zipalapwata
JF-Expert Member
- Oct 19, 2016
- 290
- 156
Okay
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwambieni huyo Mungu ajiongeze, asaidie watu kabla hatujahamia kwenye mkojo. Maana kama angekuwepo kweli Mungu wa namna hiyo asingesubiri mahangaiko ya watu kujiinua.Achana na mkojo Sasa. Ukiamka tu kabla hujaongea na mtu ongea na Mungu kwanza aliyekuumba. Hayo manuizo ss elekeza Kwa Mungu basi.
Mleta Uzi Nina maswali haya,. Nilikuwa nasoma kitabu kimoja Cha kizungu , kutoa nuksi mwilini kwa kutumia yai lenye kiini, mwandishi anasema baada ya kumaliza kutoa nuksi, laana mikosi, kwa kutumia yai pasulia yai kwenye glass na kuangalia mabadaliko katika yai Hilo, baada ya hapo mwaga choooni, lakini wewe uumesema haitakiwa kutumia choo huoni kwamba sisi waafrika tunamwaga uchafu ovyo ovyo ndo mana nuksi nyingi zinaaamia kwa wengine kirahisi, mfano Kuna watu wanaenda kuogea njia panda, kupasua nazi njiapanda yani sehemu ambazo watu wanapita , huoni kama iyo mikosi Yako inaweza kumrukia mtu ambaye ni mdhaifu aliyepita mazingira hayo.Utaweza toboa masaa mawili bila kuongea na mtu yoyote kwli ?,ukiweza hamna shida kabisa.
Hapo yai si kashalifanyia kazi nje ya choo?,Hata mkojo Kuna muda utakojoa mkojo mwingi si mpaka uutumie wote unaobaki unaenda kumwaga chooni ,ingekuwa hvo sasa itafanya tusitumie choo,end product baada ya kupata majibu ndo akaenda kumwaga chooni ,Ila hilo zoez la kuondoa nuksi hajafanyia chooni..........Nitaeleza pia kwa uelewa wangu matumizi ya yai jeupe katika kuondoa nuksi ......kumbuka ni yai jeupe la kienyeji ,Kuna mayai mengine huwa hayana ule weupe kabisaMleta Uzi Nina maswali haya,. Nilikuwa nasoma kitabu kimoja Cha kizungu , kutoa nuksi mwilini kwa kutumia yai lenye kiini, mwandishi anasema baada ya kumaliza kutoa nuksi, laana mikosi, kwa kutumia yai pasulia yai kwenye glass na kuangalia mabadaliko katika yai Hilo, baada ya hapo mwaga choooni, lakini wewe uumesema haitakiwa kutumia choo huoni kwamba sisi waafrika tunamwaga uchafu ovyo ovyo ndo mana nuksi nyingi zinaaamia kwa wengine kirahisi, mfano Kuna watu wanaenda kuogea njia panda, kupasua nazi njiapanda yani sehemu ambazo watu wanapita , huoni kama iyo mikosi Yako inaweza kumrukia mtu ambaye ni mdhaifu aliyepita mazingira hayo.
Unachokisema kuhusu nuksi ni kwl ,ndo maana tunaokota nuksi njia panda ,kwenye barabara ,kutokana na maagano ya watu wanayoyaacha maeneo hayo ,maana Kuna vitu vingine wakiviondoa kwa mtu ,wanavielekeza kwa wingine ,ndo Waafrika tulivo ,ndo maana tunatembea na vitu Kama mkaa mfukoni kupambana na energy kama hzo.Hapo yai si kashalifanyia kazi nje ya choo?,Hata mkojo Kuna muda utakojoa mkojo mwingi si mpaka uutumie wote unaobaki unaenda kumwaga chooni ,ingekuwa hvo sasa itafanya tusitumie choo,end product baada ya kupata majibu ndo akaenda kumwaga chooni ,Ila hilo zoez la kuondoa nuksi hajafanyia chooni..........Nitaeleza pia kwa uelewa wangu matumizi ya yai jeupe katika kuondoa nuksi ......kumbuka ni yai jeupe la kienyeji ,Kuna mayai mengine huwa hayana ule weupe kabisa
Ongezea mbaaziHizi Mambo ni ngumu watu kuelewa ikiwa bado hujaamka kiroho ni ngumu kuelewa haya mambo ,hii ni njia Bora sana kupambana na negative energy ..... Baadhi ya njia nyingine ni Kama
1 .chumvi ya mawe
2.Mkaa
3.Soda ya Fanta orange
4.Magadi.
Sisi wenye bafu lenye choo tunaogea wapi?Naongezea kidogo ,hakikisha ni mkojo wako wa kwanza wa asubuh kabla ya kuongea na mtu yoyote kisha kunywa kidogo ,kwa manuizi pia unaenda kuogea bafuni ,sio chooni ni bafuni,usitumie sponji .
Pia Kama mtu amekunywa sumu ,mnyweshe mkojo Kama huduma ya kwanza uwe wake au wako.
Unaweza kuosha uso wako pia asubuh kwa mkojo wa asubuhi kuinua aura yako na kuvutia baraka zako.
Unaweza kusafisha mikono yako kwa mkojo pindi unapotaka kupokea pesa kwa mtu usiyemuamini.
Unaweza kuloweka kufuli ikiwa na funguo kwenye mkojo wako na ukaenda ukaitupa ikiwa imefungwa kwenye barabara yenye mkusanyiko mwingi ,mtu akiifungua tu kufuli hyo ,maisha yako yanabadilika na kuwa mazuri.
Unaweza kupigia deki ,mkojo wako ,nyumbani ,itasaidia kuleta amani katika nyumba ,au kati yako na mpenz wako.
Unaweza kuweka mkojo ukiwa unaosha watoto wako ,kwa yoyote atakayejaribu kuwagusa atakipata Cha mtema kuni
Hii ndo nguvu ya Mkojo niliweza fundishwa hvo na Mimi nimeona nishare ,na niliwahi fanya ikalipa sio maigizo .Hadi saiv huniambii kitu kuhusu mkojo wa asubuh ni dozi .
Chumvi ya mawe ulipatia wapi mkuuHuwa natafuta namna ya kupambana na nguvu hasi. Nimeanza na chumvi ya mawe soon nitajaribu na hiyo. Sometimes unajihisi kama umerogwa na aliyekuroga ukianza kumfikiria humjui.
Dah mambo mazuri kwel kwelUnachokisema kuhusu nuksi ni kwl ,ndo maana tunaokota nuksi njia panda ,kwenye barabara ,kutokana na maagano ya watu wanayoyaacha maeneo hayo ,maana Kuna vitu vingine wakiviondoa kwa mtu ,wanavielekeza kwa wingine ,ndo Waafrika tulivo ,ndo maana tunatembea na vitu Kama mkaa mfukoni kupambana na energy kama hzo.
Yeah mkojo ni dawa ya jino ,huwa inaua vijidudu vinavyoshambulia meno ....hvo yaan ,ndo maana unaweza kuwa meno hayaumi Ila ukinywa mkojo yakaanza kuuma kidogo baadae yakaachaUSHUHUDA:
Nilikuwa na maumivu jino langu la kutafunia upande wa lower jaw lilikua na ganzi kali sikuwa na weza kutafunia upande huo kabsa. Lakn baada ya kufanya haya maelekezo (leo siku ya tatu) maumivu yamepungua sana na leo nimeweza kutafuna chakula kilaini na mambo bul bul kabsa hope ntapona kabisa(i believe)
Mkuu hii kufuli unailoweka na mkojo wa asubuhi pia?Naongezea kidogo ,hakikisha ni mkojo wako wa kwanza wa asubuh kabla ya kuongea na mtu yoyote kisha kunywa kidogo ,kwa manuizi pia unaenda kuogea bafuni ,sio chooni ni bafuni,usitumie sponji .
Pia Kama mtu amekunywa sumu ,mnyweshe mkojo Kama huduma ya kwanza uwe wake au wako.
Unaweza kuosha uso wako pia asubuh kwa mkojo wa asubuhi kuinua aura yako na kuvutia baraka zako.
Unaweza kusafisha mikono yako kwa mkojo pindi unapotaka kupokea pesa kwa mtu usiyemuamini.
Unaweza kuloweka kufuli ikiwa na funguo kwenye mkojo wako na ukaenda ukaitupa ikiwa imefungwa kwenye barabara yenye mkusanyiko mwingi ,mtu akiifungua tu kufuli hyo ,maisha yako yanabadilika na kuwa mazuri.
Unaweza kupigia deki ,mkojo wako ,nyumbani ,itasaidia kuleta amani katika nyumba ,au kati yako na mpenz wako.
Unaweza kuweka mkojo ukiwa unaosha watoto wako ,kwa yoyote atakayejaribu kuwagusa atakipata Cha mtema kuni
Hii ndo nguvu ya Mkojo niliweza fundishwa hvo na Mimi nimeona nishare ,na niliwahi fanya ikalipa sio maigizo .Hadi saiv huniambii kitu kuhusu mkojo wa asubuh ni dozi .
Doh sawa sawaYeah mkojo ni dawa ya jino ,huwa inaua vijidudu vinavyoshambulia meno ....hvo yaan ,ndo maana unaweza kuwa meno hayaumi Ila ukinywa mkojo yakaanza kuuma kidogo baadae yakaacha
Ndio wa asubuh unaweka na kutoa tuMkuu hii kufuli unailoweka na mkojo wa asubuhi pia?
Inalowekwa kwa muda gani kabla ya kuitupa?
Asante sana sanaNdio wa asubuh unaweka na kutoa tu
Mkuu naomba no yako kama hutojaliNdio wa asubuh unaweka na kutoa tu