SatCitAnanda
JF-Expert Member
- Dec 11, 2022
- 643
- 1,099
We achana na single mothers they're big girls they can take care of themselves. Au wewe kuuliza hilo swali lita solve nini? Their children will disappear?Single mothers ndo swali lao na ndo kosa lao .!!
Unakuwa kama hauna akili !!We achana na single mothers they're big girls they can take care of themselves. Au wewe kuuliza hilo swali lita solve nini? Their children will disappear?
Focus on your little girls!
Kawaida mimi ni mtu wa kuvulimia sana ukiona mpaka nimeshidwa ujue ni basi.Pole sana mkuu, unauvumilivu sana.
Cute wife ni nani kakaBora single mother kuliko uangukie kwa wadangaji kina cute wife
Haaa jamaa yupo mwanza.Hii nzuri sana na apite na dada wa jamaa itapendeza zaidi
Me naona we ndo huna akili maana hata sijui unaleta ligi ya nini hapa!Unakuwa kama hauna akili !!
kama ujinga si wamefanya wenyewe kama ni mzinifu wanakufaa sana .
Wananisema ila nafikili ni moyo wangu, wangapi wamewafumania wake zao tena si mara moja na kuwasame.Sio boya jamaa mvumilivu sana
kichaa unaelezwa tatizo mara ukurikie huku mara hukuMe naona we ndo huna akili maana hata sijui unaleta logo ya nini hapa!
kazi kweli kweli. mbaya zaidi hawa single mothers wanazidi kuongezeka kila kukicha. unaweza kutongoza wanawake kumi usipate hata moja ambae bado hajashusha injini.Bado, hawezi akakuruhusu kamwe. Wanaopigia kampeni kuwa its okay kuoa mwanamke mwenye watoto either ni mwanamke mwenye mtoto amezalishwa hivyo anataka anaona mtoto wake anastahili kuolewa au yeye mwenyewe ni single mother.
Hata mama mwenye watoto wawili mmoja wa kiume na mwingine wa kike ikitokea mtoto wake wa kike ni single mother atapambania kwa nguvu zote bint yake kuolewa lakini mtoto wake wa kiume akitaka kuoa single mother atapinga hata atajiua.
Niliachananae tangu mda sana,Wewe jamaa akili zako kweny mapenzi ni ndogo sana.
Kheri umepatwa na hilo ujifunze na uwe na utambuzi kuhusu mapenzi.
Vinginevyo ungekuja kuuza nyumba ya urithi kisa mke wa mtu.
PAMBANA!kichaa unaelezwa tatizo mara ukurikie huku mara huku
uzungu mwingi halafu mweusi kama mkaa .
Jitambue!!
Hata uamuzi wenyewe kauchukua kwa kuchelewa sana. Yaani hadi jamaa kampiga chini huyo mwanamke wake, halafu kahamia mbali na kwenda kuoa mwanamke mwingine ndiyo na yeye akaanza kujitutumua.Kama ungemsamee na kuishi nae tena ningekuona mjinga huo uamuzi uliyochukua ndio ujanamume
Ndo hivyo mama aliniambia hivyo hivyoDaah inasikitisha mnooo!
Nimekuwa nikisema mara nyingi kuwa mwanamke ndiye mwamuzi wa either azae au asizae, na akizaa kwa asilimia kubwa anakuwa amemuelewa sana jamaa yake!
Sio wale wenye makomwe? maana huo muandiko na lugha ya kuchanganya ndo tabia zao...PAMBANA!
Mama mkwe alisema hayo maneno binti yake nilikuwa tayari sikai nae na mimi nilishaanzisha mahusiano nje tayari na huyu ambaye ni mke wangu kwa sasa.Yaani nilipofika hapo Kwa mama mkwe nikamdharau jamaa.
Sio Siri kama mama mkwe asingekula makofi siku hiyo hiyo ndio Binti Yao angerudi kwao
Wenyewe wanasema kuna MUHA na JIHA😁😁Japo una kiswahili cha "MUHA" ila tumeelewa.
Huwa sielewi watu wanawezaje kumpenda mtoto wa mwanaume mwenzio kama mwanao. Mimi siwezi nitamchukulia tu kama mtoto mwingine yeyote. Mm nilishaapa sitaoa single mother never ever.
UKIMKUTA SINGLE MOTHER ANAPIGANA NA NYOKA, WEWE MSAIDIE NYOKA MUMUUE SINGLE MOTHER.
Wanaingia mazima kwenye maisha ya mpito bila ya tahadhari.kazi kweli kweli. mbaya zaidi hawa single mothers wanazidi kuongezeka kila kukicha. unaweza kutongoza wanawake kumi usipate hata moja ambae bado hajashusha injini.