Ushuhuda nikiwa mhudumu wa gesti kwa miaka 10

Ushuhuda nikiwa mhudumu wa gesti kwa miaka 10

Kama unajua umeoa mwanamke asiye na bikra basi haya ni ya kawaida sana, najua tupo tusiokubaliana na ukweli huu ila tuishi nao tu.

NB; SISEMI WALIOOLEWA NA BIKRA HAWAWEZI KUFANYA HAYA ILA 90% WALIOOLEWA WAKIWA MAKOPO KUUZA MATCH KWA MA-EX ZAO NA KUKOSA AIBU NI KUGUSA TU.

Nimekaa palee nipopoeni!
Wako akiwa kwako, ukifatilia utaumia tu.
Ukinusurika ukimwi shukuru Mungu
 
Unaweza ukajilinda ujanani ukaukwaa ukimwi ndoani
 
actually, ukitaka kujua kuwa guest/lodges ni mahali pa uzinzi, nenda lala siku mbili au tatu. kuanzia usiku vilio vya mapenzi vitakavyosikiwa hivyo balaa. mamiguno ya ajabuajabu, uchafu mtupu. enzi zangu pia mimi nilikuwa naweza kulala na mwanamke hapa nikamwambia subiri kwanza naenda kuna mishe fulani anisubiri hapohapo chumbani lodge kumbe naenda lodge ingien kubandua mwingine na kumrudia yule. Mungu mkubwa sikupata magonjwa.
Vyote ni vilio vya wizi
 
Kuna siku nilikua zamu bhana kama bahati tu wale wateja kutoka tu nikazama nikakuta mashuka yote yamejaa nnyaa jamaa alimtatua rinda yule manzi kingine nacho ingaws hakisemwi lakini unakuta dume na dume lenzie linakuja eti linataka chumba kinyaa sana huwa nilikua natimua kwa hasira😡😡
 
Nimefanya kazi kama mhudumu wa guest (ya kawaida) hapa DSM kwa miaka 10 mfululizo. Niseme tu kwamba, kuna makubwa sana yanafanyika hasa nyakati za mchana kwa wake/waume za watu, wafanyakazi wa Serikali na mashirika, vijana wa bodaboda (kwa wake za watu) na viongozi wa Serikali na vyama vya siasa!

Kwa siku 1 m-baba mume wa mtu na mwenye familia yake na kazi yake nzuri Serikalini anaagiza visichana 3 tofauti kwa muda tofauti. Ni kula tu maisha. Kati ya dakika 30 hadi saa 1 mtu anakuwa ameshamaliza kubandua.

Vijana wa bodaboda wanabatuliwa sana na wake za watu wenye 'maisha', wanawalipia guest na kila kitu ilimradi tu walale nao.

Nimeshuhudia sana couples zinakuja guest na michepuko kwa mida tofauti tofauti. Yaani wanachepukiana bila wao kujuana.

Umalaya, ufuska, uzinzi umetamalaki sana ndugu zangu. Yaani ugumu wa maisha /ukosefu wa nguvu za kiume/ uwezo mdogo wa kufanya umesababisha watu kuchepuka sana kwa gharama yoyote ile.

Mchana ni muda hatari sana kwa watu wenye familia zao. Muda huu unatumika vizuri sana kwa watu hawa. Ukitoka home, nyuma mama nae anatoroka, anaenda kubebwa na mwanaume anafyatuliwa kwa lisaa 1 then anarudi home mapema sana.

Tuwe makini sana. Mchana ni hatari sana.

Guests kuna mambo mengi sana makubwa ya hatari.
Kama ni dakika 30 tuu labda hivo visichana vinaenda tu kujifunza kama tuisheni. Havifanyi kitu
 
Kama unajua umeoa mwanamke asiye na bikra basi haya ni ya kawaida sana, najua tupo tusiokubaliana na ukweli huu ila tuishi nao tu.

NB; SISEMI WALIOOLEWA NA BIKRA HAWAWEZI KUFANYA HAYA ILA 90% WALIOOLEWA WAKIWA MAKOPO KUUZA MATCH KWA MA-EX ZAO NA KUKOSA AIBU NI KUGUSA TU.

Nimekaa palee nipopoeni!
Huu ndio ukweli mchungu.
 
Kama unajua umeoa mwanamke asiye na bikra basi haya ni ya kawaida sana, najua tupo tusiokubaliana na ukweli huu ila tuishi nao tu.

NB; SISEMI WALIOOLEWA NA BIKRA HAWAWEZI KUFANYA HAYA ILA 90% WALIOOLEWA WAKIWA MAKOPO KUUZA MATCH KWA MA-EX ZAO NA KUKOSA AIBU NI KUGUSA TU.

Nimekaa palee nipopoeni!
Hakuna uhusiano chanya kati ya kuolewa bikra na kutochepuka au kuolewa shimo wazi na uchepukaji.
Wapo watu wengi tu waliolewa bikra ila n8 viwembe hatariii
 
Ndoa zinavunjika kwakua vijana wanapiga show za kibabe wakirejea home ukilinhanishwa na ww uliechoka hamuwezi kua sawa ndio mana unaambiwa mlizishe mwenzio
 
Nimeishi bongo miaka mitano sasa ila wanamke wa huku naona kama ni wafanyabiashara nguli sana

Wanaamini bila hela humpati ndio maana siku hizi wanamke kushare bwana ni swala la kawaida ukiuliza sababu Jamaa anamkwanja
Kwanza wanaume kwa wanamke wote ni matapeli
 
Hakuna uhusiano chanya kati ya kuolewa bikra na kutochepuka au kuolewa shimo wazi na uchepukaji.
Wapo watu wengi tu waliolewa bikra ila n8 viwembe hatariii
Mkuu nisome katikati ya mistari!

Hilo nimelibainisha ktk nyongeza hapo chini ktk post uliyoni-quote kwamba kwa asilimia fulani/kubwa walioolewa shimo wazi ndo rahisi kutoka nje ya ndoa.
 
Kama unajua umeoa mwanamke asiye na bikra basi haya ni ya kawaida sana, najua tupo tusiokubaliana na ukweli huu ila tuishi nao tu.

NB; SISEMI WALIOOLEWA NA BIKRA HAWAWEZI KUFANYA HAYA ILA 90% WALIOOLEWA WAKIWA MAKOPO KUUZA MATCH KWA MA-EX ZAO NA KUKOSA AIBU NI KUGUSA TU.

Nimekaa palee nipopoeni!
Kuwa na heshima kabisa nakuambia jieshimu hilo tu
 
Asante kwa taarifa..ila kumbuka nyege ni suala lingine acha watu watoane nyege kwa staili wanazoona wao inawafaa..chamsingi wakumbushe kutumia kinga.

#MaendeleoHayanaChama

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom