Ushuhuda nikiwa mhudumu wa gesti kwa miaka 10

Ushuhuda nikiwa mhudumu wa gesti kwa miaka 10

Hivi punde

JF-Expert Member
Joined
Apr 1, 2017
Posts
2,554
Reaction score
8,587
Nimefanya kazi kama mhudumu wa guest (ya kawaida) hapa DSM kwa miaka 10 mfululizo. Niseme tu kwamba, kuna makubwa sana yanafanyika hasa nyakati za mchana kwa wake/waume za watu, wafanyakazi wa Serikali na mashirika, vijana wa bodaboda (kwa wake za watu) na viongozi wa Serikali na vyama vya siasa!

Kwa siku 1 m-baba mume wa mtu na mwenye familia yake na kazi yake nzuri Serikalini anaagiza visichana 3 tofauti kwa muda tofauti. Ni kula tu maisha. Kati ya dakika 30 hadi saa 1 mtu anakuwa ameshamaliza kubandua.

Vijana wa bodaboda wanabatuliwa sana na wake za watu wenye 'maisha', wanawalipia guest na kila kitu ilimradi tu walale nao.

Nimeshuhudia sana couples zinakuja guest na michepuko kwa mida tofauti tofauti. Yaani wanachepukiana bila wao kujuana.

Umalaya, ufuska, uzinzi umetamalaki sana ndugu zangu. Yaani ugumu wa maisha /ukosefu wa nguvu za kiume/ uwezo mdogo wa kufanya umesababisha watu kuchepuka sana kwa gharama yoyote ile.

Mchana ni muda hatari sana kwa watu wenye familia zao. Muda huu unatumika vizuri sana kwa watu hawa. Ukitoka home, nyuma mama nae anatoroka, anaenda kubebwa na mwanaume anafyatuliwa kwa lisaa 1 then anarudi home mapema sana.

Tuwe makini sana. Mchana ni hatari sana.

Guests kuna mambo mengi sana makubwa ya hatari.
 
Kama unajua umeoa mwanamke asiye na bikra basi haya ni ya kawaida sana, najua tupo tusiokubaliana na ukweli huu ila tuishi nao tu.

NB; SISEMI WALIOOLEWA NA BIKRA HAWAWEZI KUFANYA HAYA ILA 90% WALIOOLEWA WAKIWA MAKOPO KUUZA MATCH KWA MA-EX ZAO NA KUKOSA AIBU NI KUGUSA TU.

Nimekaa palee nipopoeni!
 
Niliwahi sikia kuwa Ijumaa DSM gesti zinajaa huwezi pata room.

Mshana Jr hili hujalifanyia research? Naamini pia hili ni reason ya talaka.
Hii ni kweli,nilishangaa Sana, maana nliamua kuingia ijumaa ili jmos$2 niwaachie wikiend,maaamake nkakuta pamejaa
 
Kama unajua umeoa mwanamke asiye na bikra basi haya ni ya kawaida sana, najua tupo tusiokubaliana na ukweli huu ila tuishi nao tu.

NB; SISEMI WALIOOLEWA NA BIKRA HAWAWEZI KUFANYA HAYA ILA 90% WALIOOLEWA WAKIWA MAKOPO KUUZA MATCH KWA MA-EX ZAO NA KUKOSA AIBU NI KUGUSA TU.

Nimekaa palee nipopoeni!
Hao bikra wa kuoa wapo hapa Tanzania?

Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
 
Natabiri huu utakimbia sana

Wale wote wenyentabia za kuchepuka watakasirika sana kupinga kuwa ni uongo!!

Wenye wasiwasi kuwa wenzi wao wanachepuka watashtuka sana!!

Natabiri wanandoa kuanza kuwindana nyakati za mchana!!

Michepuko hoyeee!!!🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom