Ushuhuda: Kila mtu aeleze Bangi Ilivyomsaidia

Ushuhuda: Kila mtu aeleze Bangi Ilivyomsaidia

Mdogo wangu anadai bangi ilimsaidia kubadilisha tabia na muelekeo wake wa maisha baada ya kukamatwa makaburini. Alipiga bangi then anadai kuna spirit ilimuingia ghafla kichwani na kumshawishi akamfufue demu wake ili wavute pamoja ndipo akashikwa kwa kuitwa mchawi huku akipigwa. Kupimwa akili Muhimbili, ikaonekana ni bangi tu akapelekwa Ukonga kwa muda. Sasa karudi kitaani anahamasisha masela waache uvutaji wa duduwasha.
Duh km story ya kweli basi iko same as me lakini mm sio issue ya uchaw
 
Mi nashtua day mojamoja ila nikiwa sina stress nawasha zangu navuta nakula msosi Wangu na mzik kwa mbali sitak kelele na mtu
 
Kuvuta bangi ni jambo la aibu na ndiyo maana wavuta bangi hawajawahi kupenda kujulikana kuwa wanavuta
 
JF bana, ni shule tosha.

Kuna mtu namjua humu hajawahi hata kugusa sigara, eti naye anachangia kwamba amevuta bangi.
 
Mimi wakuu nimekua nikitumia Bangi taangu niko O level na Nilipata Division one Mitihani yangu ya Sekondari na Kufanikiwa kupata GPA ya 4.1 katika elimu yangu ya Chuo kikuu mimi Pia nimesoma sekondari moja (Tabora Boys kwa miaka 6)


Pia Bangi Ilinisaidia pale nilipougua Sikio na Kuwekewa kwenye sikio na likapona.


Naomba watu ambao Wamewahi kuvuta watoe shuhuda zao hapa ila Siwashauri watu wavute Unga Bangi ni Salama zaidi.
Haiitwi bangi, inaitwa weed kwa kiswahili ni ganja!
 
Back
Top Bottom