Mara nyingi wabishi huwa wanga au wachawi kabisa hawataki watu wajue siri zaoKuna watu wameumbwa kubisha Kila jambo, sijui kuhusu kushinda 125mn alosema kama ni kweli au la, ILA MKOJO NI DAWA KAMA ALIVYOELEZA MTOA MADA...
Jamani unanawa na mkojo halafu bila kuosha na maji mengine mmm tiba nyingine hizi Mungu atusaidieNaongezea kidogo ,hakikisha ni mkojo wako wa kwanza wa asubuh kabla ya kuongea na mtu yoyote kisha kunywa kidogo ,kwa manuizi pia unaenda kuogea bafuni ,sio chooni ni bafuni,usitumie sponji .
Pia Kama mtu amekunywa sumu ,mnyweshe mkojo Kama huduma ya kwanza uwe wake au wako.
Unaweza kuosha uso wako pia asubuh kwa mkojo wa asubuhi kuinua aura yako na kuvutia baraka zako.
Unaweza kusafisha mikono yako kwa mkojo pindi unapotaka kupokea pesa kwa mtu usiyemuamini.
Unaweza kuloweka kufuli ikiwa na funguo kwenye mkojo wako na ukaenda ukaitupa ikiwa imefungwa kwenye barabara yenye mkusanyiko mwingi ,mtu akiifungua tu kufuli hyo ,maisha yako yanabadilika na kuwa mazuri.
Unaweza kupigia deki ,mkojo wako ,nyumbani ,itasaidia kuleta amani katika nyumba ,au kati yako na mpenz wako.
Unaweza kuweka mkojo ukiwa unaosha watoto wako ,kwa yoyote atakayejaribu kuwagusa atakipata Cha mtema kuni
Hii ndo nguvu ya Mkojo niliweza fundishwa hvo na Mimi nimeona nishare ,na niliwahi fanya ikalipa sio maigizo .Hadi saiv huniambii kitu kuhusu mkojo wa asubuh ni dozi .
Ni kweli mkojo wako wa asubuhi pia ni tiba ya maradhi mengi mengi sana ambayo hayana tiba hospitalini.Are You really Serious, Mkuu? [emoji848]
Mimi binafsi huwa nakunywa mkojo wangu wa asubuhi ninapokuwa na maradhi ya ajabu ajabu nachanganya na dawa zingine nakuwa poa kabisa ndani miezi kadhaa.ni kweli,,mimi miaka flan nilikuwa nakunywa mkojo wa asubui lakini ilikuwa kwa ajili ya kuniepusha na maradhi nyemelevu sikujua kama inasaidia kwa upande wa pili lakini mambo yangu yalikua poa sana,,,mimi nilijua ni tiba baada kumsikiliza mtangazaji wa CNN {tim sebastian] akimhoji rais wa ufilipino kipindi hicho inakuwaje ana umri mkubwa lakini bado ananoneekana kijana??,,yule mama alimjibu"nakunywa mkojo wangu wa asubui}....mimi hapa binafsi nina miaka 48 lakini huwezi amini sina mvi ata moja!!!
Inabidi kuoga kwanza kisha unamalizia na maji ya mkojo maana kwa joto la Dar bila sabuni duu shughuliNi kweli mkojo wako wa asubuhi pia ni tiba ya maradhi mengi mengi sana ambayo hayana tiba hospitalini.
Sasa hapo kwenye kuogea sisi wengine choo na bafu ni sehemu Moja hiyo hiyo sasa inakuwaje ebu nipe maelekezo.Naongezea kidogo ,hakikisha ni mkojo wako wa kwanza wa asubuh kabla ya kuongea na mtu yoyote kisha kunywa kidogo ,kwa manuizi pia unaenda kuogea bafuni ,sio chooni ni bafuni,usitumie sponji .
Pia Kama mtu amekunywa sumu ,mnyweshe mkojo Kama huduma ya kwanza uwe wake au wako.
Unaweza kuosha uso wako pia asubuh kwa mkojo wa asubuhi kuinua aura yako na kuvutia baraka zako.
Unaweza kusafisha mikono yako kwa mkojo pindi unapotaka kupokea pesa kwa mtu usiyemuamini.
Unaweza kuloweka kufuli ikiwa na funguo kwenye mkojo wako na ukaenda ukaitupa ikiwa imefungwa kwenye barabara yenye mkusanyiko mwingi ,mtu akiifungua tu kufuli hyo ,maisha yako yanabadilika na kuwa mazuri.
Unaweza kupigia deki ,mkojo wako ,nyumbani ,itasaidia kuleta amani katika nyumba ,au kati yako na mpenz wako.
Unaweza kuweka mkojo ukiwa unaosha watoto wako ,kwa yoyote atakayejaribu kuwagusa atakipata Cha mtema kuni
Hii ndo nguvu ya Mkojo niliweza fundishwa hvo na Mimi nimeona nishare ,na niliwahi fanya ikalipa sio maigizo .Hadi saiv huniambii kitu kuhusu mkojo wa asubuh ni dozi .
Vipi kuhusu nguvu za hisia ngoja niwasaidie kuuliza shemeji mmm[emoji16]Halafu watu wengi wanachanganya hz Mambo ,mkojo haukupi utajiri Ila mkojo ni tiba ya kukuondolea vifungo ,mikosi ,uchawi ,unabaki normal tu ,tukija suala la utajiri ni kitu kingine kabisa .
Hapa tunaongelea kurudisha aura yako na peace of mind yako uliyozaliwa nayo siku ya kwanza unazaliwa ,means kila kitu kinakuwa kinaenda sawa na birth chat yako inavyosema,wale wataalam wa astrology watakuwa wanaelewa kuhusu birth chat kiundani .
Mimi nadhani njia sahihi kabisa ni kujikojolea tu kitandani ndio itakuwa poa zaidi au unasemaje mtoa mada.?Unaoga tu kawaida jion kwann usioge ,ishu ni maji yakaukie ,unaweza kuoga mkojo saa 12 asubuh ,saa sita mchana ukaoga na sabuni ,sio kwamba ni kuoga mkojo tu bas
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] watu watagugumia lita ha ha ha haNa mkojo wa kunywa ,unakunywa kidogo sana ,kiasi Cha kile kizibo Cha maji ya kunywa ,unaobaki ndo unachanganya kwenye maji yako ya kuoga unajimwagia ,maana daah mtu hachelew kunywa nusu lita nzima ya mkojo.
[emoji16][emoji16]fala kabisa[emoji16]Mimi nadhani njia sahihi kabisa ni kujikojolea tu kitandani ndio itakuwa poa zaidi au unasemaje mtoa mada.?
Acha utapeli Kaka utawasababishia watu kanza na magonja ya matumbo kwa upumbafu wakoUtatapeliwa mkojo wako au ? au soda utakayonunua kutumia ? Anyway siuz mkojo wangu kwamba ndo unakutibu ,unajitibu wewe mwenyewe kwa kutumia mkojo wako ,usitegemee nitakuambia tuma hela nikutumie mkojo
Huu Uzi Ni utapeli nitakuwa wa mwisho kukuamini kuwa mikono inatoa mikosiUkinywa mkojo sio kwamba ndo unapatia maisha ,mentality za vijana wengi wanawaza ukishatumia unapata utajiri ,utajiri unaamuliwa na nature na nurture ....mkojo ni tiba ya nguvu hasi ,haihusiani lolote na kupata mzunguko mfupi wa maisha.
Wala sijawai cheza betting mkuu ninacho nuwa mafanikio huja kwa kujituma na connection ya hapa na pale na ujasiri piaK
Kwahio wew hapo ulchoshika n mkojo ushinde betting? [emoji23][emoji23]duuh nyie ndio mliopigwa chale na bibi zenu au mnakesha kuloga au kulogewa mana kwen vitu viko perfect
Mimi sio mtu wa Geita ,Japo nishakaa Geita miaka miwili ,halafu sijakufundisha ushirikina ,nakufundisha kujikinga nao ... PeriodWatu wa geita Ni washirikina Sana hovyo Sana ,
Period
Sio lazima uniamini ,halafu uzuri nakuambia tiba ambayo ipo ndani ya uwezo wako ,hutakiw hata kutoa sh 100 kuichukua ....hvo yaanHuu Uzi Ni utapeli nitakuwa wa mwisho kukuamini kuwa mikono inatoa mikosi
Mavi ni takamwili lakini yanastawisha mimea sana.Unakusaidia kusafisha sehemu gan za mwili tena??? Mkojo tunajua ni taka mwili zimetolewa nje ya mwili. Aaaaah iman hizi ndioman hata risasi walisema maji na zilawaua kisa iman za ajabu.