Morg
JF-Expert Member
- Oct 20, 2018
- 1,301
- 1,788
- Thread starter
- #21
Daahhhh baharia mwenzenu nimefeli mnisamehe sana kwà hiliJamaaa kazingua kinoma , yani unafanya vitu kama uko secondary tatzo kubwa hapo ni tamaa zako tu maana ukiachilia mbali hyo perfume bado kuna ushahidi mwingine wa madudu yako kwenye simu ya dogo,,. Kwan mapenzi yenyewe yanasemaje?
Naomba tactical za kuposses hii situation mpaka niwin