Ushuhuda: Mambo ya aibu niliyowahi kufanya maishani, malezi na maisha yangu hadi leo!

Ushuhuda: Mambo ya aibu niliyowahi kufanya maishani, malezi na maisha yangu hadi leo!

Pole sana mkuu hapo kwa mama,

Yote hayo sababu ya malezi hata hiyo iliyokuwa sifa yako kubwa, na Waafrica tunadhani kupiga ndio malezi japo sio kweli,
Huwa naumia sana pale mzazi/au mtu yoyote anapompiga/tukana mtoto akidhani anarekebisha kumbe anaharibu bila kujua huku akipandikiza/kutengeneza kitu ambacho ni sawasawa na timebomb au nyoka aliyekatwa mkia,

Ninachoamini maneno/(malezi) ni silaha nzuri ukiitumia vizuri, pia ni silaha mbaya ukiitumia vibaya,

Binafsi naamini kwamba, binadamu ni kiumbe/mnyama aliyebarikiwa vingi, kimoja wapo ni akili/uelewa mpana sana ambao ndio unaendesha kila kitu katika maisha ya binadamu, tofauti na wanyama wengine,
Na ninachojua binadamu anapozaliwa uelewa/akili yake inakua haina chochote,
Ni sawasawa na shamba ambalo halijalimwa chochote ila utakachopanada ndio hicho,hicho kitakachoota/utakachovuna

Na hicho ndio kinachonifanya mimi niamini kwamba maneno/(malezi) ni kitu chenye nguvu sana katika maisha mwanadamu, maneno(malezi) yanaweza kupita moja kwa moja mpaka kwenye akili/uelewa wa mtoto ambapo ndipo panaongoza kila kitu katika maisha ya huyo mtoto,

Hivyo mtoto anapofanya kitu ambacho mzazi hakubaliani nacho,
hilo ni kosa la mzazi sababu yeye ndicho alichopanda, na anapompiga ndivyo anavyozidi kubomoa, ataishia kupiga mwili tu na sio kubadirisha nafsi yake, Ila kama angepanda mahindi sidhani kama zisingeota bangi.
Kiufupi Mama yenu aliwakosea sana.

Huu ni Muono wangu.

Naona faida ya malezi haya niliyoandika
Hata niwajengee nyumba angani bado haitowatosha.
 
Daaa! Mama yangu yeye aliona fimbo hazitoshi!! hivo aka Babua kabisaaa mikono kwa moto! wa makaratasi na Mafuta ya taa! tena mbele yangu hivi! kitu mikono yote imepigwa kamba km Pingu za polisi!

Basi bwana mikono na viganja vile vikamiminiwa futa la taa kikapigwa kiberiti mchana kweupeee! mbele yangu Moto huooooo! viganja vikababuliwa vya kutosha!! km masihara vile! viganja viwili kwishne makovu tupu, Duuu! kwa ushuhuda ule niliogopa sana tena sana.

Kwa kudhania Dunia sasa hapa home si mahala salama saaana kwangu! huenda zamu yangu Bado inakuja?!!! nikaamini kabisa one day zamu yangu inakuja, mimi sasa ntatiwa moto mazimaaaaaa! kwani kwa tukio lile Home palikalika? piga ua galagaza!kilio ni naondoka kwa Bibi mie!!! sitaki kukaa hapa!!

Nilipigana! kwa mdingi hallow! usiku kucha kufa kupona ni lia galagala! msosi haupandi kanisani siendi, siogi! kisa kumbe nakumbuka moto! tena wa mafuta ya taa loool? tuli shuhudia ndg watatu tu kwa hilo zoezi lilivoendeshwa mimi tu ndo nimebakia!

No! no! no! nilikatalia moyoni siwezi ishi kwenye Moto mie!! hata iweje nataka nikaishi kwa Bibi tu huko mbwinde !! hata km sintakula msosi wa maana! but huko huko!!

kila kukicha jua kuzama nikikumbuka tukio lile hallow! mimi ni kilio tuu! mtoto nikakondaa huyuuuu!!! kisa Moto wa mikono tena Live in front of my eyes!!!! Asubuhi moja wakati naandaa kilio kipya si nikapelekwa kwa bibi kiroho kwatuuu safiiii!

Hamad ile kufika tu heeee!!! uchawi!!!...... jamani Dunia hiii......
 
Back
Top Bottom