Ushuhuda: Hatimaye ametiki

Nimesoma paragraph hii tu. Siendelei tena.

Huu utoto ulioanza jf siku hizi unakera.
 
Kajifunze kuandika. Unatia aibu.
Wakubwa wote wamesoma uzi ila hawajaongea hayo.
Ila wewe unae jua kuandika niache mimi nisie jua.
Naona akili zako za kisomi kama hawa wenzio.
 
UNABOA
 
Mmasai alikuwa na kila sababu ya kutotoa jina na namba yake. Ona sasa kila kitu kipo JF!
 
Kwa nini mkuu
hahah nshakujua wewe

Hao watoto wa karatu ni kama qa Arusha tu, ulikuwa unakosea sana kuwanyenyekea, hao unawaendea kigumu gumu mkuu, urembo wao usikufanye uwaone ni walainj

Mkuu uliingia diploma 1 mwaka gani na intake ipi ya march au october
 
hahah nshakujua wewe

Hao watoto wa karatu ni kama qa Arusha tu, ulikuwa unakosea sana kuwanyenyekea, hao unawaendea kigumu gumu mkuu, urembo wao usikufanye uwaone ni walainj

Mkuu uliingia diploma 1 mwaka gani na intake ipi ya march au october
Hapo sawa ndio maana nilivyo mkazia na kumshusha alijirudi mwenyewe
 
Mmasai alikuwa na kila sababu ya kutotoa jina na namba yake. Ona sasa kila kitu kipo JF!
Hahahahahahaha 🤣🤣🤣 kwani wewe hujafaidika na hilo? Si umejua mengi
 
Sawa nimekuacha mkuu! Unamaanisha huyo mkuu ndo kaanza mchakato wa kutafuta mama mzuri?[emoji3] hii ni defense mechanism tu hamna lolote someni huko
Hahahaha

Kila mwanaume hupambana kutafuta mama Bora kwa ajili ya wanae wasije mlaumu baadae

Mcheki mama wa mtoto wa majani alivyo hamnazo[emoji1]
 
Hahahaha

Kila mwanaume hupambana kutafuta mama Bora kwa ajili ya wanae wasije mlaumu baadae

Mcheki mama wa mtoto wa majani alivyo hamnazo[emoji1]
Huyo mke wa P pamoja na mtoto yaani ni kama Elfu moja na Buku.
Na hiyo ndio real meaning of Like mother like daughter
 
Acha ujinga malizia store fasta.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…