illegal migrant
JF-Expert Member
- Oct 18, 2013
- 1,277
- 1,121
- Thread starter
-
- #21
Sio lazima u comment kama hujaelewa, unaruhusiwa kuandika uzi wa aina uipendayo, wakuelimika wameelimika wakucheka wamechekaKwahyo Unataka Tujue Kuwa Na Wewe Ni Mzinzi Au? Story Inatufundisha Nin?
😁😁majaliwa na noah yake iliyochoka....ngoja boss wake lujuo aje hapa
Corona haipoMungu ameamua kukuokoa,badilika mkuu,Ukimwi upo na hauna dawa bado,usipoteze maisha yako kwa starehe ya madakika tu.
😂😂hahahhahahaa kwa kweli, sio kwa 40,000 , aisee, hata bure sitombi
😁😁Nakupa siri ya kazi hapa..
usilale guest au lodge uliyochaguliwa na mwanamke asiye mkeo..
ukilala na mwanamke usiyemjua hakikisha funguo unajua wewe ulipoziweka..
usiokoteokote mwanamke ukampeleka kwako.
Uwe makini na Camera ya uliyelala naye..
Ukimwaga maji yako hakikisha yako salama..(dunia ina mengi hii vijana mkue sasa).
KUCHEPUKA NI GHARAMA UKITAKA UNAFUU NI RISK SANA, OTHERWISE CHAGUA UMPENDAYE MFUNGE PINGU MTAFUNANE MTAKAVYO, CHUMBANI, SEBULENI, JIKONI, BAFUNI, MZINGATIE LISHE BORA TU..
Illegal migrant huyoMungu ameamua kukuokoa,badilika mkuu,Ukimwi upo na hauna dawa bado,usipoteze maisha yako kwa starehe ya madakika tu.
Kona baaa sinza buku ishirini mpaka arobaini unakula mzigo.Noted.
Mabatini Moja Iyoooo....We mgeni mchezo huo upo hapo kitambo sanaaa
Mpaka Sasa....
Kosa ulilofanya ni kukubali huyo dem uliyemnunua akupeleke gesti anayoijua yeye?
Malay wote hapo Wana # za askari wa mabatini na Wanakula naoo
Ova
Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
Mabaharia hawatakuelewa.40,000?!!! 😁😁 Kweli genye Ni Maradhi...
Siku nyingine afanyaje ili ale mzigo bila usumbufu ?We mgeni mchezo huo upo hapo kitambo sanaaa
Mpaka Sasa....
Kosa ulilofanya ni kukubali huyo dem uliyemnunua akupeleke gesti anayoijua yeye?
Malay wote hapo Wana # za askari wa mabatini na Wanakula naoo
Ova
Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
😁😁Washamba tu....PISI gn pale BAMAGA uipe 40thou?!!!Mabaharia hawatakuelewa.
😁😁Afande ana Jina la Waziri Mkuu Wa Sasa...ha ha ha maaamiiyeee
Hahahahahaha nikikanyaga baa yoyote ya sinza huwa nafaidi kwa macho tu.😁😁Washamba tu....PISI gn pale BAMAGA uipe 40thou?!!!
Aaagh sawasawa,Tuko Tofauti😂