Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakati nasoma nilikuwa najisemea “mwenye sikio asikie” Kumbe siko mwenyewe. aloo huu ni Mtihani sanaKuna la kujifunza hapa mwenye kusikia na asikie, single maza ni hatar kwa afya yako ila pole kwa mitiani waswahili usema ujinga wakati wa kwenda tu
Wa mwisho vipi? Wa kwanza huyu. Sidhani kama kuna boya zaidi ya huyu chini ya juaKama sio Chai, wee ni Boya. Boyaaaa wa mwisho
Hamna mwanaume boya hivi huyu wa kwenye hadithi hii ni boya kuliko bata maji. Hadithi sijaimaliza, hawezi tokea ndezi wa hivi kwenye maisha ya kawaidaKama sio Chai, wee ni Boya. Boyaaaa wa mwisho
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Jamaa boya kweli, mie mnasemaga hapa mzabzab sina akili, kweli sina akili lakini huyu kanizidi [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]