Ushuhuda kutoka kwa wanandoa waliowahi kuachana, hasa mliokuwa na watoto mkaamua kuacha kila kitu na kuanza upya

MUNGU NI WA HAKI...Ahsante sana..
 
Sina uwalakini, nimesoma vitabu vingi vimenisaidia akili yangu na ninaishi kwa Raha na amani, I'm less even judgemental to other's vitu vinatutesa kwa vile jinsi tunafikiria

Mkuu ukweli ni kwamba wewe umeyashindwa mahusiano yako. Hizo stori za kwamba nimesoma vitabu vingi vimenisaidia ni porojo za kujifariji ila ukweli ni kwamba jinsi unavyopigana na vitabu vikufariji ulitakiwa kupigania vivyo hivyo mahusiano yako but you failed
 
Lengo la vitabu huwa ni kuongeza maarifa and my hobby is reading something new daily tena vya mahusiano huwa sio mpenzi kabisa, so jifunze kujisomea kuongeza maarifa hapa ungekuwa unajisomea automatic usingekuwa unabashiri kuhusu misimamo ya wengine, ur maturity level ingekuwa kubwa Sana. Jisomee vitabu uondoe ujinga wewe na sio kubaki na binary system ulizo cremishwa bila kujiongeza kufikiria nje ya box
 
kissgarage
kwa mtazamo wangu mimi, mwanaume akifanya yafuatayo ndo hasameheki
1. Kutembea na wanaume wenzie (kulana tigo)
2. Kutembea na mtoto wake, dada yake au mama yake
3. Kwenda kwa waganga kumloga mkewe au mtoto wake
4. Kumtoa kafara mtoto au ndugu yeyote kwa ajili ya mali, vyeo au umaarufu
5. kukutoa mimba bila ridhaa yako

haya mengine yanasameheka sana tu

Imagine Yesu alisamehe watesi wake moments tu baada ya kusulubiwa
Ila kabla ya kufunga ndoa, inapaswa umuambie mtu wako kuhusu misimamo yako
tumekulia kwenye familia tofauti, wengine wanaona kulala na binamu ni kitu cha kawaida
wengine wanaona mtoto wa nje ya ndoa au wanawake wa nje ni kitu ch kawaida
wengine wanaona kuabudu shetani, cocaine au waganga ni kitu cha kawaida
 

Kati ya mimi na wewe nani anaendesha maisha kwa kucrem,it’s you unayeamini vitabu vitakupa mahusiano mazuri au amani. Tafuta maarifa mengine kwenye vitabu ila siyo kuendesha mahusiano
 
Kati ya mimi na wewe nani anaendesha maisha kwa kucrem,it’s you unayeamini vitabu vitakupa mahusiano mazuri au amani. Tafuta maarifa mengine kwenye vitabu ila siyo kuendesha mahusiano
Wewe ndio hujaelewa nilichoandika umekimbilia conclusion yako kichwani bila kufikiria kwa mapana, mahusiano hujengwa na wawili iweje wewe usingizie vitabu, maana lengo la kusoma nikutoa ujinga pia kujua experience za watu. So mfano wako ni irrelevant na what I wrote earlier huku catch up hoja yangu, so kukimbilia kuhumu was wrong, it's like ni ku judge mtazamo wako huo ni utopolo flani nitakuwa nao. At the end kila mtu abaki na anachoamini, it's a free world
 

Dada inaonekana una umuch know mwingiiiii
 
Nashukuru ndugu.. Huo ni mtazamo wako..yako mengi duniani ndugu yangu
 
Umenena vema sana, KUMSITIRI MUMEO. Huo ni msingi mkuu wa ndoa kudumu. Natamani tuongee zaidi, hakika liko jibu
 
Kanuni ya kwanza katika ndoa, hakuna mkamilifu ila Mungu tu
 
Pole na hongera kwa maisha mapya...je mlikua mmejenga au kua na assets pamoja?
Ndio tulikuwa na kiwanja, magari ma2 na min supermrket, tulipoulizwa kuhusu mali tulizochuma mi nilitaja lkn mwenzangu akasema hajachuma chochote na mimi. Nikashukuru Mungu nikaomba mahakama asomeshe na kutunza watoto tu kama hajachuma chochote na mimi.
 
Ohhhh....natamani kusikia zaidi kama hutajali..so ukaondoka mikono mitupu? Watoto mlikua nao wangapi? Are you happy now? How is he?
 
Ohhhh....natamani kusikia zaidi kama hutajali..so ukaondoka mikono mitupu? Watoto mlikua nao wangapi? Are you happy now? How is he?
Yap niliondoka na mikono mitupu, watoto tulikuwa nao wawili wakati huo walikuwa wadogo first born 3yrs na sec born 1.5yrs. Nikaenda kuanza upya. Yes am happy with my present, yeye nilisikiaga ameoa tena na kwakweli sijui maisha yake yanaendaje kwa sasa
 
Ukiomba msaada watakiwa ufunguke shida nin ili tujue twakupa msaada gan
 
Jamaa kaandika paragraph zote hizo kuhalalisha incest na ubakaji . Polygamy wapi hapo?

Nyie wanaume lakini 🤢🤢🤢
 
Una experience ya kuchapiwa??achana na hizi haelewani na mawifi sijui umechelewa kurudi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…