Ushuhuda: Kila mtu aeleze Bangi Ilivyomsaidia

Duh km story ya kweli basi iko same as me lakini mm sio issue ya uchaw
 
Mi nashtua day mojamoja ila nikiwa sina stress nawasha zangu navuta nakula msosi Wangu na mzik kwa mbali sitak kelele na mtu
 
Kuvuta bangi ni jambo la aibu na ndiyo maana wavuta bangi hawajawahi kupenda kujulikana kuwa wanavuta
 
JF bana, ni shule tosha.

Kuna mtu namjua humu hajawahi hata kugusa sigara, eti naye anachangia kwamba amevuta bangi.
 
Haiitwi bangi, inaitwa weed kwa kiswahili ni ganja!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…