the numb 1
JF-Expert Member
- Dec 15, 2020
- 1,562
- 2,902
yan unamix maji na mkojo unaoga au unaoga ndoo nzima ya mikojo mitupu???Pia usitumie sabuni ,jimwagie tu na usipanguse maji yakaukie ,fanya halafu urudi na ushuhuda hapa na tabasamu la ushind
Mix maji na mkojo kwa manuizi.yan unamix maji na mkojo unaoga au unaoga ndoo nzima ya mikojo mitupu???
em tupe ujuuzi maadam ni mkojo wang ntajaribu kwamaan nimepigwa pin la hatar kutoa kuwa account imenona mpk sas nakuwa mkopaji maarufu mpk nimeyachoka haya maisha ila nina vita kali saan ni vile tu sio mpenz wa kwenda kwa waganga nabak nalia na Mola wangu.
Halfu mimi sipo tayari kufanya uniamin japo nitakuonesha ,maana ukiniamin au hata usiponiamin ,hakuna credit yoyote nitapata kuwa umeniamin ,Mimi nimeshare ushuhuda ni wewe kuamua kuamini au usiamini .Ukiweza kunionesha hizo 125 M ulizokula kwenye betting nitaamin Kila kitu ulichoandika ...
Usioneshe pesa ,nioneshe ticket tu ...
ndani ya muda ganiMix maji na mkojo kwa manuizi.
Mkojo wako wa kwanza wa asubuh kwa manuizi ukiwa bado hujaongea na mtundani ya muda gani
ofcoz nmeipenda sana hii mada nmesoma kila kitu mpk nukta...mm nakupa pongezi sana mm nina imani na haya mambo uliyosemaHii dunia bhana ina maarifa mengi yaliyojificha. Kuna kipindi niliwahi pata vifungo vya kichawi, nikawa naenda kinyume na dunia inavyotaka. Basi, baada ya kupambana muda mrefu bila kupona, nilikutana na rafiki yangu mmoja ambaye tulikuwa tumepotezana muda mrefu baada ya kuwa tumeachana 823 KJ, Msange JKT. Basi, yule ndugu yangu alinambia tiba ya haya mambo yote ni mkojo wa asubuhi ukifanya kwa imani.
Jamaa yangu alinielezea kwamba ukiamka asubuhi kabla hujaongea na mtu yoyote ule mkojo wa kwanza wa asubuhi kabla hujaongea na mtu yoyote, hakikisha unauweka kwenye chombo unanuia kuondoa mabaya, yaani vifungo, laana, na huku unanuia ukuletee mazuri, then unakunywa kidogo, mwingine unaobaki unaweka kwenye maji huku ukinuia unaenda kuoga, na ukimaliza haujikaushi kwa manuizi, kwa siku saba mfululizo.
Basi, zilikuwa hazijafika hizo siku saba. Mambo yalianza kufunguka, sehemu ambazo nilikuwa nimeomba kazi bila mafanikio nikaanza kuitwa hadi za Serikali ni, mpaka nikawa na uchaguzi wapi niende. Kunywa mkojo ule kulifanya niharishe na kutapika uchafu mwingi sana.
Katika kipindi hicho cha dozi ya mkojo nilishangaa naanza kukubalika sana kwa watu katika mtaa wetu, kitu chochote kilichotaka kufanyika ilikuwa lazima nihusishwe, yaani ile nafsi ya kutambulika kwa watu ikawa kubwa. Kingine katika kipindi natumia dozi ya mkojo, wale watu walionifanyia ubaya nilikuwa nawaota ndotoni napambana nao, nawashinda mpaka muda mwingine nilikuwa nikisema sasa hamwezi kuniroga tena, au nilikuwa naota wananifukuza mbio na kuwaacha huku nikiwatambia na kauli ya hamniwezi tena hata mfanyeje.
Kitu kingine katika siku ya tatu ya dozi ya mkojo nilikuwa addicted sana na betting, basi niliweza kuwin Perfect 12 ya Mbet milioni 125, ambayo ilifanya nifungue kampuni ya kukopesha na kutengeneza ajira kwa jamaa zangu, pamoja na uwakala wa huduma za kibenki na simu.
Kiukweli, tokea kipindi kile mpaka sasa, huwa natumia dozi ya mkojo nikiona mambo hayako sawa, na huwa inalipa. Pia, huwa najitibu wakati wa full moon, nitaelezea full moon huwa inanisaidia vipi kujitibu siku nyingine, kwa hiyo ni marufuku kwenda kwa waganga kwangu mimi. Pia, huwa nafanya meditation, na kamwe huwa siachi kufanya affirmation, yaani kushukuru kwa kile nilicho nacho na ambacho sina. Kuna nguvu kubwa katika kushukuru kwa ulivyo navyo na ambavyo hauna.
nitumie kwa siku ngpMkojo wako wa kwanza wa asubuh kwa manuizi ukiwa bado hujaongea na mtu
7nitumie kwa siku ngp
AminaAchana na mkojo Sasa!
Ukiamka tu kabla hujaongea na mtu ongea na Mungu kwanza aliyekuumba!
Hayo manuizo ss elekeza Kwa Mungu basi !
duh ..sina bahati asee mazingira niliyopanga ni choo na bafu sehem moja and then nikisema nioge nje [emoji3][emoji3] hiyo itakua skendo ya mwakaTafuta chemba nyingine mkuu! hata nje ogea kikubwa isiwe na choo.
Wataalamu wa mambo wanasema choo na mambo hayo huwa haviendani kabisa.
Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app
vipi kama nikioga kawaida uko choon then nikarudi geto hata kwenye dishi nikajimwagia ayo maji yenye chumvi niliyonuia ??Kikishakuwepo choo inakuwa haiwezekani tena .....
Yes inafaa kabisavipi kama nikioga kawaida uko choon then nikarudi geto hata kwenye dishi nikajimwagia ayo maji yenye chumvi niliyonuia ??
mkuu samahani tena ..vipi je , kwa mfano me ninatabia nikinywa maji basi nakojoa frequently so vipi kama niliamka zaid ya Mara tatu au hata nne kukojoa usiku na wa mwisho nikakojoa alfajiri , je huo mkojo ninao kuja kuamka nao maybe tuseme sa1 asubuhi , bado nao unakua na iyo nguvu ya kuponya ?? ..nawasilishaHalafu watu wengi wanachanganya hz Mambo ,mkojo haukupi utajiri Ila mkojo ni tiba ya kukuondolea vifungo ,mikosi ,uchawi ,unabaki normal tu ,tukija suala la utajiri ni kitu kingine kabisa .
Hapa tunaongelea kurudisha aura yako na peace of mind yako uliyozaliwa nayo siku ya kwanza unazaliwa ,means kila kitu kinakuwa kinaenda sawa na birth chat yako inavyosema,wale wataalam wa astrology watakuwa wanaelewa kuhusu birth chat kiundani .
swali jengine mkuu ;Yes inafaa kabisa
Ona sasa huna ujualo!!!Wana Israel waliteseka Jagwani miaka mingapi? Ya Bibilia huyajui na Ya Nature huyajui..Halafu Mungu sio mungu..Samahani kama nimekukwaza ni Elimu tunapenaUtapeli unanukia hapa hakn short cuts kwenye maisha Wana wa Israel walitezeka miaka 430 jwangwani na Ni wanna wa mungu je wew Ni nani usitezeke
Acha utapeli kijn hkn short kwenye maishaOna sasa huna ujualo!!!Wana Israel waliteseka Jagwani miaka mingapi? Ya Bibilia huyajui na Ya Nature huyajui..Halafu Mungu sio mungu..Samahani kama nimekukwaza ni Elimu tunapena
Sent from my SM-A107M using JamiiForums mobile app