USHUHUDA: JINSI EU, US NA NATO WALIVYO SABABISHA MAJANGA LIBYA

USHUHUDA: JINSI EU, US NA NATO WALIVYO SABABISHA MAJANGA LIBYA

Wakati US, EU, NATO wakifanya uharbifu, mauaji na uvunjifu wa haki za watu na binadamu kwa ujumla katika nchi za Iraq, Lebanon, Syria na Libya, dunia ilikaa kimya. Lakini sasa baada ya Urusi ikiipiga Ukraine, dunia nzima inasema tuweke vikwazo dhidi ya Urusi. Huo ni unafiki uliopitiliza. Kutokana na huu unafiki dunia italipia huo unafiki. Ni suala la muda tu, mambo yote kuwa bayana.
 
Back
Top Bottom