Ushuhuda kilichonitokea Kona Bar Sinza, Dar es Salaam

Ushuhuda kilichonitokea Kona Bar Sinza, Dar es Salaam

Nyege zenu ni mtaji kwa wengine si hamtuliza viuno tulieni mnyongwe.. unapoona mwanya wa ulaji unakula ndo walichofanya hao polisi!!
 
Nakupa siri ya kazi hapa..

usilale guest au lodge uliyochaguliwa na mwanamke asiye mkeo..
ukilala na mwanamke usiyemjua hakikisha funguo unajua wewe ulipoziweka..
usiokoteokote mwanamke ukampeleka kwako.
Uwe makini na Camera ya uliyelala naye..
Ukimwaga maji yako hakikisha yako salama..(dunia ina mengi hii vijana mkue sasa).

KUCHEPUKA NI GHARAMA UKITAKA UNAFUU NI RISK SANA, OTHERWISE CHAGUA UMPENDAYE MFUNGE PINGU MTAFUNANE MTAKAVYO, CHUMBANI, SEBULENI, JIKONI, BAFUNI, MZINGATIE LISHE BORA TU..
😁😁
 
Back
Top Bottom