ,je akikupa mtu msomi ... Utaona hakana point ya ziada


Juzi 2021 ,04 30 ,tulikuwa tunachat kuna maswali nkawa namuuliza kuhusu kuolewa, AKANIJIBU namuomba Bwana atanipaa mme mwema.



Sasa kimbembe kikaanza hapooo .....
Nkaaaamua nimchane kwa mazuri,nkamuambia mambo kadhaaa mengine ntayaandika hapaa kama naweza kuyakumbuka.....

1.Ni kweli mme bora anatoka kwa Bwana,but u cannot sit down there ukataka huyo mume ajee ,ni lazime upigee magoti ufunge na kuomba Mungu ndo akusaidiee ila sio kukaaa chini huombi wala nini ukitegemeaa Mungu atakuleteaaa.

2. Nkamuambia achgue kama kweli anataka mume bora akubali gharama yake ,nkamtolea mfano wa Hannah aliekuwa na shauku yakupata mtoto alivojikaribisha karibu na Mungu kwa bidiiii... Vilevile nikambkumbusha life has no extra time, na umri kwa mdada ndo kila kitu so asikatae wanamme akisema kuwa mme bora anatoka kwa Bwana na asitake any measures ili Mungu ampatie huyo mume bora akajikuta umri umeenda akaja kuolewa na mtu ambae hakutegemeaa ,ikiwa wale walokuwa wanamtaka kwa kipindi hicho washaoa na watoto tayari.

3.Nkamkumbusha kumuuliza hao wanaomuambia kuwa asubiri mme kutoka kwa Bwana kama wao walifanyaaa hivyooo na kulishana upepo tuuu.

Baada ya hizo sms kikatawala kimyaa ambacho sio cha kawaida kwa siku kama mojaaa.

Sasa siku 2 zimepita nafikir 01 05 2021 kanitafuta tumechat tena ,kuna maswali simple nikawa namuuliza akawa short answer maswali ya explanation .....nkaona sio mbayaa nkamtell vipi mbona maswali yangu majibu ndo kama hivoo na mengine hujibu .... Akanambiaa kuwa magumu ,nkamuuliza lipi gumu ,,hajibuuu.... Mara paaaaap akapoteaaa hewani with no any alert.


Hapo ndo akawa ameharibu kwa kuwa sio mara yake ya kwanza kupoteaa hewan akiona kaulizwa maswali afu kesho anaqeza akaja na excuse au asije nayo ,akja nayo utasikiaa nlipitiwa na usingizi....namie nakubali coz nataka life liendele tu.


Sasa jana kanitafuta.... Sijajibu sms yake yeyote, leo kapiga mara kadhaaa sinapokeaa.
Lengo la kutopokea ni kutaka ajue life goes on even with or without her.

MAMBO MACHACHE NLOJIFJNZA KWA HUU URAFIKI WETU.
1.Anakutafuta akiwa yuko bored, ili apate wa kumliwazaa.
2.Anakutafuta akiwa amebakiwa na dakika nyi gi let say za week na znaenda kuisha so hana wa kuongea nae au wameongea then no new anymore. Hili nimelijua akiwa ananambia mwenyewe kuwa amebakiwa na dakika zinae da isha sio muda.
3.Anakjtafuta akiwa na shida,anaomba vocha though ni mara chache chache.
4.Hana jambo hana la kuchangia ,akikutafuta anataka wewe ndo umpe stories as if she is not living in this world with full of stories to tell,

So baada ya kuona hivo,nimeamua tu nikae pembeni coz sina la kupotezaa kama stories mie ndohuwa teller na creator so nothing to loose.

MY TAKE TO MEN.
Hawa dada zetu kuna muda wako nasi kwa ajili ya interest fulani iwe ni kuwaliwaza wakiwa wamegombana na wapenzi wao, wanashida za kifedha ,so dont sacrifice much of your time to them.

Wape muda ukiwa nawe huna la kufanya ,usiache kusukuma slides eti uchat nae sijui umtembelee kwake.

Mapendo daima, daima mapendo. Tupendane.
 
Kisa kingine .....

Kuna binti alikuja kikijini kwetu kutokea mkoa fulani basi ,kutokana na mambo ya shule sikuwa napata muda wa kuwajua wageni wapayaa palee kijijini na ukizingatia nko advance mbali na home so sikuwa napata muda mrefu ku interact kitaaaa.

Straight to the point ,mwaka 2019 yule dogo alianza nizoeaaa though mie sinaga story sana na stranger hasa wa kike, basi kuna huduma tulikuwa tunaifanya pale kijijini ikanifanya niwe na kutana nae frequently ,basi akaanza kunizoea japo sio kwa storiiiiiij saaaaana ni hizi za kawaida salam basi sana.

Akaja niomba urafiki fb ,nkaaa cheki kwanza dp akapita hii stage muhimu sana .... Nika accept , but jina alokuwa anatumia fb aio lake ni jina la ndugu yake. Tukawa tunapiga normal chats dogo akawa anazidi kuwa comfortable na mie ,na wala sikuwa na nia ya kutongozaa.

Hakutaka kunipa namba yake ,tulikuwa tukichat messenger tu akidai anaogopa akichat kwa normal messages or whatsapp , so nikawa mdau wa messenger namie.

Badae baada ya kufahamiana akaja nambia ye hana mtu pale kijijini na ni bikira, nkawa namshauri tu ajitunze na uongo uongo mwingi paleee ,ckuwa interested nayeee at that time.

Siku zimepita akaniangushia namba yake tukawa tunachat whatsapp na normal text siku anapigaa akiwa na dakika japo mkikutana face to face ni muoga sana kama akiwa kwa simu.
So jukumu langu lilikuwa ni kumfanya awe comfortable namie nkafanikiwa kwa kiasi.

To shorten a story,..........

Miaka miwili jmepita tangu tujuane vzuri,nlikuwa nkimhuliza issue za mahusiano anasema ye bado mtoto ,at 2019 she had 17 years ka sikosei, so anawait hadi akuee Kwanzaa. Ikumbuke hakuwa akisoma shule but ni shopkeeper tu

Ndani ya miaka miwili hio nlikuwa nachat nae story za mapenzi sana na stories zngne za life na mahusiano.

Siku za hivi karibuni ni kawa nafanya feasibility study [emoji1][emoji1][emoji1] nkawa naingizia kama namtaka hivi dogo anakataaa ,tena anasema sitaki wewe bro wangu[emoji23][emoji23].
Ukiuliza sababu utasikia....
1.Wasomi mnadharau sana

Nkamuuliza unasma unataka Mume toka kwa Bwana ,je akikupa mtu msomi ... Utaona hakana point ya ziada


Juzi 2021 ,04 30 ,tulikuwa tunachat kuna maswali nkawa namuuliza kuhusu kuolewa, AKANIJIBU namuomba Bwana atanipaa mme mwema.



Sasa kimbembe kikaanza hapooo .....
Nkaaaamua nimchane kwa mazuri,nkamuambia mambo kadhaaa mengine ntayaandika hapaa kama naweza kuyakumbuka.....

1.Ni kweli mme bora anatoka kwa Bwana,but u cannot sit down there ukataka huyo mume ajee ,ni lazime upigee magoti ufunge na kuomba Mungu ndo akusaidiee ila sio kukaaa chini huombi wala nini ukitegemeaa Mungu atakuleteaaa.

2. Nkamuambia achgue kama kweli anataka mume bora akubali gharama yake ,nkamtolea mfano wa Hannah aliekuwa na shauku yakupata mtoto alivojikaribisha karibu na Mungu kwa bidiiii... Vilevile nikambkumbusha life has no extra time, na umri kwa mdada ndo kila kitu so asikatae wanamme akisema kuwa mme bora anatoka kwa Bwana na asitake any measures ili Mungu ampatie huyo mume bora akajikuta umri umeenda akaja kuolewa na mtu ambae hakutegemeaa ,ikiwa wale walokuwa wanamtaka kwa kipindi hicho washaoa na watoto tayari.

3.Nkamkumbusha kumuuliza hao wanaomuambia kuwa asubiri mme kutoka kwa Bwana kama wao walifanyaaa hivyooo na kulishana upepo tuuu.

Baada ya hizo sms kikatawala kimyaa ambacho sio cha kawaida kwa siku kama mojaaa.

Sasa siku 2 zimepita nafikir 01 05 2021 kanitafuta tumechat tena ,kuna maswali simple nikawa namuuliza akawa short answer maswali ya explanation .....nkaona sio mbayaa nkamtell vipi mbona maswali yangu majibu ndo kama hivoo na mengine hujibu .... Akanambiaa kuwa magumu ,nkamuuliza lipi gumu ,,hajibuuu.... Mara paaaaap akapoteaaa hewani with no any alert.


Hapo ndo akawa ameharibu kwa kuwa sio mara yake ya kwanza kupoteaa hewan akiona kaulizwa maswali afu kesho anaqeza akaja na excuse au asije nayo ,akja nayo utasikiaa nlipitiwa na usingizi....namie nakubali coz nataka life liendele tu.


Sasa jana kanitafuta.... Sijajibu sms yake yeyote, leo kapiga mara kadhaaa sinapokeaa.
Lengo la kutopokea ni kutaka ajue life goes on even with or without her.

MAMBO MACHACHE NLOJIFJNZA KWA HUU URAFIKI WETU.
1.Anakutafuta akiwa yuko bored, ili apate wa kumliwazaa.
2.Anakutafuta akiwa amebakiwa na dakika nyi gi let say za week na znaenda kuisha so hana wa kuongea nae au wameongea then no new anymore. Hili nimelijua akiwa ananambia mwenyewe kuwa amebakiwa na dakika zinae da isha sio muda.
3.Anakjtafuta akiwa na shida,anaomba vocha though ni mara chache chache.
4.Hana jambo hana la kuchangia ,akikutafuta anataka wewe ndo umpe stories as if she is not living in this world with full of stories to tell,

So baada ya kuona hivo,nimeamua tu nikae pembeni coz sina la kupotezaa kama stories mie ndohuwa teller na creator so nothing to loose.

MY TAKE TO MEN.
Hawa dada zetu kuna muda wako nasi kwa ajili ya interest fulani iwe ni kuwaliwaza wakiwa wamegombana na wapenzi wao, wanashida za kifedha ,so dont sacrifice much of your time to them.

Wape muda ukiwa nawe huna la kufanya ,usiache kusukuma slides eti uchat nae sijui umtembelee kwake.

Mapendo daima, daima mapendo. Tupendane.
Thanks sana mkuu kwa hizo stori zako.
Kuna kitu nimejifunza kutoka kwa hizi sketi🤣🤣🤣
 
Hatimaye Ametiki(Based on true story)

Ilikua mwaka 2016 katika chuo cha elimu ya biashara(CBE) Tawi la Mbeya nilikuwa mwaka wangu wa pili nikichukua stashahada ya usimamizi wa biashara (diploma in Businesses administration). Nikiwa nimeketi kwa pembeni kipindi hicho ndo kuna wanafunzi wapya walio kua wanaripoti. Nilimuona binti mmoja ambaye alikuwa akitoka Eneo la utawala kufanya usajili lilikua ingizo jipya Chuo hapo, binti huyo yeye alikuwa mzuri mwenye kufanana na mabinti wa kimasai kulingana na mkao wake, tembelea pamoja na umbo na rangi yake.

Sikufuatilia sana nilimuona na kumfananisha na maasai.
Siku kadha kupita wakiwa wanaelekea siku za mwisho za Orientation binti huyo nilimuona amekaa peke yake sehemu nikaona si vyema kumuacha nikasigea karibu yake na kuanza mazungumzo japo kidogo.

Mimi: Mambo vipi sister

Yeye: Safi (Aliitikia salamu huku akiniangalia na kuonyesha nusu tabasamu nusu kuchukia kama nimevuruga mpango wake wa kukaa peke yake yaani sikumuekewa)

Mimi: samahani kwa kukuingilia je, itakuwa dhambi kwa mimi kukaa na wewe hapa?

Yeye: Hapana

Mimi: Samahani wewe ni mwenyeji wa Arusha eti

Yeye: Ndio mimi mwenyeji wa Arusha wilaya ya Karatu.

Nilimuuliza maswali hayo sababu akifanania na maasai. Nikaanza kwa kumuuliza Jina akagoma kunitajia, Nikaona hapa niende direct kuomba mawasiliano ikabidi nimfungukie unaweza nisaidia mawasiliano yako.
Yeye alikataa katukatu na kusema hawezi nipa Mawasiliano yake nilijitahidi kumdanganya akasema labda yeye achukue namba zangu nami bila hiyana nikamupatia.

Hapo tunapiga stori kidogo nikaachana nae nikawa nimemuacha amekaa. Siku zilipita ilikuwa nadra kumuona sababu lecture rooms tulitofautiana na wala hakuwahi nitafuta kwenye simu. Siku zikaenda kama mwezi mmoja yupo chuo nikaonana naye alikuwa amekaa alipenda kukaa peke yake mara nyingi nikamfata nikampasa salam akaitikia.
Nikauliza mbona kimya hata hukunitafuta akasema nitakutafuta muda bado haujafika. Basi nikamuuliza tena Jina akasema mda ukifika nitamfahamu alidai mda bado.

Tulipiga story kidogo akanyanyuka kuondoka nikamuuliza mbona unaondoka akasema anawahi kipindi nami nikamuacha.
Kama bahati CR wao alikuwa ni jamaa tulie fahamiana kwa mda mfupi sababu akitoka mkoa mmoja na mimi hivyo tulishare Kabila. Ilibidi nimtumie yeye kumfuata na kumueleza kua anisaidie kupata namba za binti fulani nikamuelekeza sifa za huyo binti ili ajaribu kupata mawasiliano yake, alisema atamtafta ili amfahamu. Baada ya siku kadhaa alisema amemuona sema hajapata kumfahamu Jina wala hajapata mawasiliano yake maana binti yupo serious sana.
Siku zikapita CR akasema amepata namba zake hivyo atanipatia.

Dahh kwakweli nilifurahi sana ilibidi nikomae na huyo CR ili nipate namba.
Siku moja nipo geto CR akanitumia namba 075XXXXXX4 Akaniambia Jina kanaitwa ka Adelina.


To be continued...
....hivi mnaendaga vyuoni kusomea au kuchukua hizo shahada / stashahada / Astashahada
 
....hivi mnaendaga vyuoni kusomea au kuchukua hizo shahada / stashahada / Astashahada
Hua tunachukua
Kusoma tushasoma level za chini, ndio maana huko wahadhiri(lecturers) hawafundishi ila wanatoa hotuba/mhadhara (lecture)
 
Back
Top Bottom