Ushuhuda: Hatimaye ametiki

Labda maana sisi watoto wa 2014 ni tabu tupu
 
Huyo hajakupenda bali Kakuonea Huruma baada ya kuona umetumia effort Kubwa Sana😂😁
 
Ukinganinizi huo kwenye SEA policy ni kosa la jinai kbs akisema hataki mwache

Sent from my Nokia 3.2 using JamiiForums mobile app
 
Amani iwe nanyi ndugu zangu!!!!

Natumaini tunaendelea na majukumu yetu vizuri ,kikubwa ni uhai.

NAKAZIA KWA HII EPISODE YA6

nlikuwa na case kama yako miaka kadhaa nayo mwishoni ikaja kutiki.

Ilikuwa hivi miaka kadhaa iliyopita nipo jeshini mujibu wa sheria, nje ya hanga letu niko na inmate wangu mmoja tukiwaza tunaendaje kuitafutaa saa sita ya mkesha.

Basi wakati tunapiga story hapo hangani mlangoni ,wakawa wanapita makurutu kwenda kwenye kombania zao na kwa kuwa hanga letu ni la kwanza na liko njian kabisa ikawa ni rahic kuwaona watu wakipita.

Basi stories zimeendaa ,akaja dada mmoja ,jamaa yangu akamuita tu amzinguee kama unavojuaa watoto wa kiume mbele ya sketi (joking) ,basi yule dada akaja wakapiga story kadhaaa ......... Maraaa paaaaaap jamaaa akanirushia mtoto niendeleee kumchatisha aaah basi kishingo upande nikapokea usukani...... Kumbe jamaaa alikuwa amemuona manzi wake anakuja hangani kwetu sasa ili kuzuga akaniacha nae mie.

Basi mie story mbili tatu ,tukafahamiana ,akanipa namba yake ....... Sikuwa na simu hapo hivo nkaikariri kichwani ........ Usiku paaaaap nikamcheki ..... Kwanza alishangaaa kuona nimeishika ile namba.

Basi life likasonga sikumtongoza ila nikawa naonesha kama namuhitaji ...... Sikushindwa kumtongoza but kumwambia mtu nampenda ilihali na mtamani tuu huwa siwezi mara nyingi.

Kuna siku nkamuita nlikuwa na pipi ,nikataka nimlishe akagoma ,nkaona sio mbaya nkampa pipi yake akatembeaa.

Siku tunachat nkamuuliza mbona uligomea nkulishe pp, akasema ye cjui anamtu huko kombania yao C mie nlikuwa A coy ya demo ,basi kuanzia hapo nkimhitaji kumuona anaznguaa kujaaa ........ Siku zimeeenda ,tunamalizia kumaliza kozi ...disco nalo liko njian linakujaaa .... Ntapata wapi wa kucheza nae ..nkaona sio mbya nimtafutee huyu dadaaa. Nlifua dafu akawa anasema anamtu wakee, basi ikashindikana.

Kuanzia siku hiyo ambayo alikataa kulishwa pipi ,hadi naondoka sikufanikiwa kumuona hasa ukizingatia nlikuwa kambi moja yenye baridi sana pale 841kj ,kwahiyo kuvaaa mizura na manguo mengi mengi ma pull over yanakufanya ushindwe kumtambuaa mtu vzuri though yalikuwa yanakatazwa lakini kutokana na baridi ya Mafingani palee tukawa tunavaa na maboshori kibishiii..... Ila usidakwe tu na Afande Captain Moshi.

MUHIMU:Kipindi niko jeshini nliibiwa cmu yangu, nimeenda kufoleni master parade,nkaja Nikapigwa cmu muda sana, nkarudi likizo mzee akanipa simu yake niitumiee ilikuwa nokia Lumia na ndio nliokuwa natumia kuchati na huyu mtoto serengeti at that time.

Sasa tuendeleee


Tumerudi kutoka jeshini nikawa namtafuta mtoto wa watu ,akawa anajifanya hanijuii ,nkakitambulisha pale weeee ,kama kawaida yao ,eewwh ulikuwa unassmaje .....nabaki nimeishiwa pozii.. nkaona niifute tu ile namba.

Siku wiki miezi na miaka imepita niko chuo ,nikawa na connect simu yangu nokia niitumie kwa pc , nkaja kuonana na chats zetu .....aaaaah nkamkumbuka ni fulan ,at that ikumbukwe nlikuwa na simu ya whatsapp basi nkamcheki ,kama kawaida maswali yao yale ,namba umetoa wapi,shida yako nk .

Basi nkakitambulisha akasema hanikumbuki but mie nkawa namtajia kila event tulofanya tukiwa jeshini... Stilll hakuwa anakumbuka...


CENTRAL THEME:Kimbembe kikaanzia hapaaa nkaaamua nimtoleee uvivu, yule dada alikuwa mfupi,kadogo dogo, so nkamponda sana siku hiyoo ,nlimuambia maneno makali sana ,naye piaa akawa ananijibu basi tumejibizana matusi makubwa sana ...... Nikamtusiiii weeee then nikamblock ,asireply ,baada ya siku kadhaaa nika unblock.

Kwakuwa mie nlikuwa namjuaaa ,yale yote nlompondea yalikuwa yakweli lakini ye kwa kuwa hajui adui yake yukojee alikuwa anatusi haya matusi mengine hayaa makubwaa though Nlimtumia picha ya selfie.

Basi bhana kwakuwa nlikuwa na hasira sana sikuhiyoo wakati tunatukanana lakin baada ya siku kadhaa nlipowa nkaona sio fair kufight na mtoto wa kike ,nkamuomba radhi kwa kumtukana though na yeye alinitusi sana.

Basi akaanza lalalma palee lakini mie nlitaka tu tuyamalize kila mtu abaki kama zamani kwahio nlikuwa nakubali tu ili yaishe ....dada kuona vilee nayee akaaanza jirudi sasaa.

Naye akaniomba msamaha..... Yakaisha tukaaanza ukurasa upyaaa wa urafiki basi tukafahamiana vzuri, tukaja kuwa best friends sana though tuko mkoa mmoja but cjapata time ya kukutana nae since tutoke jeshini.

HUZUNI: Mwaka huu mwezi wa 2 alifiwa na mama yake, akanambiaa though alichelewa nambia tokana na hali ilivokuwa kipindi tukio latokea , MBAYA ZAID mwezi huu wa nne tena kampoteza baba yake piaaaa.

Akaja nambiaaa Fulani na baba piaa kaniachaaa ,nkampa poleeee paleeeee

Maisha yanaendelea ,lakini kawa rafki yangu mzuri mno.

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kazi iendeleeeee.

Nakuja na kisa kingine ,ngoja mkono upoeee kidogoooo....
 
Kisa kingine .....

Kuna binti alikuja kikijini kwetu kutokea mkoa fulani basi ,kutokana na mambo ya shule sikuwa napata muda wa kuwajua wageni wapayaa palee kijijini na ukizingatia nko advance mbali na home so sikuwa napata muda mrefu ku interact kitaaaa.

Straight to the point ,mwaka 2019 yule dogo alianza nizoeaaa though mie sinaga story sana na stranger hasa wa kike, basi kuna huduma tulikuwa tunaifanya pale kijijini ikanifanya niwe na kutana nae frequently ,basi akaanza kunizoea japo sio kwa storiiiiiij saaaaana ni hizi za kawaida salam basi sana.

Akaja niomba urafiki fb ,nkaaa cheki kwanza dp akapita hii stage muhimu sana .... Nika accept , but jina alokuwa anatumia fb aio lake ni jina la ndugu yake. Tukawa tunapiga normal chats dogo akawa anazidi kuwa comfortable na mie ,na wala sikuwa na nia ya kutongozaa.

Hakutaka kunipa namba yake ,tulikuwa tukichat messenger tu akidai anaogopa akichat kwa normal messages or whatsapp , so nikawa mdau wa messenger namie.

Badae baada ya kufahamiana akaja nambia ye hana mtu pale kijijini na ni bikira, nkawa namshauri tu ajitunze na uongo uongo mwingi paleee ,ckuwa interested nayeee at that time.

Siku zimepita akaniangushia namba yake tukawa tunachat whatsapp na normal text siku anapigaa akiwa na dakika japo mkikutana face to face ni muoga sana kama akiwa kwa simu.
So jukumu langu lilikuwa ni kumfanya awe comfortable namie nkafanikiwa kwa kiasi.

To shorten a story,..........

Miaka miwili jmepita tangu tujuane vzuri,nlikuwa nkimhuliza issue za mahusiano anasema ye bado mtoto ,at 2019 she had 17 years ka sikosei, so anawait hadi akuee Kwanzaa. Ikumbuke hakuwa akisoma shule but ni shopkeeper tu

Ndani ya miaka miwili hio nlikuwa nachat nae story za mapenzi sana na stories zngne za life na mahusiano.

Siku za hivi karibuni ni kawa nafanya feasibility study [emoji1][emoji1][emoji1] nkawa naingizia kama namtaka hivi dogo anakataaa ,tena anasema sitaki wewe bro wangu[emoji23][emoji23].
Ukiuliza sababu utasikia....
1.Wasomi mnadharau sana

Nkamuuliza unasma unataka Mume toka kwa Bwana ,je akikupa mtu msomi ... Utaona hakana point ya ziada


Juzi 2021 ,04 30 ,tulikuwa tunachat kuna maswali nkawa namuuliza kuhusu kuolewa, AKANIJIBU namuomba Bwana atanipaa mme mwema.



Sasa kimbembe kikaanza hapooo .....
Nkaaaamua nimchane kwa mazuri,nkamuambia mambo kadhaaa mengine ntayaandika hapaa kama naweza kuyakumbuka.....

1.Ni kweli mme bora anatoka kwa Bwana,but u cannot sit down there ukataka huyo mume ajee ,ni lazime upigee magoti ufunge na kuomba Mungu ndo akusaidiee ila sio kukaaa chini huombi wala nini ukitegemeaa Mungu atakuleteaaa.

2. Nkamuambia achgue kama kweli anataka mume bora akubali gharama yake ,nkamtolea mfano wa Hannah aliekuwa na shauku yakupata mtoto alivojikaribisha karibu na Mungu kwa bidiiii... Vilevile nikambkumbusha life has no extra time, na umri kwa mdada ndo kila kitu so asikatae wanamme akisema kuwa mme bora anatoka kwa Bwana na asitake any measures ili Mungu ampatie huyo mume bora akajikuta umri umeenda akaja kuolewa na mtu ambae hakutegemeaa ,ikiwa wale walokuwa wanamtaka kwa kipindi hicho washaoa na watoto tayari.

3.Nkamkumbusha kumuuliza hao wanaomuambia kuwa asubiri mme kutoka kwa Bwana kama wao walifanyaaa hivyooo na kulishana upepo tuuu.

Baada ya hizo sms kikatawala kimyaa ambacho sio cha kawaida kwa siku kama mojaaa.

Sasa siku 2 zimepita nafikir 01 05 2021 kanitafuta tumechat tena ,kuna maswali simple nikawa namuuliza akawa short answer maswali ya explanation .....nkaona sio mbayaa nkamtell vipi mbona maswali yangu majibu ndo kama hivoo na mengine hujibu .... Akanambiaa kuwa magumu ,nkamuuliza lipi gumu ,,hajibuuu.... Mara paaaaap akapoteaaa hewani with no any alert.


Hapo ndo akawa ameharibu kwa kuwa sio mara yake ya kwanza kupoteaa hewan akiona kaulizwa maswali afu kesho anaqeza akaja na excuse au asije nayo ,akja nayo utasikiaa nlipitiwa na usingizi....namie nakubali coz nataka life liendele tu.


Sasa jana kanitafuta.... Sijajibu sms yake yeyote, leo kapiga mara kadhaaa sinapokeaa.
Lengo la kutopokea ni kutaka ajue life goes on even with or without her.

MAMBO MACHACHE NLOJIFJNZA KWA HUU URAFIKI WETU.
1.Anakutafuta akiwa yuko bored, ili apate wa kumliwazaa.
2.Anakutafuta akiwa amebakiwa na dakika nyi gi let say za week na znaenda kuisha so hana wa kuongea nae au wameongea then no new anymore. Hili nimelijua akiwa ananambia mwenyewe kuwa amebakiwa na dakika zinae da isha sio muda.
3.Anakjtafuta akiwa na shida,anaomba vocha though ni mara chache chache.
4.Hana jambo hana la kuchangia ,akikutafuta anataka wewe ndo umpe stories as if she is not living in this world with full of stories to tell,

So baada ya kuona hivo,nimeamua tu nikae pembeni coz sina la kupotezaa kama stories mie ndohuwa teller na creator so nothing to loose.

MY TAKE TO MEN.
Hawa dada zetu kuna muda wako nasi kwa ajili ya interest fulani iwe ni kuwaliwaza wakiwa wamegombana na wapenzi wao, wanashida za kifedha ,so dont sacrifice much of your time to them.

Wape muda ukiwa nawe huna la kufanya ,usiache kusukuma slides eti uchat nae sijui umtembelee kwake.

Mapendo daima, daima mapendo. Tupendane.
 
Thanks sana mkuu kwa hizo stori zako.
Kuna kitu nimejifunza kutoka kwa hizi sketi🤣🤣🤣
 
....hivi mnaendaga vyuoni kusomea au kuchukua hizo shahada / stashahada / Astashahada
 
....hivi mnaendaga vyuoni kusomea au kuchukua hizo shahada / stashahada / Astashahada
Hua tunachukua
Kusoma tushasoma level za chini, ndio maana huko wahadhiri(lecturers) hawafundishi ila wanatoa hotuba/mhadhara (lecture)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…