USHUHUDA: Nikishalewa nafanyaga maamuzi mazuri sana

Pombe ndio kila kitu kumbe

Ngoja nianze kunywa!
 
Kama unakunywa au unalewa

Epuka sanaa hawa wanafiki wasiokunywa pombe

Wakati wao wanaogopa kufanya vitu vya maana wewe unathubutu.

Niliqnza kilimo cha nyanya kwa aidia kutoka bar,

Mpaka leo nafanya vitu vya msingi hata kama nimelewaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
natafuta mlevi mwemzangu tupange dili

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…