Ushuhuda kutoka kwa wanandoa waliowahi kuachana, hasa mliokuwa na watoto mkaamua kuacha kila kitu na kuanza upya

You are too bitter for ur own good,learn to forgive,forget and start again,mtoto utakae mzaa has nothing to do with your prior life,and whatever you had experienced!!
 
You are too bitter for ur own good,learn to forgive,forget and start again,mtoto utakae mzaa has nothing to do with your prior life,and whatever you had experienced!!
Ooh relax that's was my personal opinions and it has nothing to do with my bitter or past experiences, guys you need to learn and accept other people's opinions, we are different in many ways why judging my opinion, u have ur own opinions I respect and I won't judge you coz I know we differ. Guys you need to respect other's for sure,just I wrote something you don't like you starting insulting me and calling many namesh gosssh.
At the end of the day my life my principles, I'm doing what is pleasing my desires, my heart and not JF member's who pretend to be an Angels [emoji23][emoji23]
 
Mumeo alizaa huko alikosaliti?, Wanawake wa sasa laini sana, mzee wangu ana watoto watatu nje ya ndoa, na bimkubwa anawajua hao watoto wala hajawahi fanya jaribio la kutengana na mzee
mzee wako baharia au sio [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Dada yangu pole Sana Kwa mkasa huu, kiukweli unahitaji kuwa mtulivu na mnyenyekevu kabla hujachukua maamuzi, unahitaji ushauri wa kiroho na kimwili ili kukuweka sawa, nakuomba uchukue muda kabla hujafikia maamuzi.

Kuachana au kuendeleza maisha na huyo ndugu yetu yote yaweza kuwa majibu sahihi lakini tunahitaji kujiridhisha na matokeo ya baada ya ninyi kuachana hasa kuhusu watoto na maisha yenu kama wazazi.

Ni vile siwezi kukufikia lakini tungekuwa majirani nisingekosa cha kukwambia endelea kutafuta ushauri nadhani utapata muafaka wenye afya Kwa ajili ya mustakabali mwema wa maisha yako na kizazi chako.
 
Yapi yamekusibu mkuu mpak hutaki kusikia
Nilikua katika ndoa takribani miaka mnne hivi,,tumebahatika kupata mtoto mmja wakiume.katika harakati za maisha za kuangaika huku na kule,nikamuacha mama watoto dar mi nikawa mikoani napambana na maisha huku nikiwatumia matumizi kadri niwezavyo.Juzi kati hapa tumezinguana kaniachia mtoto kasepa zake,,inaniuma Sana kwakweli
 
Relax!!! we are no Angels,ni katika kuwekana sawa as social media friends,but all the best in pleasing ur desires!!
 
Relax!!! we are no Angels,ni katika kuwekana sawa as social media friends,but all the best in pleasing ur desires!!
Mimi nimerelax mda wote shida Ni nyie watu msiopenda different opinions za wengine.
Thanks for ur wishes.
 
[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24] dah mkuu pole sana ilikuwaje mpk kakimbia hadi mtoto, ila kwa uelewa wangu mdog ukiona mwanamke ambae amebeba mimba miezi 9 na amejifungua mtoto amemlea alafu amemkimbia adi mtoto wake wa kumzaa mwenyewe aisee braza uyo mwanamke achana nae kabisa yani kwenye ukatili amepitiliza ila yote kwa yote pole sana mkuu
 
Ushauri kwenye mambo ndoa ni mgumu sana,hasa katika kipengere cha usalti.
Sanasana nakushauri tu jipe moyo kwanza ikiwezekana ukae mbali na mume wako akili yako itakupa solution either uendelee naye au aendelee na maisha yake.
 
Natamani utufafanulie neno EGO, Wanaume tuna EGO, hapa unamaanisha nini hasa kwa lugha nyepesi tuweze kukuelewa.

Asante.
Mimi nimesoma nikapita kimya kimya

Wao kauli zao ni sawa kabisa ila sisi tukiongea ndio wana EGO
 
Sababu za Mtoa Mada kuomba ushauri unatokana na hayo chini anayopitiaView attachment 1595010View attachment 1595011
Amuache aende.


Kuna muda kuliko kuvumilia kitu ambacho unaona kabisa hakiji kubadilika na kinatafuna akili na mwili ni heri uruhusu kiende.

Huenda kumuacha aende kutafungua milango mingine mipya ya baraka.

Kuna kuletewa maradhi, kuna kuuana au kutiana vilema.

Kuna kufa kwa msongo wa mawazo
 
Basi wafuate dm wenye hints maana sisi unaona ni maboya basi hata kujifanyisha uko katavi au ileje pia huwezi tumia fasihi na akili simulia hicho kisa, mficha uchi hazai na akizaa huzaa kibwengo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…