Wakristo kwao Bora katolewa Gadaf sababu alikuwa muislam, na Sadam hivyohivyo, jamaa wanachuki za kijinga hawa,Kati ya Libya ya kipindi cha Gadaff na sasa ipi ni bora!?
Kati ya Iraq ya kipindi cha Sadam na za sasa ipi ni bora!?
Muwe mnatumia vizuri uwezo wenu wa kufikiri, wale waliomtoa Sadam hawakuwahi taja hayo unayoyasema. Wenyewe walitaja kuwa Iraq ina mabomu ya nuclear. Unless kama kipindi hayo yanatokea ulikuwa bado mdogo.
Mimi Ni mkristo na sishabikii hayo unayoyasema.Wakristo kwao Bora katolewa Gadaf sababu alikuwa muislam, na Sadam hivyohivyo, jamaa wanachuki za kijinga hawa,
Ukiwaulizia wakati wa Gadaf na Sasa, kipindi gani ndio kulikuwa na matukio yanayofanana ugaidi zaidi?! Hawana jibu hapo
Wakristo kwao Bora katolewa Gadaf sababu alikuwa muislam, na Sadam hivyohivyo, jamaa wanachuki za kijinga hawa,
Ukiwaulizia wakati wa Gadaf na Sasa, kipindi gani ndio kulikuwa na matukio yanayofanana ugaidi zaidi?! Hawana jibu hapo
Kisa wao ni Waislamu, hizi dini na hizi!Ukisikia propaganda zimefanya kazi kwa 100% ndiyo hii. Yaani mtu anamchukia Sadam na Gadaf bila sababu yoyote. Inasikitisha sana.
Yaani wewe mchimba chumvi WA mkuranga ndio ujue madhara yaliyosababishwa na USA libya ?Ifike mahala sasa lazima tuelewe jinsi nchi za magharibi zilivyo wanafiki na wauaji wakubwa katika dunia hii. Wengi walishuhudia jinsi nchi za magharibi na miungano yao ikishiriki kuhatarisha amani ya dunia. Lakini wengi wa watu duniani wako gizani kuhusiana na hilo.
Wakati maharamia yakivamia Libya na kumuua Gadaf bila hatia yoyote, dunia nzima ilikaa kimya. Wala hakuna mtu awaye yote ambaye alikemea kitendo hicho cha kidhalimu.
Wavaa kobazi ninyi ni dogs , real slavesWakristo kwao Bora katolewa Gadaf sababu alikuwa muislam, na Sadam hivyohivyo, jamaa wanachuki za kijinga hawa,
Ukiwaulizia wakati wa Gadaf na Sasa, kipindi gani ndio kulikuwa na matukio yanayofanana ugaidi zaidi?! Hawana jibu hapo
Labda hiyo stahili ya Ghadaf kutendwa vile, imeboreshaje hali na maisha ya wananchi wa Libya!?
Unaongoza nchi kwa style ya Panya road, unategemea watu wakuangalie tu ?Bush,Clinton,Obama wameua watu wangapi wasio na hatia?
Watajitahidi kuongoza kwa njia ya Paka road.Unaongoza nchi kwa style ya Panya road, unategemea watu wakuangalie tu ?
Unamtindio wa ubongo.Libya ya sasa ni matokeo ya Libya ya kipindi cha Gaddafi.
Udikteta na ugaidi wake ndio umesababisha majanga yote yanayoikumba Libya kwa sasa, vivyo kwa Iraq na Saddam.
Libya ya sasa ni matokeo ya Libya ya kipindi cha Gaddafi.
Udikteta na ugaidi wake ndio umesababisha majanga yote yanayoikumba Libya kwa sasa, vivyo kwa Iraq na Saddam.
Hao viongozi walijiona ndio miungu watu kuwa wataishi milele..hivyo hawakuandaa succession plan baada ya wao kufa..hivyo wakuwalaumu ni hao viongozi madikteta na magaidi waliofia madarakaninkwa kuharibu uchumi wa nchi.Kati ya Libya ya kipindi cha Gadaff na sasa ipi ni bora!?
Kati ya Iraq ya kipindi cha Sadam na za sasa ipi ni bora!?
Muwe mnatumia vizuri uwezo wenu wa kufikiri, wale waliomtoa Sadam hawakuwahi taja hayo unayoyasema. Wenyewe walitaja kuwa Iraq ina mabomu ya nuclear. Unless kama kipindi hayo yanatokea ulikuwa bado mdogo.
Hao viongozi walijiona ndio miungu watu kuwa wataishi milele..hivyo hawakuandaa succession plan baada ya wao kufa..hivyo wakuwalaumu ni hao viongozi madikteta na magaidi waliofia madarakaninkwa kuharibu uchumi wa nchi.
#MaendeleoHayanaChama
Kama na nyie mlivyo mashhoga na watukuza ushogaWavaa kobazi ninyi ni dogs , real slaves
Moderator haya yanaruhusiwa humu?Wavaa kobazi ninyi ni dogs , real slaves
Duuu! Madishi mengine hayasomi hata mstari quality yaani ni totally zeroLibya ya sasa ni matokeo ya Libya ya kipindi cha Gaddafi.
Udikteta na ugaidi wake ndio umesababisha majanga yote yanayoikumba Libya kwa sasa, vivyo kwa Iraq na Saddam.