Ushuhuda: Mkojo wangu wa asubuhi ulivoniponya

Ndio maana unanukaga mikojo nakuvumilia tu kumbe ndio ushirikina wako
 
Ulikunywa mkojoo Mkuu????
😕😕😕
 
Unasema tusiogee chooni wakati wengine choo na bafu ni humohumo hapo inakuwaje
 
Unasema tusiogee chooni wakati wengine choo na bafu ni humohumo hapo inakuwaje
Anasema hata chumbani au sitting room, maana unajipakaa tuu sio kujimwagiaa😁😁 then unadeki pale yalipo mwagika pia ni moja ya protection kudeki
 
Jibu mkuu
Napakaa mwili wote hasa usoni kisha naacha nakauka kisha naoga kwa sabuni. Sometime nafululiza kuogea chumvi nayo inasaidia sana. Tangu nianze kuogea kuogea kuna alama inaonekana usoni ambayo inabadilika umbo kila Mara sometime umbo la "V" au kibonde duara au kibonde kusicho na umbo maalumu! Lakin hawezi kukiona labuda mpaka kumwelekeza. Kwa kioo mimi binafsi naiona alama. Braza Mshana Jr mwiteni anisadie kuelezea nini kitokea kiroho zaidi
 
Kuna mambo yanafikirisha sana
 
Umetisha sana mtani....
 
WAKUU HILI SWALA Lipo na n kweli


M niliambiwa yakujimwagia unaweka kwenye maji unanuia na kweli it was

Kama una shida ya mahusiano mke ama mume ana hela hakupi

Andika karatasi jonaalake weka kwenye mkojo wako tikisa marasaba yoinuia hatakama ana bwana nje wanaachana anakujaliwewetyu
 
UNA SHIDA NYUMBA KIWANJA HAKIUZIKI

WWASHJIKOLAMKAA WEKA MAJANIYACHAI YALE TUNAYOPANDA HOME SABA WASHAMOTO JIFUKIZE NUIA

NIPEN MREJESHO
 
una bibi mume anakuganda humtaki

Chuku vitunguu saumu kamoja kakubwa chomeka sindano 5
YYa1.nuia akuache.2.asikusumbue
3.akomekukutafuta
4.asiruditena
5.msikutanepopote chimbia kwenyekonayanyumba lala
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…