Ushuhuda: Kila mtu aeleze Bangi Ilivyomsaidia

Hiyo kauli mbiu yako imenigusa mkuu lakini Bangi ilinifanya nimpigie punyeto mwalimu wangu wa kiume pale MAGAMBA BOYS miaka ya 2000
 
Mkuu huyo jini anatisha sana
 
....hahahahahaha...huyo jini mbona kama 'mchumba' tu!....'98 Lost Boyz walipotimba Bongo zililiwa fimbo zaidi ya hizo,all-day-all night!!
 
Noma sana kwa wachawi.pia high thinking capacity
 
Unasaga mbegu au majani mkuu???
 
Faida kubwa ya bangi ni kuwa anti maradhi mengi sana, pia ukiweza kuipeleka vile unavyotaka wewe basi umefanikiwa maana razima utimize malengo yako, ila km utaruhusu ikuendeshe hapo ndo balaa linapokuja
 
Wacha uongo, hio kitu iko smart sana, hata wakuu wa idara nyeti hutumia Sana, mimi nina wateja wangu wa biscuit na keki za marijuana, huwezi amini watu na heshima zao, wamaza wa nguvu kabisa. Halafu wewe unaleta porojo za madaktari ambao hawathink beyond boundaries wameekewa.
This stuff it's so amazing, soon nataka introduce juice ya weed. Coz market trend sio mbaya.
 
it's a good high,nilikuwa na enjoy sana kipindi Niko humo.nilikuwa na meditate sanaa ila ikaja kuwa shida mwishoni mwa mwaka 2009,ilikuwa Kila nikivuta nikianza kuwaza najuta sana,yani nayakumbuka makosa yooote niliyowahi kuyafanya since najitambua.sasa Ile Hali ikawa inanitesa sana basi nikaibwaga kiivo...
 
Hii stuff iko safi sana, by the way niko na product kadhaa za hii stuff kama biscuits, keki, vileja, all made by huu mmea adimu, and soon nataka introduce special juice. Na spices
 
Hahaaaaaa barakuda mitaa gani hapo au mpaka kule maghorofa ya sigala pale uwanjani? Aisee kuna bangi tamu sana pale uwanjani
Umeona eeh
Pia maeneo ya bonden kuelekea vingunguti hapa uwanjani kuna kitu bomna
 
Ukiwa ni mpambanaji afu unatumia ile kitu na pesa ipo, unatusua, sababu inakuweka busy na mambo yako afu ukipanga lako ni hadi litimie, mitihani huwa mepesi tuu, ila kama una mawazo haifai, utadata.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…