Ushuhuda kutoka kwa Shehe Omari Mnyeshani

Mwendelezo wa masimulizi ya tambiko la Lindi
 

Attachments

  • PART16_MWENYEKITI_WA_WACHAWI_TZ__SHEKHE_ALIEOKOKA_NILIUA_MKE_NA_KUISHI_NAE_TENA_UCHAWI__NIMESO...mp4
    43.1 MB
Wazee wa bagamoyo walimfata shetani mapangoni kumuomba msaada awaondoe wakoloni.
Shetani akawapa sharti wataondoka lakini mtakuwa masikini yaani umasikini ndio uwe kafara.
Kafara ni sadaka unayompa shetani ili afurahi.
Wazee wakakubali kuliko maendeleo yalitwayo na wakoloni ni heri tuwe uhuru ndani ya ufukara
Thus baada ya uhuru mwalimu pesa alizorithi kwa wakoloni badala ya kuzifanyia maendeleo akazichezea kwenye ukombozi wa nje zingine na zilizobakia akazitumia kumuondoa Iddi amini ili amrudishe Obote kwenye kiti,akaja na masera ya kimasikini mfano ujamaa,uhujumu uchumi,kuwazuia watz wasipate exposure ya kusafiri nje ya nchi kwa kuweka mashart magumu kupata passport.
 
Uchawi unafanyika sana tena mwingine ni wa nia za ovyo kiasi ya kwamba ukiambiwa utashangaa, lakini always kuna nguvu fulani ya asili huwa inaleta ukinzani. Na wachawi wanaelewa kwamba uchawi hauwezi kutawala dunia kwa asilimia 100
Dah
 
Hivi kumbe it is a formal institution kabisa na uongozi katika ngazi ya taifa na mikoa. Je criteria ya kuingia, vigezo ni nini jamani tuelimishwe...
 
Personal digest!

1.ccm ni chama Cham wachawi !

2.vyama vingine ni vyama vya kichawi vidogo vidogo!

Sawa!!

Inamaana wanachama wote wa hivi vyama na mimi nikiwemo ni wachawi!!SI ndio!!?
 
Hivi ndo vile vipindi wanaendeshwaga watu kuwa anapelekwa pangoni kuongea na mizimu, kumbe wahuni wametangulia wametulia nyuma ya mimawe na speaker...

Anapangwa pangwa pale na maneno na maagano ya uongo na kweli.

Kisha anaambiwa atoe hela zisomewe ili akirudi nazo mjini zikazae maradufu.... wanakuwa wameshajua kabisa amekuja na sh ngapi maanaawasiliano yanaanzaga na simu.

Watu wanambadilishia bag kijanja janja, kisha anapewa sharti la kutofungua bag mpaka afike nyumbani kwake.
 
Kutokana na maongezi ya Shehe Mnyeshani.
Watu waliohudhuria katika Kafara la Bagamoyo walikuwa Wachawi Nguli wafuatao.

1. Mzee Forojo Ganze Master

2. Mzee Primus Mubanga Julius

3. Mzee Shaibu Kalole Mtiga

4. Shehe Yahaya Hussein

5. Mzee Mfaume Golo Tumbo

6. Mzee Muhammedi Abubakari
Musindamba

7. Shehe Muhammedi Mwinyi Mnyeshani Jibulani (msimuliaji)

Hao ni Vigogo watupu walio fanya zindiko kwa kuongea na Shetani Lusifer ana kwa ana.
Lucifer aka shauri Julius Nyerere aitwe Baba wa Taifa, na Pia Mwenge ukimbizwe ndani ya Nchi.

Eti ulete
Tumaini pasipo Tumaini
Upendo mahali penye Chuki
Na Heshima palipo jaa Dharau.

Bado nafuatilia mazungumzo.
 
hizo story za sijui jambazi sugu aliacha ujambazi napitaga next
Hukuwahi kumsikia Raisi J.K. Nyerere alivyosema aliambiwa aruke shimo lenye moto kule Bagamoyo?
Hao ndio waliohusika kumrukisha hiyo siku.
Usipoelewa uliza.
 
Inaelekea huu upole wa WaTz ni kazi ya nguvu za giza! Yaani hadi chaguo la Mungu wamelishinda? Je huyo mtu ccm? Naona wanaifaidisha ccm tu na wezi wake.

Sent from my moto g 5G (2022) using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…