Mkurya mweupe
JF-Expert Member
- Aug 10, 2023
- 239
- 817
- Thread starter
-
- #261
Mmea wa mbaazi ni hatari na kiboko ya wachawi ,ukitaka kuwaona wachawi live kabisa unaweza tumia mmea wa mbaazi ukawaona ,kiufupi mmea wa mbaazi kuanzia mzizi hadi matunda yake ni dawaOngezea mbaazi
Usilolijua kama usiku wa Giza ,hata kama ingekuwa yake nimetoa kama ushuhuda jinsi gani inasaidia ,na nitaendelea kutoa na saiv naandaa ,ushuhuda kuhusu mmea wa mbaazi .......hata hilo kundi la maalim huwa natoa masomo hasa ya Affirmation na huwa unanisoma humohumo na juzi nimepost humo kuhusu soul tribe ,na nikitoa mada kwenye group lake huwa anaziruhusu wanazisoma watu wake ,maana ni za ukwlUmetoa kwa group la maalimu fb,
Jina natumia kuwapostia mada humo ni tofaut na linatumika hapo ,"tafuta Kuna mada nimeweka kwa Maalim inasema New Moon in Libra( Mwandamo wa mwezi katika nyota ya libra)Umetoa kwa group la maalimu fb,
Je mtu km anaamka saa kumi na moja akaoga nao,thn akarud kulalaNdio unaoga
Unataka apate mimba mwenzioKama mkojo umekuletea maajabu hayo hebu jiulize mavi yatakufanyia nini??
Jiongeze zaidi hebu jaribu kupiga nyeto uchukue lile bao la kwanza, haki ya mungu kina Bakhressa watakuja kukukopa jinsi utakavyokuwa mcharo.
Hii dunia bhana ina maarifa mengi yaliyojificha. Kuna kipindi niliwahi pata vifungo vya kichawi, nikawa naenda kinyume na dunia inavyotaka. Basi, baada ya kupambana muda mrefu bila kupona, nilikutana na rafiki yangu mmoja ambaye tulikuwa tumepotezana muda mrefu baada ya kuwa tumeachana 823 KJ, Msange JKT. Basi, yule ndugu yangu alinambia tiba ya haya mambo yote ni mkojo wa asubuhi ukifanya kwa imani.
Jamaa yangu alinielezea kwamba ukiamka asubuhi kabla hujaongea na mtu yoyote ule mkojo wa kwanza wa asubuhi kabla hujaongea na mtu yoyote, hakikisha unauweka kwenye chombo unanuia kuondoa mabaya, yaani vifungo, laana, na huku unanuia ukuletee mazuri, then unakunywa kidogo, mwingine unaobaki unaweka kwenye maji huku ukinuia unaenda kuoga, na ukimaliza haujikaushi kwa manuizi, kwa siku saba mfululizo.
Basi, zilikuwa hazijafika hizo siku saba. Mambo yalianza kufunguka, sehemu ambazo nilikuwa nimeomba kazi bila mafanikio nikaanza kuitwa hadi za Serikali ni, mpaka nikawa na uchaguzi wapi niende. Kunywa mkojo ule kulifanya niharishe na kutapika uchafu mwingi sana.
Katika kipindi hicho cha dozi ya mkojo nilishangaa naanza kukubalika sana kwa watu katika mtaa wetu, kitu chochote kilichotaka kufanyika ilikuwa lazima nihusishwe, yaani ile nafsi ya kutambulika kwa watu ikawa kubwa. Kingine katika kipindi natumia dozi ya mkojo, wale watu walionifanyia ubaya nilikuwa nawaota ndotoni napambana nao, nawashinda mpaka muda mwingine nilikuwa nikisema sasa hamwezi kuniroga tena, au nilikuwa naota wananifukuza mbio na kuwaacha huku nikiwatambia na kauli ya hamniwezi tena hata mfanyeje.
Kitu kingine katika siku ya tatu ya dozi ya mkojo nilikuwa addicted sana na betting, basi niliweza kuwin Perfect 12 ya Mbet milioni 125, ambayo ilifanya nifungue kampuni ya kukopesha na kutengeneza ajira kwa jamaa zangu, pamoja na uwakala wa huduma za kibenki na simu.
Kiukweli, tokea kipindi kile mpaka sasa, huwa natumia dozi ya mkojo nikiona mambo hayako sawa, na huwa inalipa. Pia, huwa najitibu wakati wa full moon, nitaelezea full moon huwa inanisaidia vipi kujitibu siku nyingine, kwa hiyo ni marufuku kwenda kwa waganga kwangu mimi. Pia, huwa nafanya meditation, na kamwe huwa siachi kufanya affirmation, yaani kushukuru kwa kile nilicho nacho na ambacho sina. Kuna nguvu kubwa katika kushukuru kwa ulivyo navyo na ambavyo hauna.
Hapo ni hulka ya mtu , unaweza amua hata kila baada ya mwez unafanya au miez miwil ,ni kutokana na mabadiliko utakayokuwa unayaona katika hustle zako za kila sikuMkuu,Mkurya Mweupe!baada ya kutumia hii dozi ya siku 7,naweza tena kurudia baada ya muda gani?msaada tafadhali!
Hapo ni hulka ya mtu , unaweza amua hata kila baada ya mwez unafanya au miez miwil ,ni kutokana na mabadiliko utakayokuwa unayaona katika hustle zako za kila siku
Vipi hapo kwenye kushukuru tunashukuru kwa nani?Hii dunia bhana ina maarifa mengi yaliyojificha. Kuna kipindi niliwahi pata vifungo vya kichawi, nikawa naenda kinyume na dunia inavyotaka. Basi, baada ya kupambana muda mrefu bila kupona, nilikutana na rafiki yangu mmoja ambaye tulikuwa tumepotezana muda mrefu baada ya kuwa tumeachana 823 KJ, Msange JKT. Basi, yule ndugu yangu alinambia tiba ya haya mambo yote ni mkojo wa asubuhi ukifanya kwa imani.
Jamaa yangu alinielezea kwamba ukiamka asubuhi kabla hujaongea na mtu yoyote ule mkojo wa kwanza wa asubuhi kabla hujaongea na mtu yoyote, hakikisha unauweka kwenye chombo unanuia kuondoa mabaya, yaani vifungo, laana, na huku unanuia ukuletee mazuri, then unakunywa kidogo, mwingine unaobaki unaweka kwenye maji huku ukinuia unaenda kuoga, na ukimaliza haujikaushi kwa manuizi, kwa siku saba mfululizo.
Basi, zilikuwa hazijafika hizo siku saba. Mambo yalianza kufunguka, sehemu ambazo nilikuwa nimeomba kazi bila mafanikio nikaanza kuitwa hadi za Serikali ni, mpaka nikawa na uchaguzi wapi niende. Kunywa mkojo ule kulifanya niharishe na kutapika uchafu mwingi sana.
Katika kipindi hicho cha dozi ya mkojo nilishangaa naanza kukubalika sana kwa watu katika mtaa wetu, kitu chochote kilichotaka kufanyika ilikuwa lazima nihusishwe, yaani ile nafsi ya kutambulika kwa watu ikawa kubwa. Kingine katika kipindi natumia dozi ya mkojo, wale watu walionifanyia ubaya nilikuwa nawaota ndotoni napambana nao, nawashinda mpaka muda mwingine nilikuwa nikisema sasa hamwezi kuniroga tena, au nilikuwa naota wananifukuza mbio na kuwaacha huku nikiwatambia na kauli ya hamniwezi tena hata mfanyeje.
Kitu kingine katika siku ya tatu ya dozi ya mkojo nilikuwa addicted sana na betting, basi niliweza kuwin Perfect 12 ya Mbet milioni 125, ambayo ilifanya nifungue kampuni ya kukopesha na kutengeneza ajira kwa jamaa zangu, pamoja na uwakala wa huduma za kibenki na simu.
Kiukweli, tokea kipindi kile mpaka sasa, huwa natumia dozi ya mkojo nikiona mambo hayako sawa, na huwa inalipa. Pia, huwa najitibu wakati wa full moon, nitaelezea full moon huwa inanisaidia vipi kujitibu siku nyingine, kwa hiyo ni marufuku kwenda kwa waganga kwangu mimi. Pia, huwa nafanya meditation, na kamwe huwa siachi kufanya affirmation, yaani kushukuru kwa kile nilicho nacho na ambacho sina. Kuna nguvu kubwa katika kushukuru kwa ulivyo navyo na ambavyo hauna.
Nimenukuu tuu kutoka huko.Hii dunia bhana ina maarifa mengi yaliyojificha. Kuna kipindi niliwahi pata vifungo vya kichawi, nikawa naenda kinyume na dunia inavyotaka. Basi, baada ya kupambana muda mrefu bila kupona, nilikutana na rafiki yangu mmoja ambaye tulikuwa tumepotezana muda mrefu baada ya kuwa tumeachana 823 KJ, Msange JKT. Basi, yule ndugu yangu alinambia tiba ya haya mambo yote ni mkojo wa asubuhi ukifanya kwa imani.
Jamaa yangu alinielezea kwamba ukiamka asubuhi kabla hujaongea na mtu yoyote ule mkojo wa kwanza wa asubuhi kabla hujaongea na mtu yoyote, hakikisha unauweka kwenye chombo unanuia kuondoa mabaya, yaani vifungo, laana, na huku unanuia ukuletee mazuri, then unakunywa kidogo, mwingine unaobaki unaweka kwenye maji huku ukinuia unaenda kuoga, na ukimaliza haujikaushi kwa manuizi, kwa siku saba mfululizo.
Basi, zilikuwa hazijafika hizo siku saba. Mambo yalianza kufunguka, sehemu ambazo nilikuwa nimeomba kazi bila mafanikio nikaanza kuitwa hadi za Serikali ni, mpaka nikawa na uchaguzi wapi niende. Kunywa mkojo ule kulifanya niharishe na kutapika uchafu mwingi sana.
Katika kipindi hicho cha dozi ya mkojo nilishangaa naanza kukubalika sana kwa watu katika mtaa wetu, kitu chochote kilichotaka kufanyika ilikuwa lazima nihusishwe, yaani ile nafsi ya kutambulika kwa watu ikawa kubwa. Kingine katika kipindi natumia dozi ya mkojo, wale watu walionifanyia ubaya nilikuwa nawaota ndotoni napambana nao, nawashinda mpaka muda mwingine nilikuwa nikisema sasa hamwezi kuniroga tena, au nilikuwa naota wananifukuza mbio na kuwaacha huku nikiwatambia na kauli ya hamniwezi tena hata mfanyeje.
Kitu kingine katika siku ya tatu ya dozi ya mkojo nilikuwa addicted sana na betting, basi niliweza kuwin Perfect 12 ya Mbet milioni 125, ambayo ilifanya nifungue kampuni ya kukopesha na kutengeneza ajira kwa jamaa zangu, pamoja na uwakala wa huduma za kibenki na simu.
Kiukweli, tokea kipindi kile mpaka sasa, huwa natumia dozi ya mkojo nikiona mambo hayako sawa, na huwa inalipa. Pia, huwa najitibu wakati wa full moon, nitaelezea full moon huwa inanisaidia vipi kujitibu siku nyingine, kwa hiyo ni marufuku kwenda kwa waganga kwangu mimi. Pia, huwa nafanya meditation, na kamwe huwa siachi kufanya affirmation, yaani kushukuru kwa kile nilicho nacho na ambacho sina. Kuna nguvu kubwa katika kushukuru kwa ulivyo navyo na ambavyo hauna.
Kwamba atauziwa mkojo wa upako au ?KUNA MTU ANAKWENDA KUPIGWA DOUBLE KICK
Jackpot ya mbetKwamba atauziwa mkojo wa upako au ?
Tuelezee kidogo kuhusu nyota ya Libra wengine km Mimi sipo Facebook, au km naweza pata namba yako ya whatsàp ama niku pm....... ShukranHapo ni hulka ya mtu , unaweza amua hata kila baada ya mwez unafanya au miez miwil ,ni kutokana na mabadiliko utakayokuwa unayaona katika hustle zako za kila siku
ukitumia huo mmea wa mbaazi kuwaona wachawi na wao si watakuona? Si itakuwa vita? Watakuachaje sasa wakati umewajua?Mmea wa mbaazi ni hatari na kiboko ya wachawi ,ukitaka kuwaona wachawi live kabisa unaweza tumia mmea wa mbaazi ukawaona ,kiufupi mmea wa mbaazi kuanzia mzizi hadi matunda yake ni dawa
Nasubiri feedbackHuwa natafuta namna ya kupambana na nguvu hasi. Nimeanza na chumvi ya mawe soon nitajaribu na hiyo. Sometimes unajihisi kama umerogwa na aliyekuroga ukianza kumfikiria humjui.
ni kweli,,mimi miaka flan nilikuwa nakunywa mkojo wa asubui lakini ilikuwa kwa ajili ya kuniepusha na maradhi nyemelevu sikujua kama inasaidia kwa upande wa pili lakini mambo yangu yalikua poa sana,,,mimi nilijua ni tiba baada kumsikiliza mtangazaji wa CNN {tim sebastian] akimhoji rais wa ufilipino kipindi hicho inakuwaje ana umri mkubwa lakini bado ananoneekana kijana??,,yule mama alimjibu"nakunywa mkojo wangu wa asubui}....mimi hapa binafsi nina miaka 48 lakini huwezi amini sina mvi ata moja!!!