Ushuhuda; Kutokana na wimbi kubwa la Pisi Kali nimejikuta naukata mzizi wa Ubahiri bila Shuruti

Ushuhuda; Kutokana na wimbi kubwa la Pisi Kali nimejikuta naukata mzizi wa Ubahiri bila Shuruti

Pang Fung Mi

JF-Expert Member
Joined
Nov 10, 2022
Posts
6,653
Reaction score
13,919
Shalom,

Acha ukweli usemwe na pia acha ushuhuda uwekwe bayana.

Binafsi kwa muda mrefu sana nimekuwa bahili hatari na nusu, ila uoto asili uliopo maeneo mbalimbali ya Tanzania umepindua meza ya ubahili.

Pasipo shuruti nimejikuta napata upako wa kutoa pesa maana si kwa utitiri wa pisi kali za ukweli.

Napenda sana vishundu uongo dhambi na msema kweli ni kipenzi cha jamii.

My trigger phrase is so simple samahani nafsi yangu imeguswa nawe nakupenda na pia nakutaka, naomba fursa ya mazungumzo yoyote yenye staha na heshima baina yetu ambayo msingi wake ni huo wa mimi kuvutiwa na wewe kwa maana ya hisia za kukupenda na kukutaka pia.

Potelea mbali natoa business card na pesa ya vocha atakaponicheki inamhusu.

Samahani bei elekezi ya vocha ni elfu35 hicho ni kiwango cha watibeli tuliookoka.

Chief Wadiz a.k.a Chief Mapenzi
 
Shalom,

Acha ukweli usemwe na pia acha ushuhuda uwekwe bayana.

Binafsi kwa muda mrefu sana nimekuwa bahili hatari na nusu, ila uoto asili uliopo maeneo mbalimbali ya Tanzania umepindua meza ya ubahili.

Pasipo shuruti nimejikuta napata upako wa kutoa pesa maana si kwa utitiri wa pisi kali za ukweli.

Napenda sana vishundu uongo dhambi na msema kweli ni kipenzi cha jamii.

My trigger phrase is so simple samahani nafsi yangu imeguswa nawe nakupenda na pia nakutaka, naomba fursa ya mazungumzo yoyote yenye staha na heshima baina yetu ambayo msingi wake ni huo wa mimi kuvutiwa na wewe kwa maana ya hisia za kukupenda na kukutaka pia.

Potelea mbali natoka business card na pesa ya vocha atakaponkcheki inamhusu.

Samahani bei elekezi ya vocha ni elfu35 hicho ni kiwango cha watibeli tuliookoka.

Chief Wadiz a.k.a Chief Mapenzi
Mkuu unajiita chifu mapenz siku iz
 
Sikupi pesa yangu mpaka nikulale.

Ukiomba pesa sharti uje kuichukua nilipo na huipati mpaka bluetooth i connect successfully.
 
Back
Top Bottom