Ushuhuda Kwa tuliowahi kupata mauza uza kwenye maisha

Mkuu asante sana.nitumie number inbox nitashukuru sana.
 
Haya mambo mpaka yakukute ndo utaelewa matomaso ni wengi, lengo ni kuelimishana...

Mtoa mada nimekuelewa, ila haya mambo yako complex, unamaanisha watu wote hapa duniani, waliokosa kazi baada ya kumaliza chuo, ni kwamba hao wote wamelogwa wasipate kazi, au ni kwamba nafasi za kazi zilizopo ni chache lakini wahitimu ni wengi Manifestation
 
Sio wote Mkuu, Ila wapo ambao fahamu zao zinashikwa wanakuwa hawana mudi ya kutafuta kazi na ni msomi mzuri tu, au unapata kazi misukosuko inakuja usiyoelewa, nk
 
Kuna mambo huwa yananitatiza. Wengi wananishauri kwamba mara nyingi mipango yangu ya maendeleo niifanye siri,hata kwa rafiki zangu. Sasa nitajuaje changamoto za hiyo mipango? Mimi naona kama nikiwashirikisha kama wanaweza ongezea input fulani.
Chagua rafiki zako Kwa busara, unaweza ukashangaa Una rafiki ambao hawana input zozote kwako, zaidi ya kupiga majungu na kukutumia kwelikweli
 
Bila shaka hujaelewa maana ya mstari huo niliotoa.

By the way, hakuna sehemu ambapo huo mstari umesema hatutapatwa na mabaya, ila unasema Yesu alishatupatia amri juu ya mabaya. Ukitaka yakutawale ni uchaguzi wako.
Sawa Mkuu, Imani yako ni nzuri Ila yakiamua kukufuata kama hujasimama utaomba po mwenyewe, changamoto ya watu wengi tunamichanganyo sana
 
Kweli ukiwaza nje ya box ni kama huu ushauri unaotolewa na hawa watu ni kama lengo ni kuwatenga watu na kuondoa ushirikiano miongoni mwao
Endelea kukumbatia watu, Ila chagua watu Kwa busara, sikiliza sana nafsi yako inakushahuri kabla hujapeleka Kwa watu, watu ni hatari kuliko unavyodhani iko siku utakumbuka hili...Ila pia watu wanaweza kuletea faida n kuwa nao makini tu
 
Walokole ndio binadamu wana maisha magumu sana, walokole ndio makazi ya stress, mtu akiokoka anatenganishwa na kila mtu eti ni watu wabaya, mlokole anasikiliza zaidi mchungaji kuliko baba, mama, au mke/mume wake
Wanajazwa mawazo ya ajabu ajabu sana

Tutawasaidia tu na wakitudhuru tutapambana nao, hatuwezi kuishi kwa kujitenga kwa hofu ya kurogwa
 
Sahihi kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…