Mkurya mweupe
JF-Expert Member
- Aug 10, 2023
- 239
- 817
- Thread starter
-
- #341
Nikipost Fb huwa simjibu mtu kitu chochote,huku JF najibu najua kuna watu wanaojua kujenga hoja ,maana huwa napenda sana challenge ,Ila na huku nashangaa watu baada ya kuattack hoja ana attack hadi sehemu ,utaanza kusema mara Kigoma ,Geita wachawi ,ishu ni hv Hata kama mm ni mshirikina ,Je mada niliyoleta ina ukwl ndani yake ? Jikite kwenye mada .JF inabidi kiwe kisima cha kujenga mawazo chanya ,shambulia mada ,usinishambulie mimi au sehemu ninayotokea ,maana sio Sheria kwamba nakulazimisha uikubali ,sawa eee....Watu wa geita Ni washirikina Sana hovyo Sana ,
Period
Tena mafanikio ya usiku mmoja tuHakika, yupo msomaji mmoja humu ataanza dozi! Bongo tunapenda sana mafanikio ya kimiujiza.
Sio mafanikio ,soda ,mkojo ,bangi ,chumvi ya mawe,mkaa ni tiba na bangi.... Period ....aihusiani na mafanikio.Tena mafanikio ya usiku mmoja tu
uko sawa,haya madawa ya kizungu yana kemikali nyingi kiasi kwamba unakunywa dawa ili upone ugonjwa flan,lakini dawa izoizo zinaenda kuharibu vi2 vingine kama vile figoMimi binafsi huwa nakunywa mkojo wangu wa asubuhi ninapokuwa na maradhi ya ajabu ajabu nachanganya na dawa zingine nakuwa poa kabisa ndani miezi kadhaa.
Sasa hapo bafuni sio chooni. Hapo wengi watakwama. Hebu rudi tena elezea vizuri hapo. Wengi wao vyoo vya ndani ni choo na bafu hapo hapo. Wanafanyeje hapo?Naongezea kidogo ,hakikisha ni mkojo wako wa kwanza wa asubuh kabla ya kuongea na mtu yoyote kisha kunywa kidogo ,kwa manuizi pia unaenda kuogea bafuni ,sio chooni ni bafuni,usitumie sponji .
Pia Kama mtu amekunywa sumu ,mnyweshe mkojo Kama huduma ya kwanza uwe wake au wako.
Unaweza kuosha uso wako pia asubuh kwa mkojo wa asubuhi kuinua aura yako na kuvutia baraka zako.
Unaweza kusafisha mikono yako kwa mkojo pindi unapotaka kupokea pesa kwa mtu usiyemuamini.
Unaweza kuloweka kufuli ikiwa na funguo kwenye mkojo wako na ukaenda ukaitupa ikiwa imefungwa kwenye barabara yenye mkusanyiko mwingi ,mtu akiifungua tu kufuli hyo ,maisha yako yanabadilika na kuwa mazuri.
Unaweza kupigia deki ,mkojo wako ,nyumbani ,itasaidia kuleta amani katika nyumba ,au kati yako na mpenz wako.
Unaweza kuweka mkojo ukiwa unaosha watoto wako ,kwa yoyote atakayejaribu kuwagusa atakipata Cha mtema kuni
Hii ndo nguvu ya Mkojo niliweza fundishwa hvo na Mimi nimeona nishare ,na niliwahi fanya ikalipa sio maigizo .Hadi saiv huniambii kitu kuhusu mkojo wa asubuh ni dozi .
Ogea nje au chumbani, au jikoni ata seblenSasa hapo bafuni sio chooni. Hapo wengi watakwama. Hebu rudi tena elezea vizuri hapo. Wengi wao vyoo vya ndani ni choo na bafu hapo hapo. Wanafanyeje hapo?
Ulikuwa unakunywa kiasi gani?ni kweli,,mimi miaka flan nilikuwa nakunywa mkojo wa asubui lakini ilikuwa kwa ajili ya kuniepusha na maradhi nyemelevu sikujua kama inasaidia kwa upande wa pili lakini mambo yangu yalikua poa sana,,,mimi nilijua ni tiba baada kumsikiliza mtangazaji wa CNN {tim sebastian] akimhoji rais wa ufilipino kipindi hicho inakuwaje ana umri mkubwa lakini bado ananoneekana kijana??,,yule mama alimjibu"nakunywa mkojo wangu wa asubui}....mimi hapa binafsi nina miaka 48 lakini huwezi amini sina mvi ata moja!!!
Duuh...! Umeuaa mkuu. Mwite aje atoe ufafanuziOgea nje au chumbani, au jikoni ata seblen
Ukipata uwezekano sio mbaya na maji sio kwamba mpaka ujaze ndoo nzima ,kiasi tu ya kutosha kuenea mwili wako basi maana unajimwagia sio kwamba unatumia sabuni kujisafisha mwili mzimaDuuh...! Umeuaa mkuu. Mwite aje atoe ufafanuzi
Unachosema ni sahihi ukiwa umeegemea angle yako ,ya dini na siku zote ila samahani sio mungu ni Mungu,ukiandika mungu tunaelewa umemaanisha kitu kingine tofauti ,hatujafika huko kwenye angle za ushirikina ,Waafrika mentality yetu moja ni hii ,tukiambiwa tiba zetu asilia huwa tunaziusisha na ushirikina sijui kwann ,bado tuna mentality ya kutawaliwa kiukoloni na wazungu ,Wachina wenyewe huwa wanaamin sana katika tiba zao asilia ,wao hawaziiti ushirikina ,Ila Muafrika akiona mwenzake katembea na kipande Cha mkaa kwenye mfuko ,anasema ni mchawi ,wakati ni tiba yake binafsi tuIla vijana tunapitia mengi [emoji120][emoji120] mungu (1)
Ushavunja nazi
Chale mwili mzima
Makaburini usha lala
Mbuzi mweupe
Kuku wa kishingo
Bado unakuja huku kwa watu wanao jielewa
Unaambiwa Kuna kojo la Asubaa lina weza kuku saidia mahali aisee haya yote ni kukosa chagua moja unaweza kutesti kumbe ndio mungu alikuwa anafungua mipango yako ila kwakuwa ushapiga kojo utaamini maisha yataenda utapata mtiani mwingine kwa imani hiyo hiyo utapewa maarifa mengine ukipata mtoto bikra utatusua unakuja kujikuta upo segerea unachezea rungu kila siku imani imani tuitafutie engo nzuri ya kuiweka [emoji120][emoji120][emoji120][emoji1666]
Unachosema ni sahihi ukiwa umeegemea angle yako ,ya dini na siku zote ila samahani sio mungu ni Mungu,ukiandika mungu tunaelewa umemaanisha kitu kingine tofauti ,hatujafika huko kwenye angle za ushirikina ,Waafrika mentality yetu moja ni hii ,tukiambiwa tiba zetu asilia huwa tunaziusisha na ushirikina sijui kwann ,bado tuna mentality ya kutawaliwa kiukoloni na wazungu ,Wachina wenyewe huwa wanaamin sana katika tiba zao asilia ,wao hawaziiti ushirikina ,Ila Muafrika akiona mwenzake katembea na kipande Cha mkaa kwenye mfuko ,anasema ni mchawi ,wakati ni tiba yake binafsi tu
Tujifunze kutofautisha tiba zetu asilia Waafrika na Imani za kishirikina ni vitu viwili tofauti , ushirikina upo ambao ni kitu ambacho hakifai kabisa na tiba zetu za kiasili zipo ambazo sio ushirikina kabisa .Ila vijana tunapitia mengi [emoji120][emoji120] mungu (1)
Ushavunja nazi
Chale mwili mzima
Makaburini usha lala
Mbuzi mweupe
Kuku wa kishingo
Bado unakuja huku kwa watu wanao jielewa
Unaambiwa Kuna kojo la Asubaa lina weza kuku saidia mahali aisee haya yote ni kukosa chagua moja unaweza kutesti kumbe ndio mungu alikuwa anafungua mipango yako ila kwakuwa ushapiga kojo utaamini maisha yataenda utapata mtiani mwingine kwa imani hiyo hiyo utapewa maarifa mengine ukipata mtoto bikra utatusua unakuja kujikuta upo segerea unachezea rungu kila siku imani imani tuitafutie engo nzuri ya kuiweka [emoji120][emoji120][emoji120][emoji1666]
Mimi natoka kuoga nje...... Nachukua funguo wa mlango mkubwa nafunga nnakuwa nao..... Ko chapu dk tano kunuia na kujimwagia fastaDuuh...! Umeuaa mkuu. Mwite aje atoe ufafanuzi
Hapo amesema uktumia usfanye kaz kwa juhudi? Hio n kinga kwa watu wabaya wew kama unakinga zako ni sawa usikatishe mtu akileta kitu kilicho msaidia huku huez jua mzee maarif yakija mnakosoa wasipo share mnalalamika ebana wew kama haikusaidii unaenda kusoma nyuzi zngne usikosoe nimetumia na nimeshinda laki kwa 14k per day nme deposit 6k nmelaza 146k hutaki siko kuamnnisha mtuWala sijawai cheza betting mkuu ninacho nuwa mafanikio huja kwa kujituma na connection ya hapa na pale na ujasiri pia
Ok sawa. Hapo changamoto kwa wengi itakuwa sehemu ya kuogea. Maana naona wengi choo kinachanyikana na bafu humo humo.Ukipata uwezekano sio mbaya na maji sio kwamba mpaka ujaze ndoo nzima ,kiasi tu ya kutosha kuenea mwili wako basi maana unajimwagia sio kwamba unatumia sabuni kujisafisha mwili mzima
Mimi natoka kuoga nje...... Nachukua funguo wa mlango mkubwa nafunga nnakuwa nao..... Ko chapu dk tano kunuia na kujimwagia fasta
Duuh...! Wakikukuta sasa hapo? Ahahaaaa ...! Lazima wakuone wa tofauti mkuu. Watakuona mwanga
Na wewe ulipata milioni ngapi?😊Yesu anatosha! huhitaji kujitoa utu wako kwa kunywa vitu najisi wala kununiana na mtu asubuhi bila salamu na vingine vya kishenzi na visivyo vya kishenzi ilimradi mauzauza tu, nilimtumainia yeye pekee na ametenda maajabu ambayo siwezi kueleza.
Jamaa una kelele, sidhani kama umesoma uzi wenyewe. Sio lazima unywe mkojo, kasema kuna sehemu unaweza kunywa Fanta😊.Sawa endelea kuwafundisha kunywa mikojo yao.najua utawapata.haya tuwekee huo mkeka ulioshinda
Hii si ipo hata katika dawa na vipimo vya hospitali, kuna extent dawa inaweza kugoma kwa watu wa aina flani mtu na pengine badala ya tiba kupatikana mtu akapata changamoto nyingine hata ya allergy.Madaktari wa meno lazima waendelee kuwepo ,maana nadharia zao ni za kisayansi ,na huku ni asili ,unakoelekea utasema hamna haja ya ndege kwakuwa Kuna watu huwa wanapaa(joke)......mbona watu waliokulia vijijin huwa wanajitibu hata homa ,mafua,kichwa ,malaria kwa njia za asili na madaktari wakaendelea kuwepo ? Sema sijui Wana JF wa kishua wengi , kuna watu huko kijijin kila wakiugua ni dozi za asili ,kuhusu kubagua kutibu nakubaliana na wewe ,kuna dawa inaweza ikanitibu Mimi Ila isikutibu wewe ,hapo tunarud kwenye somo la nature na nurture ,nitalielezea kesho.
ENDELEA NA KOZI YA UCHAWI UTAPATA CHETI.Jamaa una kelele, sidhani kama umesoma uzi wenyewe. Sio lazima unywe mkojo, kasema kuna sehemu unaweza kunywa Fanta😊.
Kuhusu mkeka we itakusaidia nini man, unataka kuomba gawio? Na ni siku kibao tangu ashinde.🤣🤣
We tumia ya Fanta utampata yule mke wa mtu unaemtamani, ila kabla ya kumkanda umwoshe na chumvi ya mawe, vingivyo utakuja kushikwa na mme wake🤣