Ushuhuda: Mkojo wangu wa asubuhi ulivoniponya

Ushuhuda: Mkojo wangu wa asubuhi ulivoniponya

Mim Huwa naweka Maji dirishani nakunywa huku nikiangalia Movie/Series, Yaliyobakia asubuhi au jioni nikitoka job nakunywa[emoji3][emoji3][emoji3], Yanafanya kazi kweli bila kunuia?
 
Habari za siku , nafurah kuona feedback za watu wengi PM jinsi walivyonufaika na masomo yangu ,Leo nataka niongelee Manifestation portal(delulu is sululu) hapa huwa tunaangalia tarehe inapofanana na mwez then una manifest ,mfano kesho itakuwa tarehe 11/11 na portal ya mwez huu ,mwez Mwandamo utakuwa upo kwenye nyota ya Ng'e.
Cha kufanya
1.Tenga muda wako walau dk 30 anza na ritual unayipendelea kufanya ,mfano oga chumvi mawe ,Fanta orange , meditation
2 .Chukua diary yako kama huna hata daftar au karatas nyeupe tatu.Page ya kwanza andika vitu 11muhimu ambavyo umefanikisha mwaka huu ,viwe vikubwa au vidogo,page ya 2 ,angalia vitu ambavyo ungependa viwepo katika hvo 11 ulivyofanikisha yaan bado hujatimiza Ila unatamani kabla ya mwaka huu kuisha viwe vimetimia ,viwe 11
3 .Page ya 3 andika vitu 11 ambavyo ungetaman uvipate kuja kufikia mwaka ujao tarehe kama hyohyo viwe 11,ww andika tu ,usitake kujua Kama yatatokea au hayatatokea
NB mwaka Jana nilimanifest vilivyotimia karibia ni asilimia 70 ,sio mpaka vitimie vyote namaanisha

Baada ya hapo saini ,kwa wale walioandika kwenye karatasi tunza kwenye bahasha utarudi kuangalia mwakani tarehe Kama hii kwel ulitimiza mangap
Kwenye diary kaa na diary yako tu utakuwa unapitia
Kumbuka uwe unaandika kwa kuanza kutaja majina yako kwamba unatamani kufikia muda fulani uwe umetimiza. 11/ 11 gate portal way hyo........DELULU IS SULULU.
Asante
 
Kitu nilichojifunza watu wanachanganya nguvu ya asili na ushirikina walio wengi humu hasa wale napenda(ga)kuwaita wafia dini,nadhani Kuna elimu kubwa inahitajika sana kutolewa kwa Waafrika kuhusu asili yao ( nature ) yao na dini ili wajue kuvitenganisha vizur hv vitu viwil ,maana Kuna mtu kuelezea Mambo kama haya anakuona mshirikina kisa kashikilia sana imani ya dini ,Kuna kitu Japo wafia dini watachukia ,muda mwingine tujifunze kuchallenge hata mambo yaliyopo kwenye dini zetu ,tusiwe watu wa kumezeshwa na kukubali hapohapo ,maana ikiwa tu umeshikilia dini ,hauna uwezo wa kuhoji vitu ndo mwanzo wa kutokea maafa kama yaliyotokea Kenya ,au Tanzania kuna watu ,nimesahau mkoa walikufa wakikanyaga mafuta .........Huwa napenda sana kuchallengiana na Askofu Bagonza kuhusu dini na Method Kilaini kuhusu mambo ya dini na kanisa ,na wanaijua falsafa na dini haswa na huwa wananipa majibu mazuri ,hawaniiti mshirikina ,na wanafurahia sana challenge zangu ,maana wamebobea kwenye falsafa ,sasa mtu hajui hata kidogo historia ya dini yake amemeza kama yalivyo et ananiita mchawi kisa naongelea asili ya kiafrika ...................Black people ni muda wa kuamka kifikra .
 
1111 hyo
Screenshot_20231111-111711.jpg
 
Hii dunia bhana ina maarifa mengi yaliyojificha. Kuna kipindi niliwahi pata vifungo vya kichawi, nikawa naenda kinyume na dunia inavyotaka. Basi, baada ya kupambana muda mrefu bila kupona, nilikutana na rafiki yangu mmoja ambaye tulikuwa tumepotezana muda mrefu baada ya kuwa tumeachana 823 KJ, Msange JKT. Basi, yule ndugu yangu alinambia tiba ya haya mambo yote ni mkojo wa asubuhi ukifanya kwa imani.

Jamaa yangu alinielezea kwamba ukiamka asubuhi kabla hujaongea na mtu yoyote ule mkojo wa kwanza wa asubuhi kabla hujaongea na mtu yoyote, hakikisha unauweka kwenye chombo unanuia kuondoa mabaya, yaani vifungo, laana, na huku unanuia ukuletee mazuri, then unakunywa kidogo, mwingine unaobaki unaweka kwenye maji huku ukinuia unaenda kuoga, na ukimaliza haujikaushi kwa manuizi, kwa siku saba mfululizo.

Basi, zilikuwa hazijafika hizo siku saba. Mambo yalianza kufunguka, sehemu ambazo nilikuwa nimeomba kazi bila mafanikio nikaanza kuitwa hadi za Serikali ni, mpaka nikawa na uchaguzi wapi niende. Kunywa mkojo ule kulifanya niharishe na kutapika uchafu mwingi sana.

Katika kipindi hicho cha dozi ya mkojo nilishangaa naanza kukubalika sana kwa watu katika mtaa wetu, kitu chochote kilichotaka kufanyika ilikuwa lazima nihusishwe, yaani ile nafsi ya kutambulika kwa watu ikawa kubwa. Kingine katika kipindi natumia dozi ya mkojo, wale watu walionifanyia ubaya nilikuwa nawaota ndotoni napambana nao, nawashinda mpaka muda mwingine nilikuwa nikisema sasa hamwezi kuniroga tena, au nilikuwa naota wananifukuza mbio na kuwaacha huku nikiwatambia na kauli ya hamniwezi tena hata mfanyeje.

Kitu kingine katika siku ya tatu ya dozi ya mkojo nilikuwa addicted sana na betting, basi niliweza kuwin Perfect 12 ya Mbet milioni 125, ambayo ilifanya nifungue kampuni ya kukopesha na kutengeneza ajira kwa jamaa zangu, pamoja na uwakala wa huduma za kibenki na simu.

Kiukweli, tokea kipindi kile mpaka sasa, huwa natumia dozi ya mkojo nikiona mambo hayako sawa, na huwa inalipa. Pia, huwa najitibu wakati wa full moon, nitaelezea full moon huwa inanisaidia vipi kujitibu siku nyingine, kwa hiyo ni marufuku kwenda kwa waganga kwangu mimi. Pia, huwa nafanya meditation, na kamwe huwa siachi kufanya affirmation, yaani kushukuru kwa kile nilicho nacho na ambacho sina. Kuna nguvu kubwa katika kushukuru kwa ulivyo navyo na ambavyo hauna.
Mbadala wa hiyo ni sala,toba,maombi na kumtukuza Mungu...
 
Leo ni full moon ya kwanza ,Japo nimebanana sijatolea maelezo sana ,waweza fanya kama nilivoelezea huko nyuma.... Full moon katika nyota hii ya Simba itaondoa hasa vizuiz kwa wale waliokuwa na vizuiz katika mapenz ,usishangae hata mtu mloachana anakutafuta au kumkumbuka sana ,pia utakuwa wakati wa kukuza mahusiano na familia yako, Nyota ambazo zitaguswa sana na full moon na zitabarikiwa sana ni kwa wale Ndoo ,Simba ,Ng'ombe na Ng'e . baraka zisizotarajiwa zitatokea kwa Simba ,Mshale na Punda.
Full moon itaanza Leo tarehe 25 kuanzia saa 8:55 usiku ,mwezi utaonekana ukiwa full,tumia muda huo kufanya moon gazing na kujiconnect na nature ( mfano kuegemea miti)....Namba ya Malaika 1111 watakutana nayo sana watu wenye Nyota ya Ng'e.
 
Leo ni full moon ya kwanza ,Japo nimebanana sijatolea maelezo sana ,waweza fanya kama nilivoelezea huko nyuma.... Full moon katika nyota hii ya Simba itaondoa hasa vizuiz kwa wale waliokuwa na vizuiz katika mapenz ,usishangae hata mtu mloachana anakutafuta au kumkumbuka sana ,pia utakuwa wakati wa kukuza mahusiano na familia yako, Nyota ambazo zitaguswa sana na full moon na zitabarikiwa sana ni kwa wale Ndoo ,Simba ,Ng'ombe na Ng'e . baraka zisizotarajiwa zitatokea kwa Simba ,Mshale na Punda.
Full moon itaanza Leo tarehe 25 kuanzia saa 8:55 usiku ,mwezi utaonekana ukiwa full,tumia muda huo kufanya moon gazing na kujiconnect na nature ( mfano kuegemea miti)....Namba ya Malaika 1111 watakutana nayo sana watu wenye Nyota ya Ng'e.
Mkuu nisaidie number zako asee
 
Back
Top Bottom