Ushuhuda: Mkojo wangu wa asubuhi ulivoniponya

Acha utapeli Kaka utawasababishia watu kanza na magonja ya matumbo kwa upumbafu wako
Acha maneno ya karaha wewe.hivi unajua maana ya utapeli wewe.
Yeye Kaja kuelekeza maarifa,Tena unatumia MKOJO WAKO MWENYEWE.
POST NYINGINE MUWE MNAPITA KIMYAKIMYA.
HATA MENO TU MKOJO UNATIBU.
HOOOOOVYOOOO
 
Ivi kwamfano inikaweka maji ya kunyw nje Leo yapigwe Na mwnga huo wamwez afu nikanywa kesh asubuh itasaidia pia?.
 
Mkuu kama naweza kuachia labda saa moja halafu nikarudia ile ya saa tano?
 
Ivi kwamfano inikaweka maji ya kunyw nje Leo yapigwe Na mwnga huo wamwez afu nikanywa kesh asubuh itasaidia pia?.
Upo sahihi kabisa na hyo ni njia maji yanapigwa na Mwanga wa mwez halafu unakunywa kwa kuomba mazuri au unaweza kunawa usoni pia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…