Mkurya mweupe
JF-Expert Member
- Aug 10, 2023
- 239
- 817
- Thread starter
- #201
Ukitaka ushahid nakupa unawapigia hata kampuni yenyewe Ila nilishinda nikiwa kwenye dozi hyo ,Ila siamin kwamba ukitumia mkojo ndo utashinda betting ni bahati ya mtu na mtu. Ukitaka njoo nikupe majina yangu kamili yaliyopo kwenye kitambulisho changu na namba ya simu yangu ,uhakik majina hayo ,kwa kutumia kitambulisho na namba za simu ,na picha yangu halisi ,halafu ingia Google usearch hilo jina ,lazima litaleta .......Mshindi wa perfect 12 ,2016.HAPO KWENYE BETTING NAKATAA
HAPANA ! HAPANA ! HAPANA
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app